Asha Baraka umevuna ulichopanda (dharau)

Asha Baraka umevuna ulichopanda (dharau)

pombe kali

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2014
Posts
282
Reaction score
561
Pamoja na kwamba uhusiano wako na majirani haukuwa muhimu sana kwako, kwani una vijihela na connection, ulitumia pia ushawishi wako kuzuia nyumba yako isibomolewe kupisha ujenzi wa barabara wakati nyumba zetu wengine zilibomolewa mara ya mwisho tulikutana Kinondoni karibu na bar ya Papi Chulo ulikuwa kwenye kibanda cha m pesa inatoa sh elfu 70.

Mwenye duka akakutaka uthibitishe jina ili akupe hela ukajibu kwa dharau kwani hujui mimi ni nani? Nilikuamkia ili kupunguza bughdha hukuitia shikamoo yangu ukachua elfu Sabini yako na kutokomea, mwenye duka akauliza yule dada ni nani mbona ana dharau nikamwambia ni meneja wa bendi 😁😁😁😁😅😅😀 wajumbe hao hao majirani zako unaopita bila kuwasalimia wakafanya yao shikamoo wajumbe
 
All the lawyers are defenseless
All the doctors are disease

And the preachers are all sinners
And police just take the grease
All the judges, you are guilty
All the bosses I will fire

All the bankers will have losses
Politicians are all liars
I see darkness falling
I hear voices calling
I feel justice crawling
I see faith has fallen

I hear voices in my head
They council me
They understand
They talk to me
They talk to me (yeah)

Randy Orton rocks
 
Wajumbe washafanya yao
IMG-20200723-WA0078.jpg
IMG-20200723-WA0090.jpg
 
Wajumbe:-
Kwasasa Hivi Ni Watu Muhimu Sana
Nadhani Ukimtoa Asha Baraka, Akaungane Na Mwakyembe Haa 😀😁 Nimekuja Nimeshiba Wajumbe Wakamtoa Na Njaa Sana Ukumbini
Bado Dodoma Nako Nawaona Waliowagawia Wajumbe Pesa Wakila Hasara 😎😋😶🤨😑😏😐🤔🤔
 
Back
Top Bottom