Nas Mapesa
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 5,286
- 5,421
Mnaogopa kukutana na mshipa wa wananchi?Sijawahi ona Refa Mpumbavu kama huyu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnaogopa kukutana na mshipa wa wananchi?Sijawahi ona Refa Mpumbavu kama huyu
Yanga mnajua kutafuta sababu kuharalisha uovu wenu, Yanga mmebebwa mechi ngapi hawasemi watu, makosa ya refa Leo isiwe sababu ya kuharalisha uovu wa refaNakubaliana na wewe kabisa kwa hili...mechi kadhaa za Simba zilikuwa na utata mkubwa Sana...karibu mechi sita za Simba marefaa walikuwa Sijui wamekula kitu. Gani....siku ya 2-2 na Yanga Wawa ilikuwa apewe straight red card kwa kumkanyaga Nchimbi live refa akiwa siyo zaidi ya mita tano kutoka eneo la tukio...halafu penalti ya Simba nayo ilikuwa siyo ya kawaida...siku Yanga iliposhinda 1-0 dhidi ya Simba yule Chama ilikuwa apewe straight red kwa kumkanyaga makusudi fei toto...siku ya namungo na Simba pia ilikuwa vituko...siku ya Simba na polisi nayo ilikuwa balaa...na mechi ya Simba na prisons nayo beki wa Simba alinawa live ndani ya penalti box...kwa hiyo Mambo siyo Mambo...halafu kipigo cha Singida United Cha 8-0 nacho kilikuwa siyo Cha kawaida...wafuatiliaji wanajua Nini kilitokea Kama ilivyo kwa kipigo cha 3-0 dhidi ya Mtibwa...
Ni hivi mnaona kama simba kabebwa sana msimu huu ila ni kwa vile tu ni bingwa ila pia hata yanga kabebwa sana tena inawezekana zaidi hata ya simba.Nakubaliana na wewe kabisa kwa hili...mechi kadhaa za Simba zilikuwa na utata mkubwa Sana...karibu mechi sita za Simba marefaa walikuwa Sijui wamekula kitu. Gani....siku ya 2-2 na Yanga Wawa ilikuwa apewe straight red card kwa kumkanyaga Nchimbi live refa akiwa siyo zaidi ya mita tano kutoka eneo la tukio...halafu penalti ya Simba nayo ilikuwa siyo ya kawaida...siku Yanga iliposhinda 1-0 dhidi ya Simba yule Chama ilikuwa apewe straight red kwa kumkanyaga makusudi fei toto...siku ya namungo na Simba pia ilikuwa vituko...siku ya Simba na polisi nayo ilikuwa balaa...na mechi ya Simba na prisons nayo beki wa Simba alinawa live ndani ya penalti box...kwa hiyo Mambo siyo Mambo...halafu kipigo cha Singida United Cha 8-0 nacho kilikuwa siyo Cha kawaida...wafuatiliaji wanajua Nini kilitokea Kama ilivyo kwa kipigo cha 3-0 dhidi ya Mtibwa...
Ok tunakubaliana au Mimi nakubaliana na wewe kuhusu hayo....ila kuna watu watstu wamefanya uchambuzi wa ligi kuu mpka Sasa..facts zinaonesha Simba imepora pointi 17 mpaka Sasa. Yaani Simba walitakiwa wawe na pointi 62 mpaka Sasa na siyo 79...Ni hivi mnaona kama simba kabebwa sana msimu huu ila ni kwa vile tu ni bingwa ila pia hata yanga kabebwa sana tena inawezekana zaidi hata ya simba.
Baadhi ya matukio: yanga walipewa goli dhidi ya coastal union wakati mpira haujavuka mstari, dhidi ya polisi , polisi walinyimwa goli halali walilofunga, dhidi ya azam magoli ya wazi na penati azam wananyimwa, dhidi ya lipuli maamuzi ya goal kona yote ikiwa ni kuibeba yanga. Matukio ni mengi, utopolo wamebebwa sana sema tu viongozi wa utopolo wamejua jinsi ya kuwalaghai mashabiki wao kwa kuwaaminisha kuwa wamekosa ubingwa kwa sababu ya simba kubebwa wakati utopolo zile mechi za haki bini haki utopolo wamepoteza points nyingi sana kama zile draw nne mfululizo.
Sawa ...poleni Sana kwa kuumia leo...huenda Simba na Yanga zikakutana katika kombe hili..ilitokea hivyo ni mshindi atajulikana kwani itakuwa ni 2-0. Mark my words...Yanga mnajua kutafuta sababu kuharalisha uovu wenu, Yanga mmebebwa mechi ngapi hawasemi watu, makosa ya refa Leo isiwe sababu ya kuharalisha uovu wa refa
Aisee Kama ulikuwepo...Mimi ndiyo natoka kwenye nyungu Sasa...Mbumbumbu wote wameenda kunywa dawa za maumivu na kupiga nyungu
Inawezekana...Kama ilivyokuwa Kati ya Yanga na Simba siku ya 2-2Ya Ngasa sio Penati.
Hapa tunazungumza ukweli tu.
Nyisha maelezo bhana "tako moja fc" mzee nani vile yule aliyesababisha wapigwe bomba?Kota moko cf.
Basi muwe mnasema tunabebwa wote, goli mbili za Azam na Penati ni haki yao.Inawezekana...Kama ilivyokuwa Kati ya Yanga na Simba siku ya 2-2
Kama unadhani tunabebwa wote ni sawa...Basi muwe mnasema tunabebwa wote, goli mbili za Azam na Penati ni haki yao.
Nakubaliana na wewe kabisa kwa hili...mechi kadhaa za Simba zilikuwa na utata mkubwa Sana...karibu mechi sita za Simba marefaa walikuwa Sijui wamekula kitu. Gani....siku ya 2-2 na Yanga Wawa ilikuwa apewe straight red card kwa kumkanyaga Nchimbi live refa akiwa siyo zaidi ya mita tano kutoka eneo la tukio...halafu penalti ya Simba nayo ilikuwa siyo ya kawaida...siku Yanga iliposhinda 1-0 dhidi ya Simba yule Chama ilikuwa apewe straight red kwa kumkanyaga makusudi fei toto...siku ya namungo na Simba pia ilikuwa vituko...siku ya Simba na polisi nayo ilikuwa balaa...na mechi ya Simba na prisons nayo beki wa Simba alinawa live ndani ya penalti box...kwa hiyo Mambo siyo Mambo...halafu kipigo cha Singida United Cha 8-0 nacho kilikuwa siyo Cha kawaida...wafuatiliaji wanajua Nini kilitokea Kama ilivyo kwa kipigo cha 3-0 dhidi ya Mtibwa...
Tuko pamoja, sasa waambie pia wafanye uchambuzi yanga wamepora points ngapi kwa kubebwa halafu uje hapa tulinganisheOk tunakubaliana au Mimi nakubaliana na wewe kuhusu hayo....ila kuna watu watstu wamefanya uchambuzi wa ligi kuu mpka Sasa..facts zinaonesha Simba imepora pointi 17 mpaka Sasa. Yaani Simba walitakiwa wawe na pointi 62 mpaka Sasa na siyo 79...
Yaani hawa tako moko fc ni nouma sana.Nakubaliana na wewe kabisa kwa hili...mechi kadhaa za Simba zilikuwa na utata mkubwa Sana...karibu mechi sita za Simba marefaa walikuwa Sijui wamekula kitu. Gani....siku ya 2-2 na Yanga Wawa ilikuwa apewe straight red card kwa kumkanyaga Nchimbi live refa akiwa siyo zaidi ya mita tano kutoka eneo la tukio...halafu penalti ya Simba nayo ilikuwa siyo ya kawaida...siku Yanga iliposhinda 1-0 dhidi ya Simba yule Chama ilikuwa apewe straight red kwa kumkanyaga makusudi fei toto...siku ya namungo na Simba pia ilikuwa vituko...siku ya Simba na polisi nayo ilikuwa balaa...na mechi ya Simba na prisons nayo beki wa Simba alinawa live ndani ya penalti box...kwa hiyo Mambo siyo Mambo...halafu kipigo cha Singida United Cha 8-0 nacho kilikuwa siyo Cha kawaida...wafuatiliaji wanajua Nini kilitokea Kama ilivyo kwa kipigo cha 3-0 dhidi ya Mtibwa...
Taja hizo point 18 zimetokana na nini?Simba amajikusanyia points 18 za utata mtupu
Lete ushahidi/ kumbukumbu ya hizo mechi tuone. Sio kuleta habari za kwenye vijiwe kwenye jukwaa unaloweza kuleta hadi ushahidiOk tunakubaliana au Mimi nakubaliana na wewe kuhusu hayo....ila kuna watu watstu wamefanya uchambuzi wa ligi kuu mpka Sasa..facts zinaonesha Simba imepora pointi 17 mpaka Sasa. Yaani Simba walitakiwa wawe na pointi 62 mpaka Sasa na siyo 79...
Kwa hiyo unamaanisha wa mechi yenu na Kagera sugar amelamba posho?
.
Hao wa Simba nionyeshe tafadhali