Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
Hukumu alistahili lkn kifungo cha maisha? Si bora hata angepigwa 30.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cc adriz Accumen Mo hydroxo MlolongoMahakama ya Wilaya ya Mtwara, imemhukumu kifungo cha maisha jela, Asha Chanchoni (47) kwa kosa la shambulio la aibu, baada ya kubainika kujihusisha kimapenzi na mvulana mwenye umri wa miaka 15.
Sura ya Asha
Na iwe hivyo ila umekumbuka magonjwa?Kijana wangu kufunzwa kukaza ni jambo la faraja sana kuliko kujiumiza na Punyeto.
Mwanaume kwa namna yoyote habakwi na mwanamke.na mashine ikiingia ndani yote ikoje?
Kuumbuka: hapa mwanaume ndo kafanyiwa hili tendo.
Kuna madogo miaka 15 ana dudu la maana ambalo akikutana na mwanamke mtu mzima anampelekea moto fresh tu.Bora wamfunge tu, ingawa huenda hana akiri timamu, maana miaka 15 hata hajui kumkojoza mwanamke, ye alifata nini wakati kuna ma rijali wanaita kila anaekatisha mbele yao?
Huko kusini si kuna mambo ya jandoni wanafunzwa kila kitu,huko vitoto kuwa na vitoto kawaida sana!Bora wamfunge tu, ingawa huenda hana akiri timamu, maana miaka 15 hata hajui kumkojoza mwanamke, ye alifata nini wakati kuna ma rijali wanaita kila anaekatisha mbele yao?
Hapana unaweza kuta hata akamuambukiza maradhi na kumuharibia maisha huyo dogo. Adhabu ni sahihi.Maisha?! hiyo adhabu mbona kubwa sana?
Akipata mwanasheria mahiri anachomoka .kwa mwanamke inaitwa shambulio la aibu ila kwa mwanaume hapo ingesomeka ubakaji.
ajabu..!
Mimi Baba yake mwenyewe nakula Shudu Punyeto inakaribisha ukhanithi.Na iwe hivyo ila umekumbuka magonjwa?
ukute Asha alikua anafunga mwez mtukufu hakula nguruwe akamula kjana mdogo na akawaita wengne makafir [emoji1787][emoji23][emoji24]Mahakama ya Wilaya ya Mtwara, imemhukumu kifungo cha maisha jela, Asha Chanchoni (47) kwa kosa la shambulio la aibu, baada ya kubainika kujihusisha kimapenzi na mvulana mwenye umri wa miaka 15.
Hukumu hiyo imetolewa na Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama hiyo, Lucas Jang’andu, ambapo amesema Mahakama imethibitisha bila kuacha shaka kuwa mwanamke huyo alikuwa akijihusisha kimapenzi na mvulana huyo.
Acha kutetea upuuzi mkuu ,acha akanyee debe man washazoea kuonea wanaumeAkipata mwanasheria mahiri anachomoka .
Kwanza shambulio la aibu ni kumfanyia unyanyasaji mwanamke/au mwanaume hadharani,,mfano dunga dunga.
Na adhabu ya dunga dunga ni kulipa pesa ya sabuni kwa victim na sio kumpiga mvua ya miaka maisha..
Shitaka lilikosewa.
Sio kutetea upuuzi bali kesi imekosewa kufunguliwa mashtaka.Acha kutetea upuuzi mkuu ,acha akanyee debe man washazoea kuonea wanaume
Ndugu wewe ndio umetoa maoni ya kimhemko. sheria haitafasiriwi hivyo. shambulio la aibu si tendo moja tu la dungadunga . Bali ni mkusanyiko wa makosa yakiwemo ambayo hayakidhi vigezo vya kuwa ubakaji! Sheria ipo wazi kuwa mwanamke hawezi kubaka kwa sababu ubakaji ni kitendo cha ume kuingia kwenye uke bila ridhaa ya mke.Sio kutetea upuuzi bali kesi imekosewa kufunguliwa mashtaka.
Niwahi mshubudia mwanaume mmoja dunga dunga akifunguliwa mashtaka pale police buguruni miaka kadhaa iliyopita.
Jamaa alimchafua mwanamke kwa nyuma kwenye daladala.,,tena alitoa uume nje akauweka matakoni kwenye skirt ya yule mwanamke akamwagia mbegu.
Alipokamatwa akapewa kesi ya shambulio la aibu.
Pale pale police akaambiwa alipe fine pesa ya sabuni kwa yule mwanamke aliyechafuka.,,yaishe.
Jamaa alipewa kesi ya shambulio la aibu..
Hakuna shambulio la aibu linafanywa faragha.,
Shambulio la aibu ni kumfanyia mtu jambo la fedheha mbele za watu.
Na adhabu yake sio kali kama kubaka.
Huyo dada akiwa na mwanasheria anatoka.
Iifike mahali tusiamue kesi kwa mihemko bali tufate Sheria
Hao Polisi walikuwa wahuni tu. Hakuna kesi inaendeshwa PolisiSio kutetea upuuzi bali kesi imekosewa kufunguliwa mashtaka.
Niwahi mshubudia mwanaume mmoja dunga dunga akifunguliwa mashtaka pale police buguruni miaka kadhaa iliyopita.
Jamaa alimchafua mwanamke kwa nyuma kwenye daladala.,,tena alitoa uume nje akauweka matakoni kwenye skirt ya yule mwanamke akamwagia mbegu.
Alipokamatwa akapewa kesi ya shambulio la aibu.
Pale pale police akaambiwa alipe fine pesa ya sabuni kwa yule mwanamke aliyechafuka.,,yaishe.
Jamaa alipewa kesi ya shambulio la aibu..
Hakuna shambulio la aibu linafanywa faragha.,
Shambulio la aibu ni kumfanyia mtu jambo la fedheha mbele za watu.
Na adhabu yake sio kali kama kubaka.
Huyo dada akiwa na mwanasheria anatoka.
Iifike mahali tusiamue kesi kwa mihemko bali tufate Sheria
UPWIRU noma sana!!Mahakama ya Wilaya ya Mtwara, imemhukumu kifungo cha maisha jela, Asha Chanchoni (47) kwa kosa la shambulio la aibu, baada ya kubainika kujihusisha kimapenzi na mvulana mwenye umri wa miaka 15.
Hukumu hiyo imetolewa na Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama hiyo, Lucas Jang’andu, ambapo amesema Mahakama imethibitisha bila kuacha shaka kuwa mwanamke huyo alikuwa akijihusisha kimapenzi na mvulana huyo.
Kuna sehemu wameelezea kuwa ndio tabia yake KWA vijana Wengine wadogo? Mi nikajua ni KWA huyo wa 15 years tu.Ndugu wewe ndio umetoa maoni ya kimhemko. sheria haitafasiriwi hivyo. shambulio la aibu si tendo moja tu la dungadunga . Bali ni mkusanyiko wa makosa yakiwemo ambayo hayakidhi vigezo vya kuwa ubakaji! Sheria ipo wazi kuwa mwanamke hawezi kubaka kwa sababu ubakaji ni kitendo cha ume kuingia kwenye uke bila ridhaa ya mke.
Afu unajichanganya nadhali huelewi haya mambo. Sijui unamaanisha nini unaposema Asha akipata mwanasheria anachomoka ! Kwa kukusaidia huwezi kuwa hakimu bila kuwa mwanasheria. Na aliyeendesha kesi ni wakili kutoka ofisi ya waendesha mashitaka ya serikali ambaye ni mwanasheria. !
Labda kama unamaanisha kuwa ushahidi uliomfunga Asha ni hafifu ulikuwa wa mchongo hapo Asha anaweza kuchomoka.
Ila kwa kukusaidia Asha ni muharibifu alipaswa hata kunyongwa. Alikuwa amezoea kufanya hivyo vitendo na vijana wadogo na baadhi walitokea kutoa ushahidi dhidi yake. .Kibaya zaidi amemkatishia mtoto wa watu maisha ya ndoto zake na kafanya makusudi huku akijijua . Nadhani umeelewa sasa