Asante sana Rais Samia kwa mabadiliko haya madogo ya uongozi katika Serikali Kuu, watanzania wote wamekupenda zaidi, wanakushukuru na kukuamini zaidi

Mbona kwenye mapungufu usemi?....... πŸ˜€
 
so gentleman huoni hatua zinazochukuliwa dhidi ya wabadhirifu wa mali ya umma maeneo mbalimbali nchini?

au mnataka Serikali iingilie kati taratibu za kimahakama ili baadae mseme mahakama zetu sio huru, right?

ili kitokee nn Serikali iwe inakuja kutoa taarifa za kimahakama humu JF,?
be serious bana fatilieni mambo ya maana nchini, kufuatilia sijui nani kachoma picha ya nani au nani kabakwa na nani kana kwamba ndio vitu vya maana, mambo mengi mno yatawapita....

nchi hii inaendeshwa kwa mujibu wa sheria na katiba sio kwa kauli ya Mtu...

Serikali ya Dr Samia Suluhu Hassan iko kazini kukuhakikishia hiyo dhana pototofu inaondoka katika fikra za watu hususani kwenye mambo ya uchaguzi,

nasikitika kwa wenye kuamini kauli za watu kama wewe, watakuja kubaini kwamba uchaguzi ujao wa Tanzania ni wa kuaminika, wa wazi kupita kiasi, huru na wazi kuliko chaguzi zozote zilizowahi kufanyika duniani, wakati uchaguzi wenyewe utakua umekwisha πŸ€“

itabidi usubiri miaka mitano ijayo tena πŸ’
 
We unadhani Nape aliyasema yale kwa bahati mbayaa??Nchi inapita kwenye wakat mgumu sana hii na kuna watu wanamwambia mama wataweza kumpambania lakon pressure n kubwa sana 2025
 
Mbona kwenye mapungufu usemi?....... πŸ˜€
mapungufu yapi sisemi gentleman?πŸ’

mikutano ya kisiasa ilipigwa marufuku nchini.waTanzania kwa umoja wetu tukamshauri RAIS Dr.Samia Suluhu Hassan hivi sasa kila chama kiko huru kufanya wajibu wake πŸ’

tena Dr Samia Suluhu Hassan ameenda mbali zaidi kufanya mabadiliko katika sheria za uchaguzi na Tume Huru ya Uchaguzi kadiri ya maoni na matakwa ya waTanzania...

hivi sasa kuna maridhiano na kikosi kazi kazini tunapoelekea katiba mpya baada ya Uchaguzi mkuu ujao 2025πŸ’

yapi hayo ambayo hatuyasemi?πŸ’
 
We unadhani Nape aliyasema yale kwa bahati mbayaa??Nchi inapita kwenye wakat mgumu sana hii na kuna watu wanamwambia mama wataweza kumpambania lakon pressure n kubwa sana 2025
usimpotoshe mwenzio gentleman,

nchi yetu iko pazuri sana, salama, imara na uelekeo wake ni mzuri mno kuliko wakati wowte tangu uhuru...

hakuna pressure wala kitisho chochote kisiasa kijamii au kiuchumi, kwa chama na Serikali sikivu ya CCM πŸ’

kama kuna pressure au ugumu wowote unapitia, basi ni wako binafsi tafuta namna bora binafsi kudeal na hali hiyo ya kibinadamu πŸ’

Chini ya kiongozi wetu makini shupavu na madhubuti sana comrade Dr Samia Suluhu Hassan, nchi ni tulivu na Amani ni ya uhakika 24/7 hasa tunapoelekea uchaguzi mkuu mwaka ujao 2025πŸ’
 
🀣🀣 Tlaatlaah sisi tumefurahi tu ila sio kumpenda Wala kumshukuru Wala kumuamini usitusingizie mkuu tumekukosea nini?
actually,
sample size ya jimbo langu inatosha kabisa kuwakilisha hali ya upendo na uaminifu wa waTanzania kwa Dr Samia Suluhu Hassan...

for sure wanafurahishwa mno na hatua anazochukua kuimarisha utendaji na ufanisi wa serikali yake na kuwaletea wanainchi Maendeleo endelevu mijini na vijijini πŸ’
 
Wale si tunawabeba na maroli mkuu.Alafu ni watoto tupu.Niliangakia Katavi ni vitoto vidogo under 18 viko hapo mmevipa na viti vikae.
Chimbuko la CCM ni jumuiya ya wazazi, chipkizi, uvccm halafu uwt na hatimae wana CCM wote πŸ’

gentleman,
ukiona vya elea vimeundwa hivyo πŸ’
 
Unachoulizwa na unachojibbu ni tofauti,Wacha tuhangaike na kazi za kuingiza kipato kuliko kupiga ngonjera na majuha
kila la kheri gentleman,
muhimu zaidi ni kulipa ushuru tozo na kodi kwa wakati πŸ’

Neema na Baraka za Mungu ziambatane na kuandamana sambamba nawe katika kazi na majukumu yako ya kukuongezea kipato,
Amen πŸ‘ŠπŸ’ͺ
 
Ni mtu aliye pungukiwa kichwanipekee anayeweza kuandika kichwa cha mada kama kilicho tumiwa kwenye mada hii.
kimekuconfuse kabisa gentleman 🀣

pole sana aise hiyo ndio tabia ya Ukweli kwa wasioupenda

ni mchungu halafu unakera 🀣
 
Ukinionyesha Uzi wako ukiwa unakemea hizo kauli nitakuamini. Vinginevyo wewe ni Chawa simama uhesabiwe.
 
Hahahaaa.sasa kama ni hivyo kwa nini utumie nguvu kubwa? na ukishakuwa rais unakuwa na kiburi na ufisadi juu?
hayo ni maoni na mtazamo binafsi wa mtu kwenye uwanda wa uhuru, haki na usawa katika kutoa maoni πŸ’

kiasili utumishi wa umma hasa ngazi ya urais, ni junction au hub ya mazuri mabaya, ya kuudhi ya kufurahisha, machungu na matamu, vita au amani, upendo au chuki n.k

unapotamani utumishi huo ni vema kujiandaa kukutana na hali hizio...

by the way,
kama nilivyosema hayo ya kutumia nguvu au ufisadi ni maoni yako binafsi...

but kwa ujumla,
Dr.Samia Suluhu Hassan amebeba imani na matumaini ya waTanzania hadi 2030
 
Dah!
Sijui nikueleze vipi uweze kuelewa. Haya ya sasa ni ya kutapatapa, kama mfa maji.
anae tapatapa ni nani sasa gentleman?πŸ’

Dr Samia Suluhu Hassan yupo kazini na amebeba imani, matumaini upendo na matarajio ya wanainchi waTanzania mpaka 2030, bila mbambamba yoyote πŸ’
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…