pombe kali
JF-Expert Member
- Jun 28, 2014
- 282
- 561
- Thread starter
-
- #41
Ningekujibu ila sina uhakika kama umeacha matusi ya nguoni....sikulaumu ni matokeo ya malezi mabayaUmeandika ' Kimajungu ' sana na unaonekana una ' Uswahili ' mwingi mno tu katika Maisha yako huku ' Wivu ' ukiwa ndiyo ' Tunu ' yako Kimaisha.
Ningekujibu ila sina uhakika kama umeacha matusi ya nguoni....sikulaumu ni matokeo ya malezi mabaya
Eti mtaan walkuwa wanasema wahun sio watu ila wajumbe ndio sio watu kabisa yanKweli ila wajumbe siyo watu [emoji16][emoji16][emoji2][emoji1430]
Tumedhibiti wauza unga mzee, wameuza sana unga kinondoni kwa kivuli cha bendi, amewauza sana wa stage show kwenye nchi za kiarabu kwa kigezo cha kwenda kufanya maonyesho Nje ya nchi anataka aingie kwenye siasa!!!?Kama ana hela zote hizo kwa nini akajitie aibu na kura moja ππππππ½Huyo Mama unayempiga Majungu hapa ana Fedha na Vitega Uchumi vya Kumlisha Yeye na Familia yake hadi Umauti ukiwafika. Wivu Unakutesa!