Asha Baraka umevuna ulichopanda (dharau)

Asha Baraka umevuna ulichopanda (dharau)

Pamoja na kwamba uhusiano wako na majirani haukuwa muhimu sana kwako, kwani una vijihela na connection, ulitumia pia ushawishi wako kuzuia nyumba yako isibomolewe kupisha ujenzi wa barabara wakati nyumba zetu wengine zilibomolewa mara ya mwisho tulikutana Kinondoni karibu na bar ya Papi Chulo ulikuwa kwenye kibanda cha m pesa inatoa sh elfu 70.

Mwenye duka akakutaka uthibitishe jina ili akupe hela ukajibu kwa dharau kwani hujui mimi ni nani? Nilikuamkia ili kupunguza bughdha hukuitia shikamoo yangu ukachua elfu Sabini yako na kutokomea, mwenye duka akauliza yule dada ni nani mbona ana dharau nikamwambia ni meneja wa bendi 😁😁😁😁😅😅😀 wajumbe hao hao majirani zako unaopita bila kuwasalimia wakafanya yao shikamoo wajumbe
Asha Baraka anaenda kwenye kibanda cha Mpesa kutoa elfu 70??? Like seriously ,really? Mbona Kinyonge sana??
 
Pamoja na kwamba uhusiano wako na majirani haukuwa muhimu sana kwako, kwani una vijihela na connection, ulitumia pia ushawishi wako kuzuia nyumba yako isibomolewe kupisha ujenzi wa barabara wakati nyumba zetu wengine zilibomolewa mara ya mwisho tulikutana Kinondoni karibu na bar ya Papi Chulo ulikuwa kwenye kibanda cha m pesa inatoa sh elfu 70.

Mwenye duka akakutaka uthibitishe jina ili akupe hela ukajibu kwa dharau kwani hujui mimi ni nani? Nilikuamkia ili kupunguza bughdha hukuitia shikamoo yangu ukachua elfu Sabini yako na kutokomea, mwenye duka akauliza yule dada ni nani mbona ana dharau nikamwambia ni meneja wa bendi [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji28][emoji28][emoji3] wajumbe hao hao majirani zako unaopita bila kuwasalimia wakafanya yao shikamoo wajumbe
Wajumbe si watu wa mchezo hawataki shobo
 
Msameheni,ile sigara kubwa anayovuta ndio inampelekea kuwa hivyo.
 
Huyu mama Ananijua vizuri sana
Nishazinguana naye sana kwenye show zake za twanga, mpaka mme wake wkt ule hamis bwela akaweka mambo sawa
Ila twanga angeiendesha mdg wake omary Bendi ingesimama, Tatz huyu mama much knw sana uswahili ulaliaji mwingi

Ova
 
Huyu mama Ananijua vizuri sana
Nishazinguana naye sana kwenye show zake za twanga, mpaka mme wake wkt ule hamis bwela akaweka mambo sawa
Ila twanga angeiendesha mdg wake omary Bendi ingesimama, Tatz huyu mama much knw sana uswahili ulaliaji mwingi

Ova
Bedeshee Hamis Bwela huyu ni mtemi,mdogo wake marehemu Hassan Miundombinu nae alikua mtemi ngumi jiwe.
 
Wajumbe ni watu wapuuzi sana...
kama ww ni mgombea ukikutana nao wanakuchekea na kukusalimia kwa bashasha......
kana kwamba watakupa kura...
kumbe huku nyuma wanakukata....
she.nz kabisa....
 
Pamoja na kwamba uhusiano wako na majirani haukuwa muhimu sana kwako, kwani una vijihela na connection, ulitumia pia ushawishi wako kuzuia nyumba yako isibomolewe kupisha ujenzi wa barabara wakati nyumba zetu wengine zilibomolewa mara ya mwisho tulikutana Kinondoni karibu na bar ya Papi Chulo ulikuwa kwenye kibanda cha m pesa inatoa sh elfu 70.

Mwenye duka akakutaka uthibitishe jina ili akupe hela ukajibu kwa dharau kwani hujui mimi ni nani? Nilikuamkia ili kupunguza bughdha hukuitia shikamoo yangu ukachua elfu Sabini yako na kutokomea, mwenye duka akauliza yule dada ni nani mbona ana dharau nikamwambia ni meneja wa bendi 😁😁😁😁😅😅😀 wajumbe hao hao majirani zako unaopita bila kuwasalimia wakafanya yao shikamoo wajumbe

Umeandika ' Kimajungu ' sana na unaonekana una ' Uswahili ' mwingi mno tu katika Maisha yako huku ' Wivu ' ukiwa ndiyo ' Tunu ' yako Kimaisha.
 
Wajumbe:-
Kwasasa Hivi Ni Watu Muhimu Sana
Nadhani Ukimtoa Asha Baraka, Akaungane Na Mwakyembe Haa 😀😁 Nimekuja Nimeshiba Wajumbe Wakamtoa Na Njaa Sana Ukumbini
Bado Dodoma Nako Nawaona Waliowagawia Wajumbe Pesa Wakila Hasara 😎😋😶🤨😑😏😐🤔🤔
Wajumbe wakiwa 500 wanakuwa na akili ya kuzidi PHD
 
Back
Top Bottom