Asante Yanga, Sasa Tanzania kupeleka timu 4 CAF

Ingawa kuna tofauti kati ya ushabiki na kujitoa akili, lakini huku ni kukosa akili.
 
Nimepata taarifa kuwa mvua itanyesha tena algeria, kipigo kiko pale paleπŸ˜€πŸ˜€
 
Kuingia fainali loosers cup Kuna uhusiano gani na Simba kuingia robo fainali champions league. Simba inajisimamia yenyewe haihitaji support ya loosers Kama Yanga.
Robo fainali si kitu ..... issue ni kufika fainali
 
Safi sana mtoa mada [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huu ni mwaka wa kuwatoa mapovu tu makolo hadi gesi yote iishe.
Hawa nawa mudu mkuu[emoji23]
 
Safi sana mtoa mada πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Huu ni mwaka wa kuwatoa mapovu tu makolo hadi gesi yote iishe.
Huku sio kuwatoa mapovu, bali kujifariji baada ya jambo la Waarabu 😁😁😁
 
ya mashindano gani? [emoji16][emoji16][emoji16]
Jamani tusione aibu, tuwe tunataja hatua na mashindano yake! [emoji16][emoji16][emoji16]
Confederation cup kulikuwa kugumu sana .... kumbuka timu jamii ya vipers, horoya, big bullets hazikuwepo....

Huku unakutana na magiant kina mazembe, manastir ( waarabu). Pyramid, rabbat nk
 
Confederation cup kulikuwa kugumu sana .... kumbuka timu jamii ya vipers, horoya, big bullets hazikuwepo....

Huku unakutana na magiant kina mazembe, manastir ( waarabu). Pyramid, rabbat nk
Na hao Vipers waliwaondoa Mazembe CL, Mazembe wakaenda kukutana na Yanga walioondolewa CL 😁😁😁
 
Kwani kabla ya Yanga kufika fainali zilikuwa zinaenda timu ngapi Tanzania?
 
Na hao Vipers waliwaondoa Mazembe CL, Mazembe wakaenda kukutana na Yanga walioondolewa CL [emoji16][emoji16][emoji16]
Lkn sio kigezo Cha vipers kuwa wabovu[emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…