rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
shabiki mstaarabu wa yanga kama Shayeeda hawezi kushangilia ushindi wa leo huu watashangilia utopolo halisi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko sindo wapo As vita? labda mkacheze ligi ya ndondo Congo maana mlichapwa goli 5 kama watotoningekuwa na uwezo Simba yangu ningeiamishia ligi za Congo,huu ni upuuzi
Piga filimbi uweke penati sasa maana urefa unawezaKipa wa Yanga kamfanyia rafu Uwesu Uwesu ndani ya Box na ilitakiwa iwe penati lakini Lawi kaminya.
Nilisahau kumbe inayobebwa ni Simba tu.
Bila msaada wa tff hata nafasi ya tano hawapatiWazee waliobeba VPL wewe koko
Kipa wa Yanga kamfanyia rafu Uwesu Uwesu ndani ya Box na ilitakiwa iwe penati lakini Lawi kaminya.
Nilisahau kumbe inayobebwa ni Simba tu.
Wanajifanya hawakuona alivyoangushwa Fei Toto refa akapetaPiga filimbi uweke penati sasa maana urefa unaweza
Mbumbumbu hao wasikusunbue, wao wameshinda ligi kwa matokeo ya kubebwaWanajifanya hawakuona alivyoangushwa Fei Toto refa akapeta
Mshaitwa huko.Piga filimbi uweke penati sasa maana urefa unaweza
Nakubaliana na wewe kabisa kwa hili...mechi kadhaa za Simba zilikuwa na utata mkubwa Sana...karibu mechi sita za Simba marefaa walikuwa Sijui wamekula kitu. Gani....siku ya 2-2 na Yanga Wawa ilikuwa apewe straight red card kwa kumkanyaga Nchimbi live refa akiwa siyo zaidi ya mita tano kutoka eneo la tukio...halafu penalti ya Simba nayo ilikuwa siyo ya kawaida...siku Yanga iliposhinda 1-0 dhidi ya Simba yule Chama ilikuwa apewe straight red kwa kumkanyaga makusudi fei toto...siku ya namungo na Simba pia ilikuwa vituko...siku ya Simba na polisi nayo ilikuwa balaa...na mechi ya Simba na prisons nayo beki wa Simba alinawa live ndani ya penalti box...kwa hiyo Mambo siyo Mambo...halafu kipigo cha Singida United Cha 8-0 nacho kilikuwa siyo Cha kawaida...wafuatiliaji wanajua Nini kilitokea Kama ilivyo kwa kipigo cha 3-0 dhidi ya Mtibwa...kujua nani bora kaangalie marudio kwenye youtube na pia kaangalie mechi ya yanga na azam na mechi ya yanga na namungo halafu uwalinganishe
Ya Feitoto ni Penati na ya Uwesu ni Penati, ilaWanajifanya hawakuona alivyoangushwa Fei Toto refa akapeta
Na wewe nenda ukabebweNi aibu sana yanga wamebebwa live ,huyu refa ahojiwe na TFF au takukuru.
Ni aibu kubwa sana
Na wewe nenda ukabebwe
Ya Ngasa sio Penati.
Hapa tunazungumza ukweli tu.
Lawi ni Yanga lialia.Aliyefanyiwa foul anapewa red card na aliyefanya anaachwa,ushindi wa mezani ule
Nakuambia hivi huyu refa wa leo ni utopolo wa hali ya juu.Samahani...sijaangalia mechi ya leo...ila kwa maoni yako unadhani Kati ya yule aliyechezesha mechi ya Simba na Yanga ya 2-2 na huyu wa Leo ni nani Bora?
Kesho watajifungisha kwa Azam ili kutukwepaNilitegemea mikia wangefurahi ili tukutane nao