Boniface Evarist
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 1,147
- 513
Nakumbuka uliandika vigezo hivi ili kumpata mwenza:
Nilikujibu hivi "Ipo siku na mimi mtatangaza jambo hapa ndani. wewe dada unafiti kila idara kwangu kwa kuwa ninataman sana mwalimu.
Nataman mwalimu kwa sababu amesoma maadili na phychology automatically wanakuwa wastaarabu then kaz yenyewe inafanyika within 8 to 10 hours means kuna uwezekano wa mwalimu kuwepo nyumban kwa masaa 14 hadi 16 tofauti na mfanyabiashara wa masafa, madaktar au wauguz na askar hao siwataki na bora niwe bachela mpaka kufa SABABU NINAZO.
Sitatuma maombi kwako kwa kuwa nina 27 na bado sijatarajia mke hv karibuni ila nikiwa tayari ntahitaji mke mwenye wasifu kama wako.
Mungu akutangulie!"
Leo nimeamini kumbe JF hakuna lisilowezeka na namshukuru mwenyez Mungu kwa kukupa kile uliomba kwa sisi wakristo tunalijua neno hili "ni nani atamuomba baba ake mkate na apewe jiwe..."
Kwa kuwa ulitoa vigezo hivyo hapo juu na Bw. James amekupata na wewe umempata hivyo mmepatana.
Nawapenda sana waalimu kama nilivyosema siku ile na nikatoa mpaka sababu nategemea utakuwa zaidi ya maelezo yangu kwa James, tena mpole usiehamaki kujibu ukihojiwa jambo na mwenye kudadisi ukwazwapo. Wanawake wengi wamekaa Ki-beijing beijing mpaka inakera... Kuwa wa Mungu tena Mtanzania msomi ambaye naamin hata watoto ufundishao watakupenda sana kwa uadilifu kwao na ndoa uiendeayo.
Usiache kuja jamii forums ili uweze kuchangia michango hasa ya kimahusiano kama ulivyompata James kwa Cyber-love.
Nasikitika, jifunze kuishi maisha mapya na uombe Mungu ndoa yenu kamwe isijevunjika hata ukimfumania James kaa nae na akuambie na akiri kutothubutu nina imani na penz lenu kwa kuwa limepita kwa mchakato wa mchujo japo si wa muda mrefu.
Keep it on prayers ili kati ya wale waliokuja PM kama James wasipate nafasi tena ya kukusumbua kwa kuwa umeshatangaza tayari umefunga maombi please endapo utarusu hili means utakuwa una tatizo.
Binafsi ntataman kuwepo katika harusi yenu na kama ntabanwa na majukumu yangu basi hapa kwa kifuta jasho cha mbali ntapenda nishiri.
Napenda sana cyber-life na ni iman yangu njia yangu itakuja kuwa kama hii kumpata Mchuchuu wangu hapo badae!
God bless u always and ur family to be.
habari kaka,natumai mwenye sifa tajwa hapo juu ndo unayesoma hapa'
mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 30,nipo serious na natafuta
mwanaume mwenye sifa hizo kwa kuwa mwenyewe nina sifa za mwanamke mrembo
shepu namba 8.yaani juu mwembaba chini Mungu nampa sifa zake,kwani kanijalia kusema
ukweli na ni original kabisa,rangi yangu ni maji ya kunde with Excelent Health!
Elimu ya chuo,na ni mwalimu wa Secondary hapa Dar na najitegemea na naendelea na masomo.
Swali,je kwa nini nimeamua kuchagua njia hii ya JF kumtafua mpenzi wa kweli?
ni kwa kuwa nimeona wengi wanaotumia FORUM HII wana upeo mzuri na waelewa
na si wahuni,na hawatachukulia suala hii kama joke ndo mana sijaenda kule kwenye
chit-chat so you have to be serious here! kama sio wewe mlengwa naomba upite tu nitakushukuru.
Jambo jingine ninalopenda kuweka wazi ni kwamba kabla ya kuchukua uamuzi huu mgumu
nilikuwa na mpenzi ambaye awali nilijidanganya kama nimepata kumbe sivyo,kwa kuwa hakuthamini
mapenzi yangu ya dhati kwa kunichukulia kiutani huku miaka ikiwa inapita pia nikatambua kwamba
hatuendani kwa mambo mengi,mfano ni mlevi wa kupindukia,hapendi kujituma nikiwa na maana
ya maendeleo hata ya kupiga hatua moja mbele ki- maisha,hakuwa anaonyesha Real love ya
kusema mimi naweza kujivunia hata kwa marafiki kama nina mpenzi muda mwingi nikawa lonely
yeye akiwa Busy na ulevi uliokithili.Ivyo tukielewana ukinipa sifa zako tutaonana live!
So if you are lonely out there you are welcome and just be realistic and affectionate!
Nilikujibu hivi "Ipo siku na mimi mtatangaza jambo hapa ndani. wewe dada unafiti kila idara kwangu kwa kuwa ninataman sana mwalimu.
Nataman mwalimu kwa sababu amesoma maadili na phychology automatically wanakuwa wastaarabu then kaz yenyewe inafanyika within 8 to 10 hours means kuna uwezekano wa mwalimu kuwepo nyumban kwa masaa 14 hadi 16 tofauti na mfanyabiashara wa masafa, madaktar au wauguz na askar hao siwataki na bora niwe bachela mpaka kufa SABABU NINAZO.
Sitatuma maombi kwako kwa kuwa nina 27 na bado sijatarajia mke hv karibuni ila nikiwa tayari ntahitaji mke mwenye wasifu kama wako.
Mungu akutangulie!"
Leo nimeamini kumbe JF hakuna lisilowezeka na namshukuru mwenyez Mungu kwa kukupa kile uliomba kwa sisi wakristo tunalijua neno hili "ni nani atamuomba baba ake mkate na apewe jiwe..."
Kwa kuwa ulitoa vigezo hivyo hapo juu na Bw. James amekupata na wewe umempata hivyo mmepatana.
Nawapenda sana waalimu kama nilivyosema siku ile na nikatoa mpaka sababu nategemea utakuwa zaidi ya maelezo yangu kwa James, tena mpole usiehamaki kujibu ukihojiwa jambo na mwenye kudadisi ukwazwapo. Wanawake wengi wamekaa Ki-beijing beijing mpaka inakera... Kuwa wa Mungu tena Mtanzania msomi ambaye naamin hata watoto ufundishao watakupenda sana kwa uadilifu kwao na ndoa uiendeayo.
Usiache kuja jamii forums ili uweze kuchangia michango hasa ya kimahusiano kama ulivyompata James kwa Cyber-love.
Nasikitika, jifunze kuishi maisha mapya na uombe Mungu ndoa yenu kamwe isijevunjika hata ukimfumania James kaa nae na akuambie na akiri kutothubutu nina imani na penz lenu kwa kuwa limepita kwa mchakato wa mchujo japo si wa muda mrefu.
Keep it on prayers ili kati ya wale waliokuja PM kama James wasipate nafasi tena ya kukusumbua kwa kuwa umeshatangaza tayari umefunga maombi please endapo utarusu hili means utakuwa una tatizo.
Binafsi ntataman kuwepo katika harusi yenu na kama ntabanwa na majukumu yangu basi hapa kwa kifuta jasho cha mbali ntapenda nishiri.
Napenda sana cyber-life na ni iman yangu njia yangu itakuja kuwa kama hii kumpata Mchuchuu wangu hapo badae!
God bless u always and ur family to be.