Asasi nne za kiraia zaishitaki Tanzania mahakama ya Afrika Mashariki kwa 'Ukiukwaji mkubwa' kutoka kwa polisi wake

cheap politics...
Wakimaliza makesi yao huku bongo hakuna hata atakayewasikiliza, bahati nzuri itakuwa 2022 huko Kenya watakuwa wameuana kwa mamia, unafiki wa vibaraka wa mabeberu utafunikwa na hilo.
 
Utemi Utemi tu - Kosoa Serikali kishabiki unakipata - kwanza hakuna kuogopa hivi vi mahakama uchwara - kwanza maamuzi ama hukumu yake yake ni kama mapendekezo tu kwa Serikali yetu sikuvu ya CCM

CCM oyeee - ushindi wa kishindo ndiyo nguzo yetu - Tunakubalika na watanzania - wengine wote mnajisumbua bure

Kutoka Lumumba ni mimi Mwamachama mkelelekwa aka mfia chama nisiye na cheo chochote
 
Uganda wakamshitaki Museveni na Kenya wamshitaki Kenyatta kwanza, kuanzia uchaguzi wa Kenya na sasa Uganda kisha wakiwashinda ndo waje huku kwetu.
Waganda na Wakenya wenyewe wataamua kuwashitaki Viongozi wao ikibidi siyo kwa ushauri wa vilaza wa CCM ambao hata lughà iliyotumika hawaelewi ingawa wanaweza kuwashitaki Viongozi wa hizo nchi wanachama ikibidi kwa kutumia Sheria huyohuyo. Vilaza ni vilaza tu hawawezi kufanya lolote kwa faida yao wala hawataki wengine wafanye!
 
Je, hizo Taasisi kutoka Jirani Kenya na Uganda zimeshamaliza Kwanza kutatua Matatizo makubwa ya Kiutawala ya huko nchini Kenya na Uganda?
Upo kwenye nyumba inayoungua unapiga yowe husikiki, inabidi jirani aingilie!!
 
This is material as long as the Tanzanian population and activists join the front.
 
Wote kwa pamoja tuamke kudai marekebesho ya katiba. Hii ndiyo dawa ya yote haya yanayotokea. Tusiwaachie watu wa nje kutupigania.
 
Civil societies hizo mara nyingi hizo ni njia za kujustify funds wanazopewa na mabeberu.

Hauwezi kufungua NGO halafu unapokea pesa Za watu usipeleke ripoti ya kazi zako.

Lazima utafute tu jambo la kukuonesha kuwa unafanya kazi na fedha za donors haziendi bure.
 
Tanzania ni nchi huru yenye kujiamria mambo yake pasipo kuingiliwa na nchi yoyote, pia sisi watanzania zaidi ya milioni 12 ndio tumemchagua atutumikie hivyo hao mawakala wa mabeberu watuache
 
Upo kwenye nyumba inayoungua unapiga yowe husikiki, inabidi jirani aingilie!!View attachment 1668773
Jirani wenye nani? Hawa akina Uhuru Kenyatta ambaye muda wowote ICC inaibua Kesi yake ya Mauwaji baada ya Ushahidi mpya Kupatikana pamoja na Yoweri Museveni ambaye sasa ameshavuka Kiwango cha mwisho cha Ukatili na Kuwanyanyasa Wapinzani wake huko Kwake nchini Uganda? Ukizifananisha Tanzania, Kenya na Uganda bado Tanzania ipo mahala pazuri kwa Amani, Ustawi na Maendeleo kuliko hawa wengine.
 
We ni janga sasa, hiko kichwa umebebea tu nywele.

Hamia kenya au uganda.

Wala hapa hakuihitaji mjadala.

Nakuhakikishia HAKUNA LOLOTE WANALOWEZA FANYA ZAIDI TU YA KUBWEKA.
Hata kama hamna kitakachotokea angalau wamepaza sauti kuliko kukaa kimya,
 
Uchaguzi umekwisha Bavicha chapeni kazi!
Uchaguzi huu hauwezi kwisha abadan kwa sababu watu wengi hawakuridhika nao. Usitegemee watu kamwe kunyamaza kuongelea uchaguzi huu. hili tayari limo kwenye historia forever na hakuna raba itakayoweza kulifuta. Hili mlijuwe na inabidi mlikubali kwa kuwa hakuna namna nyengine!
 
Umejipa jina kubwa kumbe hamnazo. Mahakama ya Africa na mahakama ya Africa mashariki wapi na wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…