Asanteni wana jamii forum,nimeshapata mpenzi wa maisha!

Asanteni wana jamii forum,nimeshapata mpenzi wa maisha!

Hongera mwaya; Mungu awayangulie kwenye hatua yenu ya kwanza ya kujuana!

James, umepata dhahabu. The fact kuwa amejitangaza inaonesha anajua nini anachokitaka kwenye life, na maybe anaweza kuwa desparate na si kwamba she couldn't have anybody. So naamini nawe ni mature na unajua unachotaka! Si busara, wala utu, wala ustasrabu na wala uanaume; kucheza na feelings za mtu. Hivyo bro tuko nyuma yako na ur new found love katika process zote za kufamiana, kupendana na kuishi pamoja!

Nawatakia wote, mafanikio na furaha za kuzidi!
Enjoy it!
 
Salaaaaaaam!
Napenda kutoa pongezi zangu za dhati kwenu,kwa kazi nzuri ya
kuweza kuweka jukwaa la wapendanao,hatimae na mimi nimempata
mpenzi wa moyo kwa sifa zilezile nilizotoa!
Pia nawashukuru wote walioniPM na kupenda wawe na mimi nao nawashukuru sana,
kwani waliniamini na mimi sina budi kusema aksante kwao,ila pole kwa kuwa
nafasi ilikuwa moja tu isingewezekana kwa wengine japo nao walikuwa
na lengo na nia njema.Mchango wao kwangu utaishi ndani yangu milele.
Special thanks goes to my loving husband to be!
(James!)my love for you is unconditional and promise to love you the same way!
Till Death do us part.
Wishing all the best Jamii FORUM GROUP,coz you deserve the best for your
support,love and hospitality along the way!
With love!

Mbalikiwe sana!
 
Sasa mtakatifu ndo kukaba gani huku! Huyu anaesikitikaa anamshukuru husbend to be, unamaanisha Mwali siku hizi is on the down low side?
Tafuta mchuma mwingine banaa, kama gari zuri unalo (hivi ni baby walker ile?), sura nzuri umejaaliwa... Usimchafue Mwali wetu banaa!
 
Hmm ngoja niangalie upepo namimi ntafute wa future,lol
hongera mpendwa, uchange Id pia
 
Likibuma usisite kurudi hapa kutoa taarifa
OTIS
 
Mmh wiki kadhaa tu hzi unasema unampenda kihivyo? Napata mashaka,ila hongera zako.
 
Ikitokea bahati mbaya mmeachana usisahau kututaarifu ehhh
 
Salaaaaaaam!
Napenda kutoa pongezi zangu za dhati kwenu,kwa kazi nzuri ya
kuweza kuweka jukwaa la wapendanao,hatimae na mimi nimempata
mpenzi wa moyo kwa sifa zilezile nilizotoa!
Pia nawashukuru wote walioniPM na kupenda wawe na mimi nao nawashukuru sana,
kwani waliniamini na mimi sina budi kusema aksante kwao,ila pole kwa kuwa
nafasi ilikuwa moja tu isingewezekana kwa wengine japo nao walikuwa
na lengo na nia njema.Mchango wao kwangu utaishi ndani yangu milele.
Special thanks goes to my loving husband to be!
(James!)my love for you is unconditional and promise to love you the same way!
Till Death do us part.
Wishing all the best Jamii FORUM GROUP,coz you deserve the best for your
support,love and hospitality along the way!
With love!

Hongera zenu. ILA KWA SISI TULIOA TUNAAMINI MAPENZI HUWA HAYAJI GHAFLA HIVYO LABDA YAWE YANA NGUVU YA MAULANA. ningependa iwe kama kwenye red. Hongereni sana
 
Nasikitika Hongera sana kwa kumpata Eng James. Mungu awatangulie katika safari ya meli ya wapendanao. nilikupm hukujibu haya bwana.

Hellow my beloved sister,I replied.may be was a network problem.
ok you just PM me and dont forget your tel no,to ring you!
Thanks for your compliment,you are a wonderful and special sister to make
so let ut start a move of friendship!
 
Back
Top Bottom