Asha Baraka umevuna ulichopanda (dharau)

Asha Baraka anaenda kwenye kibanda cha Mpesa kutoa elfu 70??? Like seriously ,really? Mbona Kinyonge sana??
 
Wajumbe si watu wa mchezo hawataki shobo
 
Msameheni,ile sigara kubwa anayovuta ndio inampelekea kuwa hivyo.
 
Huyu mama Ananijua vizuri sana
Nishazinguana naye sana kwenye show zake za twanga, mpaka mme wake wkt ule hamis bwela akaweka mambo sawa
Ila twanga angeiendesha mdg wake omary Bendi ingesimama, Tatz huyu mama much knw sana uswahili ulaliaji mwingi

Ova
 
Bedeshee Hamis Bwela huyu ni mtemi,mdogo wake marehemu Hassan Miundombinu nae alikua mtemi ngumi jiwe.
 
Hamjasema kapata kura ngapi ila inaonyesha hakupata zaidi ya namba ya kiatu cha mtoto
 
Wajumbe ni watu wapuuzi sana...
kama ww ni mgombea ukikutana nao wanakuchekea na kukusalimia kwa bashasha......
kana kwamba watakupa kura...
kumbe huku nyuma wanakukata....
she.nz kabisa....
 

Umeandika ' Kimajungu ' sana na unaonekana una ' Uswahili ' mwingi mno tu katika Maisha yako huku ' Wivu ' ukiwa ndiyo ' Tunu ' yako Kimaisha.
 
Wajumbe wakiwa 500 wanakuwa na akili ya kuzidi PHD
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…