Asanteni wana Kawe, wana Mapinga Bagamoyo, Watanzania na Hodi Kampala na Uganda

Asanteni wana Kawe, wana Mapinga Bagamoyo, Watanzania na Hodi Kampala na Uganda

Hiyo pesa ni kubwa mno kwa huyu jobless aliyetukuka, kama kweli amepata hiyo fursa acha afurahie tu..... alipigika sana kwa miaka mingi tangu ahitimi kile chuo uchwara.
Na baada ya kuwa hapa kwa miaka yangu Miwili nitahamia Ikulu ya Rwanda nakuomba hili nalo kuanzia leo uliweke Akilini.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE.

Kudadadeki....!!
 
Katika watu wenye stress,depression, ego basi ni huyu alietoa info yupo Uganda.
Anyway karibu hapa kimaka.Tupo
Mtu hujawahi hata Kupanda Ndege, huna Pasipoti na hata hujawahi Kukaa Ikulu yoyote ile duniani na kupokelewa kwa hadhi ya VIP Airport, kupanda Benz na VX za Ikulu tokea Uzaliwe mpaka unakoelekea Kufa / Kufariki Kwako utaweza kutaka Kushindana nami NILIYEBRKIWA na ninayeendelea KUBARIKIWA?

Najua unachokitaka ni Kunitega kwa Mbinu ya Kipumbavu na ya Kitoto ili nikutajie jina la Hoteli hivyo bado haujanipata Ok?

Mimi ndiyo GENTAMYCNE "Purely Talented, Charismatic Fella Game Changer and Entertainer' na pia ni The King pia sawa?
 
Pole sana kwa Usununu na lengo langu la Kuwakera HATERS limetimia na hapa mnavyochukia na kutoamini nafurahi sana.
Maneno mengi ya nini? Kama ni kweli nikitegemea unatupia picha za ticket au airport tuamini sio ngojera kama kidemu cha buza
 
Chai..
Wewe jamaa ndio maana u.ebatizwa jina la mwezi mchanga kenya airways hawana rubani uliyemtaja hapo.
Pumbavu nenda katika Ofisi zao Kawaulize Rubani gani wa Kike wa jana alirusha Ndege aina ya EMBRAER 190 KQ 485 kutoka JNIA ( Dar es Salaam ) hadi JKIA ( Nairobi ) anaitwa nani kisha kisha wakikujibu siyo huyo tafadhali nakuombe urejee upesi sana hapa kuendelea Kujibizana nami.

Namalizia tena kwa kukuambia Pumbavu.
 
Mtu hujawahi hata Kupanda Ndege, huna Pasipoti na hata hujawahi Kukaa Ikulu yoyote ile duniani na kupokelewa kwa hadhi ya VIP Airport, kupanda Benz na VX za Ikulu tokea Uzaliwe mpaka unakoelekea Kufa / Kufariki Kwako utaweza kutaka Kushindana nami NILIYEBRKIWA na ninayeendelea KUBARIKIWA?

Najua unachokitaka ni Kunitega kwa Mbinu ya Kipumbavu na ya Kitoto ili nikutajie jina la Hoteli hivyo bado haujanipata Ok?

Mimi ndiyo GENTAMYCNE "Purely Talented, Charismatic Fella Game Changer and Entertainer' na pia ni The King pia sawa?
Sawa bwana tajiri
 
Usiisahau Simba Sc yako popote unapokwenda.
In fact nikutulia huku na kama Ratiba zangu za Kikazi hazitonibana nataka kufanya Mitihani ya Uwakala wa Wachezaji ya FIFA ili pia niwe nawatafutia Timu Wachezaji wa Uganda waje katika Timu za Tanzania wakianzia Simba SC yangu ila Yanga SC sitowapeleka na pia niwatafutie Wachezaji wa Kibongo Timu huku Uganda na hata nje ya Uganda / Ulaya.
 
We jamaa unaonekana ni kijana wa hovyo sana.Tena mpenda sifa. Unasumbuliwa na ujana na ulimbukeni. Ukikua utaacha ni suala la muda tu.
 
Karibu sana Kireka, Jinja road. Ugali(posho) naupatia Namanve, karibu kama hujaingia Uganda kama mzururaji
 
Mtu hujawahi hata Kupanda Ndege, huna Pasipoti na hata hujawahi Kukaa Ikulu yoyote ile duniani na kupokelewa kwa hadhi ya VIP Airport, kupanda Benz na VX za Ikulu tokea Uzaliwe mpaka unakoelekea Kufa / Kufariki Kwako utaweza kutaka Kushindana nami NILIYEBRKIWA na ninayeendelea KUBARIKIWA?

Najua unachokitaka ni Kunitega kwa Mbinu ya Kipumbavu na ya Kitoto ili nikutajie jina la Hoteli hivyo bado haujanipata Ok?

Mimi ndiyo GENTAMYCNE "Purely Talented, Charismatic Fella Game Changer and Entertainer' na pia ni The King pia sawa?
nakusubiria kawe,
dawa yako ni kichurachura kutoka kawe mwisho stand hadi makongo, utanyooka tu ndio tuone ulivyobarikiwa 🐒

Off ya siku moja tu unajiona uko nje ya nchi 🐒

Eid Mubarak 🌹
 
UGx 900,000 (Ugndan Shilingi) Ndogo sana its about 450k au 430k hivi ikizidi sana ni 460k.. Za kitanzania..

Na Hiyo 30k kwa wiki Means Tsh 15k kwa wiki???

Mbona ni pesa Ndogo sana Mkuu unayolipwa???
Sasa si bora ungebaki Tanzania??
Hivi nikikuita Mpumbavu nitakuwa nakosea? Hivi kumtolea Mwenyezi Mungu FUNGU LAKE LA KUMI Shilingi 900,000 ( Laki Tisa za Uganda ) kila Mwezi hapo ndiyo nimemaanisha kuwa huo ndiyo Mshahara wangu? Kwahiyo kwa kukuambia tu kuwa nitatoa Kiasii hicho cha Sadaka umeshindwa kujua Mshahara ni kiasi gani?

Nilikuwa sijui kumbe Mshahara wa Mtu Tanzania wa Shilingi Milioni 5 na Laki Tisa ( TSHS 5,900,000 ) kwa Mwezi ni mdogo sana kiasi kwamba akipata Fursa ya Mshahaa huo Nje ya nchi anatakiwa aachane nao na abakie tu Tanzania? Hivi kumbe kwa Tanzania Posho ya Shilingi 150,000 kwa Wiki si Kubwa?

Kumbe nikiwa NAWADHARAU Kutwa hapa JamiiForums Wapumbavu wa Mfano wako huwa sikosei na nakuwa sahihi mno.
 
nakusubiria kawe,
dawa yako ni kichurachura kutoka kawe mwisho stand hadi makongo, utanyooka tu ndio tuone ulivyobarikiwa 🐒

Off ya siku moja tu unajiona uko nje ya nchi 🐒

Eid Mubarak 🌹
ASANTE SANA MWENYEZI MUNGU KWA MAFURIKO YAKO YA BARAKA NA NAKUOMBA ZIDI KUFUNGUA MILANGO WANGA WAUMIE.
 
Karibu sana Kireka, Jinja road. Ugali(posho) naupatia Namanve, karibu kama hujaingia Uganda kama mzururaji
ASANTE SANA MWENYEZI MUNGU KWA MAFURIKO YAKO YA BARAKA NA NAKUOMBA ZIDI KUFUNGUA MILANGO WANGA WAUMIE.
 
Acha utoto wewe genta
ASANTE SANA MWENYEZI MUNGU KWA MAFURIKO YAKO YA BARAKA NA NAKUOMBA ZIDI KUFUNGUA MILANGO WANGA WAUMIE.

Mtabadilli sana ID zenu leo ili Kunijibu, ila najua SINDANO IMEFIKA na MESSAGE SENT AND DELIIVERED WA WAPUMBAVU WOTE.
 
Back
Top Bottom