Richard irakunda
JF-Expert Member
- Oct 23, 2018
- 3,660
- 4,384
Tukio la lini hili na ilikuwaje ?HAHAHAHA, YAONEKANA HUFAHAMU KINACHOENDELEA, KAWAULIZE POLISI WENU WALIOINGIA TANZANIA KUTAFUTA MAJAMBAZI MWISHO WAKE WAO NDIYO WAKAWA MAJAMBAZI, POOR KENYANS
🤣 🤣 🤣 Wapasua matofali kwa bichwa.Hehehe!! Huwa nacheka sana pale mnajisifia kupga wale watoto wa M23 and wanywa gongo wa Kibiti, siku mkipambana na mashababi bin shetwan wenyewe wakujilipua mabomu ndio mje muongee......
Nyie mumeweka wanajeshi wenu wa kuonekana tu kwenye matamasha ya kitaifa wakipasua matofali.....
Hakuna gaidi anatamani kukanyaga Tanzania, hao wa kibiti Ndio wamekimbilia Mozambique .Hehehe!! Huwa nacheka sana pale mnajisifia kupga wale watoto wa M23 and wanywa gongo wa Kibiti, siku mkipambana na mashababi bin shetwan wenyewe wakujilipua mabomu ndio mje muongee......
Nyie mumeweka wanajeshi wenu wa kuonekana tu kwenye matamasha ya kitaifa wakipasua matofali.....
USIPOTOSHE UMMA, unaijua TAMOFA hii ni TANZANIA and MOZAMBIQUE FRIENDSHIP ASSOCIATION,Msumbiji sio jirani yetu. Nyinyi Msumbiji ni jirani yenu ila kwa uwoga wenu mnajificha chini ya kitanda. Wacha jeshi la Rwanda lisafishe eneo hilo na kung'oa kwekwe zote.