Asante Serikali, soda imepanda kwa 40%

Asante Serikali, soda imepanda kwa 40%

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Soda ambayo kipindi kifupi kilichopita tuliuziwa sh. 500 sasa ni sh. 700.

Kwa hesabu za harakahara hapa kuna ongezeko la sh. 200 ambayo ni asilimia 40% ya sh. 500.

Ni kweli production costs zimeongezeka kwa 40% au ni mwanya tu wajanja wanautumia kutengeneza fedha watoto wao wapelekwe chekechea za Kiingereza bila maumivu?
 
Afrika vijana wa hovyo sana nashangaa watu wanakuponda mfumuko wa bei n mbaya na unashusha thaman pesa yaan bora ingekua hata 550 atleast
Kuna kipind ikifka 600 ikakosa
Soko ila sasa naona itanunulika Tu na hiyo 700 maana mama kashaamua
 
Soda ambayo kipindi kifupi kilichopita tuliuziwa sh. 500 sasa ni sh. 700.
Kwa hesabu za harakahara hapa kuna ongezeko la sh. 200 ambayo ni asilimia 40% ya sh. 500.
Ni kweli production costs zimeongezeka kwa 40% au ni mwanya tu wajanja wanautumia kutengeneza fedha watoto wao wapelekwe chekechea za Kiingereza bila maumivu?
Kama bado umri huo unashobokea soda licha ya awareness zote zinazoeleza athari yake, basi wewe nawe unatakiwa kuitwa Matatizo!!!
 
Soda ambayo kipindi kifupi kilichopita tuliuziwa sh. 500 sasa ni sh. 700.
Kwa hesabu za harakahara hapa kuna ongezeko la sh. 200 ambayo ni asilimia 40% ya sh. 500.
Ni kweli production costs zimeongezeka kwa 40% au ni mwanya tu wajanja wanautumia kutengeneza fedha watoto wao wapelekwe chekechea za Kiingereza bila maumivu?
Nilichogundua hawa wenye maduka sometimes wanapandisha bei lakin haiendani na uhalisia kabisa .kama wanajipangia tu hizi soda kitambo ni 600 mtaani

Utashangaa hata hizi sabuni wanazotengeneza mtaani na bei nazo zinapanda kila kukicha ukiauliza wanakumbia wameongeza bei huko.
 
Back
Top Bottom