Asha (47) ahukumiwa kifungo cha maisha jela kwa kumbaka mvulana wa miaka 15

Asha (47) ahukumiwa kifungo cha maisha jela kwa kumbaka mvulana wa miaka 15

What is the legal difference between

🔹 SEXUAL HARASSMENT
and
🔹 INDECENT ASSAULT
 
Bora wamfunge tu, ingawa huenda hana akiri timamu, maana miaka 15 hata hajui kumkojoza mwanamke, ye alifata nini wakati kuna ma rijali wanaita kila anaekatisha mbele yao?
Kumbuka ni Mtwara huko! Wanaanza mambo wakiwa wadogo
 
Dogo alikua anatake Advantage ya kupendwa na jimama akapata pa kukojolea, Hapo wazazi wa dogo itakua ndo wameharibu mchongo hao hawakubakana ila walikua wapenz buana.
 
Mahakama ya Wilaya ya Mtwara, imemhukumu kifungo cha maisha jela, Asha Chanchoni (47) kwa kosa la shambulio la aibu, baada ya kubainika kujihusisha kimapenzi na mvulana mwenye umri wa miaka 15.

Hukumu hiyo imetolewa na Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama hiyo, Lucas Jang’andu, ambapo amesema Mahakama imethibitisha bila kuacha shaka kuwa mwanamke huyo alikuwa akijihusisha kimapenzi na mvulana huyo.
Aisee
 
Back
Top Bottom