Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulizia Wandegeya ilipo, then jongea mahali hapo na tutakupokea vyema kabisa. Nina genge langu hapo Wandegeya market, North Wing.Nimepangiwa na Wenyeji wangu katika Hoteli moja Kubwa na yenye Historia ya Kipekee nchini Uganda inayolindwa Kutwa na Wanajeshi iliyoko Kampala kama unaijua njoo kwa nje jitambulishe Reception kuwa Wewe ni DR Mambo Jambo kutoka JamiiForums na umekuja Kumtembelea KIPENZI CHA MWENYEZI MUNGU NA MBARIKIWA WA TALANTA NYINGI GENTAMYCINE "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" na tunaweza Kuonana sawa? Ila uje na Adabu zako zote hapa Hotelini sawa Mkuu kwani nikikuripoti tu kwa Wajeda hawa Wanaolinda hii Hoteli kuwa Wewe ni Mtu mbaya Kwangu sasa hivi huko Nyumbani Kwenu Tanzania wanaweka Maturubai ya Msiba wako.
Ticket ya ndege alosafiria ndugu yako umeamua kuiandikia uzi kabisa, dah! 🐒Uganda niliyoiacha mwaka 2001 siyo hii ya Leo ama hakika pongezi nyingi sana ziende kwa Mheshimiwa Rais wa Uganda Yoweri Kaguta Museveni kwa haya Maendeleo. Haya wale Wabongo mlioko Kampala hasa hasa Maeneo ya Nakasero ilipo Ikulu ya Uganda Mgeni wenu GENTAMYCINE nImewasili rasmi jana namba nipeni maeneo mliopo ili nije mnipe mawili matatu ya Jiji hili kwani kila Kitu Kwangu sasa nakiona ni kipya.
Pongezi nyingi sana kwa Shirika la Ndege la Kenya Airways kwa Huduma zao nzuri na hasa hasa Rubani wa Kike wa jana Captain Fiona Wambui kwa Kurusha Ndege kwa Ustadi mkubwa kiasi kwamba kuna Ndege ya nchi moja hivi ( nimeisahau Jina kwa sasa na Ndege zao pia ni mbaya ) kuna Rubani wake Mmoja wa Kiume akiwarusheni utaona kuna tofauti kubwa sana kati yake na huyu wa Kike wa Kenya Airways.
UKINUNA UWE NA SABABU, NA MWENYEZI MUNGU KAMWE HUWA HAPANGIWI WAKATI WA KUMBARIKI MJA WAKE.
GENTAMYCINE 'Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer"
Nimefika jana, leo nipo Hotelini na kuanzia Kesho nitakuwa Ofisi za Bunge la Uganda, kisha Wizara ya Urumishi Uganda kuonana na Katibu Mkuu wake Mama Catherine Musingwiire na kama Ratiba haitobadilika Ijumaa nitakuwa Nakasero State House kuoana na Mheshimwa Rais Museveni na Jumapili naenda kuonana na CDF mpya Muhoozi Kaineugaba Kwake kabla sijaanza Majukumu yangu mapya hapa nikiwa chini yao.🤣🤣🤣
Hotel au Ikulu?
Mtu hujawahi hata Kupanda Ndege, huna Pasipoti na hata hujawahi Kukaa Ikulu yoyote ile duniani na kupokelewa kwa hadhi ya VIP Airport, kupanda Benz na VX za Ikulu tokea Uzaliwe mpaka unakoelekea Kufa / Kufariki Kwako utaweza kutaka Kushindana nami NILIYEBRKIWA na ninayeendelea KUBARIKIWA?Ticket ya ndege alosafiria ndugu yako umeamua kuiandikia uzi kabisa, dah! 🐒
hata hivyo shirika letu la ndege la Air Tanzania linaendelea kuimarika, kuleta ushindani na kufanya vizuri sana katika sekta hii muhimu ya usafiri wa anga duniani.
shirika linao marubani makini, mahiri na hodari sana wenye wiwango vya kitaifa na kimatafa wa kurusha ndege masafa marefu na mafupi pia, kwa gharama nafuu kabisa...
Next time,
Safiri Salama na Air Tanzania....
Eid Mubarak 🌹
Afya yako ya ubongo ina shida kubwa sanaMtu hujawahi hata Kupanda Ndege, huna Pasipoti na hata hujawahi Kukaa Ikulu yoyote ile duniani na kupokelewa kwa hadhi ya VIP Airport, kupanda Benz na VX za Ikulu tokea Uzaliwe mpaka unakoelekea Kufa / Kufariki Kwako utaweza kutaka Kushindana nami NILIYEBRKIWA na ninayeendelea KUBARIKIWA?
Najua unachokitaka ni Kunitega kwa Mbinu ya Kipumbavu na ya Kitoto ili nikutajie jina la Hoteli hivyo bado haujanipata Ok?
Mimi ndiyo GENTAMYCNE "Purely Talented, Charismatic Fella Game Changer and Entertainer' na pia ni The King pia sawa?
Asante kwa huo Mwaliko wako Mkuu ila kwa sasa movements zangu zote ziko Controlled na Monitored na Watu wa State.Ulizia Wandegeya ilipo, then jongea mahali hapo na tutakupokea vyema kabisa. Nina genge langu hapo Wandegeya market, North Wing.
Amka utajikojoleaNimefika jana, leo nipo Hotelini na kuanzia Kesho nitakuwa Ofisi za Bunge la Uganda, kisha Wizara ya Urumishi Uganda kuonana na Katibu Mkuu wake Mama Catherine Musingwiire na kama Ratiba haitobadilika Ijumaa nitakuwa Nakasero State House kuoana na Mheshimwa Rais Museveni na Jumapili naenda kuonana na CDF mpya Muhoozi Kaineugaba Kwake kabla sijaanza Majukumu yangu mapya hapa nikiwa chini yao.
Naomba Taarifa hii muhimu iwafikie hawa Majuha ( Nuts ) wafuatao
Ncha Kali
Captain Fire
kibobori mahoro
TAI DUME
Mkiambiwa ACHENI MUNGU AITWE MUNGU HAMTAKI NA KUTWA TU MNAISHI KIMAZOEA KWAKUWA 24/7 TUKO HAPA JAMVINI.
Na mtaumia na Kununa sana tu Kudadadeki zenu. Aliyekuja na huu Msemo wa USILOLIJUA NI SAWA NA USIKU WA GIZA popote pale alipo GENTAMYCINE nampongeza mno kwani aliona mbali sana. MWENYEZI MUNGU PEKEE NDIYO HUJUA NI MUDA GANI WA KUMBARIKI YULE AMTAKAYE HATA KAMA AKIWA ANADHAAULIKA, ANACHEKWA, ANASANIFIWA, ANATUKANWA na KUONEKANA HANA THAMANI YOYOTE ILE.
Ewe Mwenyezi Mungu Asante kwa Baraka zako nyingi Kwangu na suburia tu FUNGU LAKO LA KUMI la Shilingi za Uganda 900,000 za kila Mwezi na zile za Shilingi za Uganda 30,000 za kila Wiki ili uendelee na uzidi Kunibariki Mtumishi wako na kunifungulia MILANGO ZAIDI ili wale akina TOMASO wajue kuwa upo na Wewe wala huwa HUPANGIWI MUDA WA KUMBARIKI mja wako.
Asante sana Mungu.
Umasikini ulionao na Taabu zako za Maisha ulizonazo kwa sasa zisikuanye ukawa na Hasira juu ya wale Waliobarikiwa sasa.Afya yako ya ubongo ina shida kubwa sana
UGx 900,000 (Ugndan Shilingi) Ndogo sana its about 450k au 430k hivi ikizidi sana ni 460k.. Za kitanzania..Nimefika jana, leo nipo Hotelini na kuanzia Kesho nitakuwa Ofisi za Bunge la Uganda, kisha Wizara ya Urumishi Uganda kuonana na Katibu Mkuu wake Mama Catherine Musingwiire na kama Ratiba haitobadilika Ijumaa nitakuwa Nakasero State House kuoana na Mheshimwa Rais Museveni na Jumapili naenda kuonana na CDF mpya Muhoozi Kaineugaba Kwake kabla sijaanza Majukumu yangu mapya hapa nikiwa chini yao.
Naomba Taarifa hii muhimu iwafikie hawa Majuha ( Nuts ) wafuatao
Ncha Kali
Captain Fire
kibobori mahoro
TAI DUME
Mkiambiwa ACHENI MUNGU AITWE MUNGU HAMTAKI NA KUTWA TU MNAISHI KIMAZOEA KWAKUWA 24/7 TUKO HAPA JAMVINI.
Na mtaumia na Kununa sana tu Kudadadeki zenu. Aliyekuja na huu Msemo wa USILOLIJUA NI SAWA NA USIKU WA GIZA popote pale alipo GENTAMYCINE nampongeza mno kwani aliona mbali sana. MWENYEZI MUNGU PEKEE NDIYO HUJUA NI MUDA GANI WA KUMBARIKI YULE AMTAKAYE HATA KAMA AKIWA ANADHAAULIKA, ANACHEKWA, ANASANIFIWA, ANATUKANWA na KUONEKANA HANA THAMANI YOYOTE ILE.
Ewe Mwenyezi Mungu Asante kwa Baraka zako nyingi Kwangu na suburia tu FUNGU LAKO LA KUMI la Shilingi za Uganda 900,000 za kila Mwezi na zile za Shilingi za Uganda 30,000 za kila Wiki ili uendelee na uzidi Kunibariki Mtumishi wako na kunifungulia MILANGO ZAIDI ili wale akina TOMASO wajue kuwa upo na Wewe wala huwa HUPANGIWI MUDA WA KUMBARIKI mja wako.
Asante sana Mungu.
Ukikua utaacha utotoAsante kwa huo Mwaliko wako Mkuu ila kwa sasa movements zangu zote ziko Controlled na Monitored na Watu wa State.
Kuna watu wa kupanda ndege ila kwa utoto unaouonyesha humu kupanda ndege sahau,,,,Mtu hujawahi hata Kupanda Ndege, huna Pasipoti na hata hujawahi Kukaa Ikulu yoyote ile duniani na kupokelewa kwa hadhi ya VIP Airport, kupanda Benz na VX za Ikulu tokea Uzaliwe mpaka unakoelekea Kufa / Kufariki Kwako utaweza kutaka Kushindana nami NILIYEBRKIWA na ninayeendelea KUBARIKIWA?
Najua unachokitaka ni Kunitega kwa Mbinu ya Kipumbavu na ya Kitoto ili nikutajie jina la Hoteli hivyo bado haujanipata Ok?
Mimi ndiyo GENTAMYCNE "Purely Talented, Charismatic Fella Game Changer and Entertainer' na pia ni The King pia sawa?
Au sioNinachojua tu ni kwamba Ujumbe umeshafika.
Kudadadeki....!!
Kwa Mimi MASIIKINI wa KUTUKUKA Kwangu naona ni nyingi sana. Nibaki Tanzania ili niendelee kukupa Mimba zangu au?UGx 900,000 (Ugndan Shilingi) Ndogo sana its about 450k au 430k hivi ikizidi sana ni 460k.. Za kitanzania..
Na Hiyo 30k kwa wiki Means Tsh 15k kwa wiki???
Mbona ni pesa Ndogo sana Mkuu unayolipwa???
Sasa si bora ungebaki Tanzania??
ASANTE SANA MKUU kikubwa tu tuombeane UHAI, AFYA NJEMA na ULINZI wa KUTUKUKA wa Mwenyezi Mungu.Hongera Mkuu.
Tukutakie majukumu mema huko State House ya Uganda..
Hiyo pesa ni kubwa mno kwa huyu jobless aliyetukuka, kama kweli amepata hiyo fursa acha afurahie tu..... alipigika sana kwa miaka mingi tangu ahitimi kile chuo uchwara.UGx 900,000 (Ugndan Shilingi) Ndogo sana its about 450k au 430k hivi ikizidi sana ni 460k.. Za kitanzania..
Na Hiyo 30k kwa wiki Means Tsh 15k kwa wiki???
Mbona ni pesa Ndogo sana Mkuu unayolipwa???
Sasa si bora ungebaki Tanzania??
Chai..Pongezi nyingi sana kwa Shirika la Ndege la Kenya Airways kwa Huduma zao nzuri na hasa hasa Rubani wa Kike wa jana Captain Fiona Wambui kwa Kurusha Ndege kwa Ustadi mkubwa kiasi kwamba kuna Ndege ya nchi moja hivi ( nimeisahau Jina kwa sasa na Ndege zao pia ni mbaya ) kuna Rubani wake Mmoja wa Kiume akiwarusheni utaona kuna tofauti kubwa sana kati yake na huyu wa Kike wa Kenya Airways.
Pole sana kwa Usununu na lengo langu la Kuwakera HATERS limetimia na hapa mnavyochukia na kutoamini nafurahi sana.Kuna watu wa kupanda ndege ila kwa utoto unaouonyesha humu kupanda ndege sahau,,,,