Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Lazima ufaidi mizigo yaki baganda,, napaelewa sana huko,,,,sasa connection ya Kampala na wewe piga pasi GENTAMYCINE
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ASANTE SANA MWENYEZI MUNGU KWA MAFURIKO YAKO YA BARAKA NA NAKUOMBA ZIDI KUFUNGUA MILANGO WANGA WAUMIE.Maneno mengi ya nini? Kama ni kweli nikitegemea unatupia picha za ticket au airport tuamini sio ngojera kama kidemu cha buza
Kama kuna Post ambayo nimeipenda na naiheshimu basi ni hii yako Mkuu. On a serious note kweli nataka kutumia huu uwepo wangu wa hapa Ikulu Uganda kuutumia katika Kushirikiana na Kuwatafia Fursa Watanzania ama kwa kuwapa Connection za kuja huku kufanya Kazi au Waganda kuja huko Tanzania kufanya Kazi.Lazima ufaidi mizigo yaki baganda,, napaelewa sana huko,,,,sasa connection ya Kampala na wewe piga pasi GENTAMYCINE
Dr Mungu akupe maisha marefu sanaUGx 900,000 (Ugndan Shilingi) Ndogo sana its about 450k au 430k hivi ikizidi sana ni 460k.. Za kitanzania..
Na Hiyo 30k kwa wiki Means Tsh 15k kwa wiki???
Mbona ni pesa Ndogo sana Mkuu unayolipwa???
Sasa si bora ungebaki Tanzania??
Mwache banaaaaHakuna hotel inalindwa na wanajeshi, hao ni migambo tu kama sio G4S.... ficha huo ushamba hata kama upo ugenini.
OK M23 tuko msibani tunalilia askari watanzania wenzetu watatu waliouawa na M23 kongoNimepangiwa na Wenyeji wangu katika Hoteli moja Kubwa na yenye Historia ya Kipekee nchini Uganda inayolindwa Kutwa na Wanajeshi iliyoko Kampala kama unaijua njoo kwa nje jitambulishe Reception kuwa Wewe ni DR Mambo Jambo kutoka JamiiForums na umekuja Kumtembelea KIPENZI CHA MWENYEZI MUNGU NA MBARIKIWA WA TALANTA NYINGI GENTAMYCINE "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" na tunaweza Kuonana sawa? Ila uje na Adabu zako zote hapa Hotelini sawa Mkuu kwani nikikuripoti tu kwa Wajeda hawa Wanaolinda hii Hoteli kuwa Wewe ni Mtu mbaya Kwangu sasa hivi huko Nyumbani Kwenu Tanzania wanaweka Maturubai ya Msiba wako.
🤣🤣🤣Hivi nikikuita Mpumbavu nitakuwa nakosea? Hivi kumtolea Mwenyezi Mungu FUNGU LAKE LA KUMI Shilingi 900,000 ( Laki Tisa za Uganda ) kila Mwezi hapo ndiyo nimemaanisha kuwa huo ndiyo Mshahara wangu? Kwahiyo kwa kukuambia tu kuwa nitatoa Kiasii hicho cha Sadaka umeshindwa kujua Mshahara ni kiasi gani?
Nilikuwa sijui kumbe Mshahara wa Mtu Tanzania wa Shilingi Milioni 5 na Laki Tisa ( TSHS 5,900,000 ) kwa Mwezi ni mdogo sana kiasi kwamba akipata Fursa ya Mshahaa huo Nje ya nchi anatakiwa aachane nao na abakie tu Tanzania? Hivi kumbe kwa Tanzania Posho ya Shilingi 150,000 kwa Wiki si Kubwa?
Kumbe nikiwa NAWADHARAU Kutwa hapa JamiiForums Wapumbavu wa Mfano wako huwa sikosei na nakuwa sahihi mno.
Kwa kumuonea Wivu Mtu ambaye hata Wewe na Yeye mkiunganisha Mishahara yenu ya Shilingi Laki Saba Saba bado hata Robo yake tu hamjamfikia?Dr Mungu akupe maisha marefu sana
Genta mm sina chuki na ww lkn kiukwel kama huo mshahara uliosema ndo unaolipwa bas unapigwa gape na demu wangu flan anafanya Kazi MoshiKwa kumuonea Wivu Mtu ambaye hata Wewe na Yeye mkiunganisha Mishahara yenu ya Shilingi Laki Saba Saba bado hata Robo yake tu hamjamfikia?
Zimefika Mkuu.Wasalimie sana sana ,wa east afrika wezetu
I think you are not talented, normally talented people don't shout at all. You are rather entertainer.Mtu hujawahi hata Kupanda Ndege, huna Pasipoti na hata hujawahi Kukaa Ikulu yoyote ile duniani na kupokelewa kwa hadhi ya VIP Airport, kupanda Benz na VX za Ikulu tokea Uzaliwe mpaka unakoelekea Kufa / Kufariki Kwako utaweza kutaka Kushindana nami NILIYEBRKIWA na ninayeendelea KUBARIKIWA?
Najua unachokitaka ni Kunitega kwa Mbinu ya Kipumbavu na ya Kitoto ili nikutajie jina la Hoteli hivyo bado haujanipata Ok?
Mimi ndiyo GENTAMYCNE "Purely Talented, Charismatic Fella Game Changer and Entertainer' na pia ni The King pia sawa?
Hii ni TZ-UG tuNimefika jana, leo nipo Hotelini na kuanzia Kesho nitakuwa Ofisi za Bunge la Uganda, kisha Wizara ya Urumishi Uganda kuonana na Katibu Mkuu wake Mama Catherine Musingwiire na kama Ratiba haitobadilika Ijumaa nitakuwa Nakasero State House kuoana na Mheshimwa Rais Museveni na Jumapili naenda kuonana na CDF mpya Muhoozi Kaineugaba Kwake kabla sijaanza Majukumu yangu mapya hapa nikiwa chini yao.
Naomba Taarifa hii muhimu iwafikie hawa Majuha ( Nuts ) wafuatao
Ncha Kali
Captain Fire
kibobori mahoro
TAI DUME
Mkiambiwa ACHENI MUNGU AITWE MUNGU HAMTAKI NA KUTWA TU MNAISHI KIMAZOEA KWAKUWA 24/7 TUKO HAPA JAMVINI.
Na mtaumia na Kununa sana tu Kudadadeki zenu. Aliyekuja na huu Msemo wa USILOLIJUA NI SAWA NA USIKU WA GIZA popote pale alipo GENTAMYCINE nampongeza mno kwani aliona mbali sana. MWENYEZI MUNGU PEKEE NDIYO HUJUA NI MUDA GANI WA KUMBARIKI YULE AMTAKAYE HATA KAMA AKIWA ANADHAAULIKA, ANACHEKWA, ANASANIFIWA, ANATUKANWA na KUONEKANA HANA THAMANI YOYOTE ILE.
Ewe Mwenyezi Mungu Asante kwa Baraka zako nyingi Kwangu na suburia tu FUNGU LAKO LA KUMI la Shilingi za Uganda 900,000 za kila Mwezi na zile za Shilingi za Uganda 30,000 za kila Wiki ili uendelee na uzidi Kunibariki Mtumishi wako na kunifungulia MILANGO ZAIDI ili wale akina TOMASO wajue kuwa upo na Wewe wala huwa HUPANGIWI MUDA WA KUMBARIKI mja wako.
Asante sana Mungu.
Mtu hujawahi hata Kupanda Ndege, huna Pasipoti na hata hujawahi Kukaa Ikulu yoyote ile duniani na kupokelewa kwa hadhi ya VIP Airport, kupanda Benz na VX za Ikulu tokea Uzaliwe mpaka unakoelekea Kufa / Kufariki Kwako utaweza kutaka Kushindana nami NILIYEBRKIWA na ninayeendelea KUBARIKIWA?Nchi hii mtu anaweza kuwa yupo huko kijijini kwao Bumangi anakula samaki wa kubanika na mgagani ila anajifanya yupo Uganda analindwa na wajeda. GENTAMYCINE njoo hapa Mwikoko kwa Mwegora tule mazara na ugali
Hahaha Mkuu nikuonee Wivu kwenda Uganda 🤣🤣🤣Nimebadilisha nini Mpumbavu Mmoja Wewe? Na nibadilishe ili iweje labda? Umekalia tu Wivu na Chuki. Na hapa bado!!!!
Leo HATERS Wote mtatoka mlikojificha na Mimi nimeuanzisha huu Uzi Makusudi ili tu mpasuke kwa Hasira na Niwakere tu.Hii ni TZ-UG tu
Ingekua ni TZ to say Australia?
JF nzima ingezimwa zingekua ni uzi tupu za safari
What the fvck is this man?
GENTAMYCINEPurely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer... [emoji2]