Asha (47) ahukumiwa kifungo cha maisha jela kwa kumbaka mvulana wa miaka 15

Asha (47) ahukumiwa kifungo cha maisha jela kwa kumbaka mvulana wa miaka 15

Ndugu wewe ndio umetoa maoni ya kimhemko. sheria haitafasiriwi hivyo. shambulio la aibu si tendo moja tu la dungadunga . Bali ni mkusanyiko wa makosa yakiwemo ambayo hayakidhi vigezo vya kuwa ubakaji! Sheria ipo wazi kuwa mwanamke hawezi kubaka kwa sababu ubakaji ni kitendo cha ume kuingia kwenye uke bila ridhaa ya mke.

Afu unajichanganya nadhali huelewi haya mambo. Sijui unamaanisha nini unaposema Asha akipata mwanasheria anachomoka ! Kwa kukusaidia huwezi kuwa hakimu bila kuwa mwanasheria. Na aliyeendesha kesi ni wakili kutoka ofisi ya waendesha mashitaka ya serikali ambaye ni mwanasheria. !

Labda kama unamaanisha kuwa ushahidi uliomfunga Asha ni hafifu ulikuwa wa mchongo hapo Asha anaweza kuchomoka.

Ila kwa kukusaidia Asha ni muharibifu alipaswa hata kunyongwa. Alikuwa amezoea kufanya hivyo vitendo na vijana wadogo na baadhi walitokea kutoa ushahidi dhidi yake. .Kibaya zaidi amemkatishia mtoto wa watu maisha ya ndoto zake na kafanya makusudi huku akijijua . Nadhani umeelewa sasa
Amekatishaje ndoto zake na kumtaibia maisha kijana? Kwani Amempa mimba?
 
Kuna sehemu wameelezea kuwa ndio tabia yake KWA vijana Wengine wadogo? Mi nikajua ni KWA huyo wa 15 years tu.

Updates:. Nimeangalia gazeti la Mwananchi limesema ni tabia yake KWA vijana wadogo
Mtu ahukumiwi kwa maneno ya vijiweni bali kwa ushahidi usio na shaka..

Na hata kama angefanya hayo na watoto 100 tofauti lakini kesi aliyopewa ni shambulio la aibu basi haitoshi huyo dada kufungwa maisha labda abadilishiwe mashtaka apewe kesi ya kubaka watoto.
 
Kama dogo alikuwa ana-enjoy, mahakama ilipaswa kumuachia huru Asha.
 
Back
Top Bottom