1 1954 JF-Expert Member Joined Nov 14, 2006 Posts 11,246 Reaction score 13,722 Jul 1, 2020 #121 Prince Kamugisha said: Nilichokiona leo ππ yaani mbeleko ya wazi kabisa Lawi kavuta mpunga Gsm,yaani huyu ashawahi kuchezesha mechi mbeya wachezaji wa Mbeya City wakiwa kumi na mbili uwanjani Click to expand... Sawa...kwenye huo mpunga nadhani wewe ulikuwa wakala
Prince Kamugisha said: Nilichokiona leo ππ yaani mbeleko ya wazi kabisa Lawi kavuta mpunga Gsm,yaani huyu ashawahi kuchezesha mechi mbeya wachezaji wa Mbeya City wakiwa kumi na mbili uwanjani Click to expand... Sawa...kwenye huo mpunga nadhani wewe ulikuwa wakala
Mawembasa1979 JF-Expert Member Joined Feb 26, 2015 Posts 2,540 Reaction score 3,333 Jul 1, 2020 #122 Viol said: Aliyefanyiwa foul anapewa red card na aliyefanya anaachwa,ushindi wa mezani ule Click to expand... Nasikia Awesu amemtukana tusi baya sana Refa.
Viol said: Aliyefanyiwa foul anapewa red card na aliyefanya anaachwa,ushindi wa mezani ule Click to expand... Nasikia Awesu amemtukana tusi baya sana Refa.
Viol JF-Expert Member Joined Dec 15, 2009 Posts 25,420 Reaction score 18,298 Jul 1, 2020 #123 Mawembasa1979 said: Nasikia Awesu amemtukana tusi baya sana Refa. Click to expand... Kwa ule upuuzi wa refa sishangai
Mawembasa1979 said: Nasikia Awesu amemtukana tusi baya sana Refa. Click to expand... Kwa ule upuuzi wa refa sishangai
OKW BOBAN SUNZU Platinum Member Joined Aug 24, 2011 Posts 53,868 Reaction score 121,001 Jul 1, 2020 Thread starter #124 Mc cane said: Ndio Sheria za MO kwenye soka la bongo Click to expand... hivi msaani aliyeimba "kumwelewesha chizi utapata tabu", anaitwa nani?
Mc cane said: Ndio Sheria za MO kwenye soka la bongo Click to expand... hivi msaani aliyeimba "kumwelewesha chizi utapata tabu", anaitwa nani?
R rodrick alexander JF-Expert Member Joined Feb 12, 2012 Posts 16,784 Reaction score 23,312 Jul 1, 2020 #125 Habari ya mjini ni yanga kubebwa mechi ya jana
A adolay JF-Expert Member Joined Dec 8, 2011 Posts 12,101 Reaction score 14,487 Jul 8, 2020 #126 Shadeeya said: Kila la kheri Mtani. Tunawasubiria. Click to expand... Hongera sana best, kumekuwa kuzuuri sana leo upande wetu.
Shadeeya said: Kila la kheri Mtani. Tunawasubiria. Click to expand... Hongera sana best, kumekuwa kuzuuri sana leo upande wetu.