Asanteni wana Kawe, wana Mapinga Bagamoyo, Watanzania na Hodi Kampala na Uganda

Asanteni wana Kawe, wana Mapinga Bagamoyo, Watanzania na Hodi Kampala na Uganda

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Uganda niliyoiacha mwaka 2001 siyo hii ya Leo ama hakika pongezi nyingi sana ziende kwa Mheshimiwa Rais wa Uganda Yoweri Kaguta Museveni kwa haya Maendeleo. Haya wale Wabongo mlioko Kampala hasa hasa Maeneo ya Nakasero ilipo Ikulu ya Uganda Mgeni wenu GENTAMYCINE nImewasili rasmi jana namba nipeni maeneo mliopo ili nije mnipe mawili matatu ya Jiji hili kwani kila Kitu Kwangu sasa nakiona ni kipya.

Pongezi nyingi sana kwa Shirika la Ndege la Kenya Airways kwa Huduma zao nzuri na hasa hasa Rubani wa Kike wa jana Captain Fiona Wambui kwa Kurusha Ndege kwa Ustadi mkubwa kiasi kwamba kuna Ndege ya nchi moja hivi ( nimeisahau Jina kwa sasa na Ndege zao pia ni mbaya ) kuna Rubani wake Mmoja wa Kiume akiwarusheni utaona kuna tofauti kubwa sana kati yake na huyu wa Kike wa Kenya Airways.

UKINUNA UWE NA SABABU, NA MWENYEZI MUNGU KAMWE HUWA HAPANGIWI WAKATI WA KUMBARIKI MJA WAKE.

GENTAMYCINE 'Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer"
 
Uganda niliyoiacha mwaka 2001 siyo hii ya Leo ama hakika pongezi nyingi sana ziende kwa Mheshimiwa Rais wa Uganda Yoweri Kaguta Museveni kwa haya Maendeleo. Haya wale Wabongo mlioko Kampala hasa hasa Maeneo ya Nakasero ilipo Ikulu ya Uganda Mgeni wenu GENTAMYCINE nImewasili rasmi jana namba nipeni maeneo mliopo ili nije mnipe mawili matatu ya Jiji hili kwani kila Kitu Kwangu sasa nakiona ni kipya.

Pongezi nyingi sana kwa Shirika la Ndege la Kenya Airways kwa Huduma zao nzuri na hasa hasa Rubani wa Kike wa jana Captain Fiona Wambui kwa Kurusha Ndege kwa Ustadi mkubwa kiasi kwamba kuna Ndege ya nchi moja hivi ( nimeisahau Jina kwa sasa na Ndege zao pia ni mbaya ) kuna Rubani wake Mmoja wa Kiume akiwarusheni utaona kuna tofauti kubwa sana kati yake na huyu wa Kike wa Kenya Airways.

UKINUNA UWE NA SABABU, NA MWENYEZI MUNGU KAMWE HUWA HAPANGIWI WAKATI WA KUMBARIKI MJA WAKE.

GENTAMYCINE 'Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer"
Karibu Uganda Kaka Gentamycin..
Ukitoka Kampala Njoo Entebe hapa nipo mwenyeji wako
 
Karibu Uganda Kaka Gentamycin..
Ukitoka Kampala Njoo Entebe hapa nipo mwenyeji wako
Nimepangiwa na Wenyeji wangu katika Hoteli moja Kubwa na yenye Historia ya Kipekee nchini Uganda inayolindwa Kutwa na Wanajeshi iliyoko Kampala kama unaijua njoo kwa nje jitambulishe Reception kuwa Wewe ni DR Mambo Jambo kutoka JamiiForums na umekuja Kumtembelea KIPENZI CHA MWENYEZI MUNGU NA MBARIKIWA WA TALANTA NYINGI GENTAMYCINE "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" na tunaweza Kuonana sawa? Ila uje na Adabu zako zote hapa Hotelini sawa Mkuu kwani nikikuripoti tu kwa Wajeda hawa Wanaolinda hii Hoteli kuwa Wewe ni Mtu mbaya Kwangu sasa hivi huko Nyumbani Kwenu Tanzania wanaweka Maturubai ya Msiba wako.
 
Nimepangiwa na Wenyeji wangu katika Hoteli moja Kubwa na yenye Historia ya Kipekee nchini Uganda inayolindwa Kutwa na Wanajeshi iliyoko Kampala kama unaijua njoo kwa nje jitambulishe Reception kuwa Wewe ni DR Mambo Jambo kutoka JamiiForums na umekuja Kumtembelea KIPENZI CHA MWENYEZI MUNGU NA MBARIKIWA WA TALANTA NYINGI GENTAMYCINE "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" na tunaweza Kuonana sawa? Ila uje na Adabu zako zote hapa Hotelini sawa Mkuu kwani nikikuripoti tu kwa Wajeda hawa Wanaolinda hii Hoteli kuwa Wewe ni Mtu mbaya Kwangu sasa hivi huko Nyumbani Kwenu Tanzania wanaweka Maturubai ya Msiba wako.
🤣🤣🤣
Hotel au Ikulu?
 
Hakuna hotel inalindwa na wanajeshi, hao ni migambo tu kama sio G4S.... ficha huo ushamba hata kama upo ugenini.
Mtu hujawahi hata Kupanda Ndege, huna Pasipoti na hata hujawahi Kukaa Ikulu yoyote ile duniani na kupokelewa kwa hadhi ya VIP Airport, kupanda Benz na VX za Ikulu tokea Uzaliwe mpaka unakoelekea Kufa / Kufariki Kwako utaweza kutaka Kushindana nami NILIYEBRKIWA na ninayeendelea KUBARIKIWA?

Najua unachokitaka ni Kunitega kwa Mbinu ya Kipumbavu na ya Kitoto ili nikutajie jina la Hoteli hivyo bado haujanipata Ok?

Mimi ndiyo GENTAMYCNE "Purely Talented, Charismatic Fella Game Changer and Entertainer' na pia ni The King pia sawa?
 
Eti hotel inalindwa na wajeda.... Unalazimisha exposure ambazo huna.
Mtu hujawahi hata Kupanda Ndege, huna Pasipoti na hata hujawahi Kukaa Ikulu yoyote ile duniani na kupokelewa kwa hadhi ya VIP Airport, kupanda Benz na VX za Ikulu tokea Uzaliwe mpaka unakoelekea Kufa / Kufariki Kwako utaweza kutaka Kushindana nami NILIYEBRKIWA na ninayeendelea KUBARIKIWA?

Najua unachokitaka ni Kunitega kwa Mbinu ya Kipumbavu na ya Kitoto ili nikutajie jina la Hoteli hivyo bado haujanipata Ok?

Mimi ndiyo GENTAMYCNE "Purely Talented, Charismatic Fella Game Changer and Entertainer' na pia ni The King pia sawa?
 
Hoteli wapi anajiongelesha tu huyo bila shaka yupo kwenye mashamba ya magimbi anavuna
Mtu hujawahi hata Kupanda Ndege, huna Pasipoti na hata hujawahi Kukaa Ikulu yoyote ile duniani na kupokelewa kwa hadhi ya VIP Airport, kupanda Benz na VX za Ikulu tokea Uzaliwe mpaka unakoelekea Kufa / Kufariki Kwako utaweza kutaka Kushindana nami NILIYEBRKIWA na ninayeendelea KUBARIKIWA?

Najua unachokitaka ni Kunitega kwa Mbinu ya Kipumbavu na ya Kitoto ili nikutajie jina la Hoteli hivyo bado haujanipata Ok?

Mimi ndiyo GENTAMYCNE "Purely Talented, Charismatic Fella Game Changer and Entertainer' na pia ni The King pia sawa?
 
Usikute hapo Mapinga ndipo unapaita Kampala!!
Mtu hujawahi hata Kupanda Ndege, huna Pasipoti na hata hujawahi Kukaa Ikulu yoyote ile duniani na kupokelewa kwa hadhi ya VIP Airport, kupanda Benz na VX za Ikulu tokea Uzaliwe mpaka unakoelekea Kufa / Kufariki Kwako utaweza kutaka Kushindana nami NILIYEBRKIWA na ninayeendelea KUBARIKIWA?

Najua unachokitaka ni Kunitega kwa Mbinu ya Kipumbavu na ya Kitoto ili nikutajie jina la Hoteli hivyo bado haujanipata Ok?

Mimi ndiyo GENTAMYCNE "Purely Talented, Charismatic Fella Game Changer and Entertainer' na pia ni The King pia sawa?
 
Back
Top Bottom