Asanteni wana Kawe, wana Mapinga Bagamoyo, Watanzania na Hodi Kampala na Uganda

Asanteni wana Kawe, wana Mapinga Bagamoyo, Watanzania na Hodi Kampala na Uganda

Ndege inaongozwa na Mwanamke mie nisingepanda.na siwezi kupanda.ni risk sana
Na wakati nashuka kwa Ustadi Mkubwa wa Urushaji wake ambao ulinivutia kama ilivyo Nature yangu ya Udadisi na Kuchunguza Mambo / Matukio nililazimika kuwauliza wale Wahudumu Historia yake Madam Captain Fiona Wambui wa Kenya Airways na wakasema ana Uzoefu wa Kurusha Ndege za Masafa yote marefu unayoyajua na hadi Ndege Kubwa nikaishia tu Kuuliza ameshaolewa nikajibiwa Kitambo sana na Mumewe ni Mfanyabiashara mkubwa tu Jijini Naiobi.
 
Kama kuna Post ambayo nimeipenda na naiheshimu basi ni hii yako Mkuu. On a serious note kweli nataka kutumia huu uwepo wangu wa hapa Ikulu Uganda kuutumia katika Kushirikiana na Kuwatafia Fursa Watanzania ama kwa kuwapa Connection za kuja huku kufanya Kazi au Waganda kuja huko Tanzania kufanya Kazi.

Kuna Miradi kadhaa Rais Museveni na Mwanae Muhoozi wanataka kuianzisha huko Tanzania hivyo najua nitatakiwa kuwapigia pande Watanzania hivyo nami kwakuwa sina Uchoyo, Wivu na Roho Mbaya nitahakikisha baadhi ya Watanzania wanafaidika na kama hutojali njoo PMi ili unipe contacts zako ili Mradi ukianza nawe uwemo.

Nimependa mno hii post yako tofauti na za Wapumbavu wengi hapo juu wanaodhani kuwa GENTAMYCINE nafanya mzaha.
Tumepata mualiko ila mageti yamefungwa ya kupata contacts huko
 
mzee ramadhan ni mtaalam wa nyota biashara mali bira kafara mausiano cheo nk 0742757243
Screenshot_20240526_075054_Gallery.jpg
 
Back
Top Bottom