DuhNi kweli ulisemalo ila kwasasa magari ya kuagiza yamepanda bei kutokana na production kuwa mdogo kuliko demand.
Mkuu umekuwa negative bila sababu za msingi. Mimi nimeandika experience yangu.Punguza wivu mkuu, ila kama weni Ke samahani nitakua nimeingilia matumizi ya jinsia yako
Kweli mkuu. Ninaamini anayo hela kutunza hiyo gari.Maana, hiyo 22mil ni bei yakwenda kununulia yard ( showrrom ) bila shaka!
Lakini, sio mbaya, kila kitu ni kujifunza
Muhimu ;
Azingatie care ya gari, Dualis hazitaki gadhabu , maana sio corolla ile!
No problem mkuuKuna dada namfahamu aliagiza Dualis Japan 5 years ago. Ilimcost 14m tu.
Hata wewe ulipigwa kwa wakati wako.
Hongera sana mkuuWadau nilileta uzi humu wa kuomba ushauri kuhusu ni gari gani nianze nayo. Wengi mlinishauri maoni mbalimbali na sasa namshukuru Mungu nimefanikiwa kununua Nissan Duals cc 2000 kutoka Japan. Niliagiza mwenyewe hlf nikatafuta wakala wa kuitoa bandarini wala hapakuwa na usumbufu wowote.
Imenigharimu karibia 22MilView attachment 2196395
Hiyo experience yako ulipaswa uiandike mdau alipo omba ushauri.Mkuu umekuwa negative bila sababu za msingi. Mimi nimeandika experience yangu.
Leo wewe umeamka vibaya. Sikuona Uzi wake wa kuonba ushauri na sijaona kwanini nisiandike uzoefu wangu.Hiyo experience yako ulipaswa uiandike mdau alipo omba ushauri.
Sasa mdau amekuja kushukuru alafu nawewe ndio unaleta ujuaji usio na tija eti kapigwa.... hapo hela sio zako naona umeshindwa kuzuwia hisia zako..teh😜
Miaka mitatu iliyopita bado unategemea kila kitu kitakuwa vile vile tu mkuu?Mbona umepigwa hela ndefu hivyo? Niliagiza yangu kwa jumla 17m miaka mitatu iliyopita. Pengine yako Ina km chini ya elfu 20.
Nimekuelewa mkuuMiaka mitatu iliyopita bado unategemea kila kitu kitakuwa vile vile tu mkuu?
Jamaa sijui imekuwaje kalipa 22m.
Mbona kama umeumia sana jamaa kulipa 22mJamaa sijui imekuwaje kalipa 22m.
Sijaumia, nimeshangaa.Mbona kama umeumia sana jamaa kulipa 22m
Naaam Lee[emoji23]Makiiii
[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419]Ndio mkuu, wana jf wapunguze wivu na ujuaji usio na tija.
Yaani ulipo omba ushauri hawakusema na leo umeleta ndinga ndipo wanajifanya kukosoa...ptuuuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]khaaaa!Makiwendo naye amevuta ndinga yake hii[emoji16][emoji16][emoji16]View attachment 2196520
Mkuu acha kukaza kichwa, bei za dualis sasa hivi zimepanda na kodi pia imekuwa juu.. of coz sasa hivi zipo kwenye 20's.Sijaumia, nimeshangaa.