Asanteni JF kwa ushauri, tayari nimepata gari

Asanteni JF kwa ushauri, tayari nimepata gari

Maana, hiyo 22mil ni bei yakwenda kununulia yard ( showrrom ) bila shaka!
Lakini, sio mbaya, kila kitu ni kujifunza

Muhimu ;

Azingatie care ya gari, Dualis hazitaki gadhabu , maana sio corolla ile!
Kweli mkuu. Ninaamini anayo hela kutunza hiyo gari.
 
Wadau nilileta uzi humu wa kuomba ushauri kuhusu ni gari gani nianze nayo. Wengi mlinishauri maoni mbalimbali na sasa namshukuru Mungu nimefanikiwa kununua Nissan Duals cc 2000 kutoka Japan. Niliagiza mwenyewe hlf nikatafuta wakala wa kuitoa bandarini wala hapakuwa na usumbufu wowote.

Imenigharimu karibia 22MilView attachment 2196395
Hongera sana mkuu
 
Hiyo experience yako ulipaswa uiandike mdau alipo omba ushauri.
Sasa mdau amekuja kushukuru alafu nawewe ndio unaleta ujuaji usio na tija eti kapigwa.... hapo hela sio zako naona umeshindwa kuzuwia hisia zako..teh😜
Leo wewe umeamka vibaya. Sikuona Uzi wake wa kuonba ushauri na sijaona kwanini nisiandike uzoefu wangu.

Next time atakuwa makini zaidi na hata watu wengine.
 
nissan dual.png
 
Nissan dualis zinatoka sana, wabongo tuache kuigana, itakuwa kama ist & harrier soon tu.
 
Ndio mkuu, wana jf wapunguze wivu na ujuaji usio na tija.
Yaani ulipo omba ushauri hawakusema na leo umeleta ndinga ndipo wanajifanya kukosoa...ptuuuu
[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419]
 
Back
Top Bottom