GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
-
- #101
Na wakati nashuka kwa Ustadi Mkubwa wa Urushaji wake ambao ulinivutia kama ilivyo Nature yangu ya Udadisi na Kuchunguza Mambo / Matukio nililazimika kuwauliza wale Wahudumu Historia yake Madam Captain Fiona Wambui wa Kenya Airways na wakasema ana Uzoefu wa Kurusha Ndege za Masafa yote marefu unayoyajua na hadi Ndege Kubwa nikaishia tu Kuuliza ameshaolewa nikajibiwa Kitambo sana na Mumewe ni Mfanyabiashara mkubwa tu Jijini Naiobi.Ndege inaongozwa na Mwanamke mie nisingepanda.na siwezi kupanda.ni risk sana
Tumepata mualiko ila mageti yamefungwa ya kupata contacts hukoKama kuna Post ambayo nimeipenda na naiheshimu basi ni hii yako Mkuu. On a serious note kweli nataka kutumia huu uwepo wangu wa hapa Ikulu Uganda kuutumia katika Kushirikiana na Kuwatafia Fursa Watanzania ama kwa kuwapa Connection za kuja huku kufanya Kazi au Waganda kuja huko Tanzania kufanya Kazi.
Kuna Miradi kadhaa Rais Museveni na Mwanae Muhoozi wanataka kuianzisha huko Tanzania hivyo najua nitatakiwa kuwapigia pande Watanzania hivyo nami kwakuwa sina Uchoyo, Wivu na Roho Mbaya nitahakikisha baadhi ya Watanzania wanafaidika na kama hutojali njoo PMi ili unipe contacts zako ili Mradi ukianza nawe uwemo.
Nimependa mno hii post yako tofauti na za Wapumbavu wengi hapo juu wanaodhani kuwa GENTAMYCINE nafanya mzaha.
mzee ramadhan ni mtaalam wa nyota biashara mali bira kafara mausiano cheo nk 0742757243ASANTE SANA MWENYEZI MUNGU KWA MAFURIKO YAKO YA BARAKA NA NAKUOMBA ZIDI KUFUNGUA MILANGO WANGA WAUMIE.
mzee ramadhan ni mtaalam wa nyota biashara mali bira kafara mausiano cheo nk 0742757243
View attachment 3000167
Akili timamu ikiwa katika ubora wake wa juu kabisa