Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Alieniuma zaid ni master j alipoteza ubunge na rasta zake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asha Baraka anaenda kwenye kibanda cha Mpesa kutoa elfu 70??? Like seriously ,really? Mbona Kinyonge sana??Pamoja na kwamba uhusiano wako na majirani haukuwa muhimu sana kwako, kwani una vijihela na connection, ulitumia pia ushawishi wako kuzuia nyumba yako isibomolewe kupisha ujenzi wa barabara wakati nyumba zetu wengine zilibomolewa mara ya mwisho tulikutana Kinondoni karibu na bar ya Papi Chulo ulikuwa kwenye kibanda cha m pesa inatoa sh elfu 70.
Mwenye duka akakutaka uthibitishe jina ili akupe hela ukajibu kwa dharau kwani hujui mimi ni nani? Nilikuamkia ili kupunguza bughdha hukuitia shikamoo yangu ukachua elfu Sabini yako na kutokomea, mwenye duka akauliza yule dada ni nani mbona ana dharau nikamwambia ni meneja wa bendi 😁😁😁😁😅😅😀 wajumbe hao hao majirani zako unaopita bila kuwasalimia wakafanya yao shikamoo wajumbe
Wametafuta cos 360 degreesMkuu Wajumbe 'wame-differentiate constant' au?
Wajumbe si watu wa mchezo hawataki shoboPamoja na kwamba uhusiano wako na majirani haukuwa muhimu sana kwako, kwani una vijihela na connection, ulitumia pia ushawishi wako kuzuia nyumba yako isibomolewe kupisha ujenzi wa barabara wakati nyumba zetu wengine zilibomolewa mara ya mwisho tulikutana Kinondoni karibu na bar ya Papi Chulo ulikuwa kwenye kibanda cha m pesa inatoa sh elfu 70.
Mwenye duka akakutaka uthibitishe jina ili akupe hela ukajibu kwa dharau kwani hujui mimi ni nani? Nilikuamkia ili kupunguza bughdha hukuitia shikamoo yangu ukachua elfu Sabini yako na kutokomea, mwenye duka akauliza yule dada ni nani mbona ana dharau nikamwambia ni meneja wa bendi [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji28][emoji28][emoji3] wajumbe hao hao majirani zako unaopita bila kuwasalimia wakafanya yao shikamoo wajumbe
Hahaha wajumbe noma sana ... Ndio hawa Steven nyerere aliosema kwamba wakiwa 500. Ndio wanakuwa na akili 1 !??Wajumbe washafanya yao View attachment 1515458View attachment 1515459
Wanakunyoosha mwishoniWajumbe sio watu.wanakupa matumaini kabisa kuwa utashinda kwa kura nyingi mwisho wa siku 0.
Bedeshee Hamis Bwela huyu ni mtemi,mdogo wake marehemu Hassan Miundombinu nae alikua mtemi ngumi jiwe.Huyu mama Ananijua vizuri sana
Nishazinguana naye sana kwenye show zake za twanga, mpaka mme wake wkt ule hamis bwela akaweka mambo sawa
Ila twanga angeiendesha mdg wake omary Bendi ingesimama, Tatz huyu mama much knw sana uswahili ulaliaji mwingi
Ova
Wajumbe waliosoma hadi darasa la pili ni noma sana,hata Mwakyembe anawajua walivyomfanya pamoja na madigrii yake manne teh tehWajumbe sio watu.wanakupa matumaini kabisa kuwa utashinda kwa kura nyingi mwisho wa siku 0.
Ila Zungu yule Dada alimuacha ni mtamboJifunze Kuishi na watu muulize Zungu utamkuta vijiweni kwenye mabanda ya kahawa
Pamoja na kwamba uhusiano wako na majirani haukuwa muhimu sana kwako, kwani una vijihela na connection, ulitumia pia ushawishi wako kuzuia nyumba yako isibomolewe kupisha ujenzi wa barabara wakati nyumba zetu wengine zilibomolewa mara ya mwisho tulikutana Kinondoni karibu na bar ya Papi Chulo ulikuwa kwenye kibanda cha m pesa inatoa sh elfu 70.
Mwenye duka akakutaka uthibitishe jina ili akupe hela ukajibu kwa dharau kwani hujui mimi ni nani? Nilikuamkia ili kupunguza bughdha hukuitia shikamoo yangu ukachua elfu Sabini yako na kutokomea, mwenye duka akauliza yule dada ni nani mbona ana dharau nikamwambia ni meneja wa bendi 😁😁😁😁😅😅😀 wajumbe hao hao majirani zako unaopita bila kuwasalimia wakafanya yao shikamoo wajumbe
Wajumbe wakiwa 500 wanakuwa na akili ya kuzidi PHDWajumbe:-
Kwasasa Hivi Ni Watu Muhimu Sana
Nadhani Ukimtoa Asha Baraka, Akaungane Na Mwakyembe Haa 😀😁 Nimekuja Nimeshiba Wajumbe Wakamtoa Na Njaa Sana Ukumbini
Bado Dodoma Nako Nawaona Waliowagawia Wajumbe Pesa Wakila Hasara 😎😋😶🤨😑😏😐🤔🤔
Wanakupa kura 6 na kila utayekutana naye anakwambia kwenye hizo kura 6 na yake ipo wakati wapo 500Wajumbe wakiwa 500 wanakuwa na akili ya kuzidi PHD
😀😁😅😄😃😐Wanakupa kura 6 na kila utayekutana naye anakwambia kwenye hizo kura 6 na yake ipo wakati wapo 500