Asije akakudanganya Mtu au ukajidanganya, familia ndîo Jambo namba moja

Asije akakudanganya Mtu au ukajidanganya, familia ndîo Jambo namba moja

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
ASIJE AKAKUDANGANYA MTU AU UKAJIDANGANYA, FAMILIA NDÎO JAMBO NAMBA MOJA.

Na, Robert Heriel
Mtibeli

Najua kûna Watu husema na kuniambia "kîla Siku Unazungumzia mambo ya mahusiano na familia, mapenzi this, family that. Huna Jambo jingine?"

Kwa kweli ninayomengi ya kusema ila Moja ya Makubwa Kati ya hayo Familia ndîo Namba Moja. Maisha ni familia.

Ipo agenda potoshi mitañdaoni inayolenga kuumiza Maisha ya Watu wengi Duniani. Na wengi wamejikuta wahanga wa upotoshi huo.

Mtu asiye na familia ni Sawa na kaburi lililopo lenyewe jangwani. Úkiwa na upweke Mkubwa. Maisha hupoteza maana,

Tafuta Pesa uwezavyo lakini Kamwe usiitelekeze familia yako.

Mume, Mke na Watoto, na wajukuu na vitukuu Hakuna furaha kûbwa Kwa Mtu kama kuwa na kizazi chenye umoja, furaha na Upendo.

Lakini swali la muhimu kuliko yôte. Nitawezaje kuanzisha Familia yàngu mwenyewe ili katika hiyo nifurahie mapito yàngu Duniani?

Kwa kweli Kwa Zama hizi kuanzisha familia ni Moja ya mambo Magumu Kabisa.

Ugumu huo umewekwa kimakusudi Kabisa na Kwa hila ili kuyaangamiza Maisha ya waliowengi

Fikiria unaanzisha familia Kwa dhamiri Njema lakini mwisho wa Siku Mkeo anakuja kukugeukia dakika za lalasalama àmbapo unahitaji utulivu na kufurahia muda mdogo wa uzee uliobakiwa nao

Fikiria wewe NI Binti àmbaye dhamiri yako na Ndoto yako NI kuishi Maisha mazuri na changamoto na Mumeo lakini katikati Mumeo baàda ya mafanikio anakugeuka n kutaka Kuoa Wanawake Wengine Huku akitaka uondoke pasipo chochote

Fikiria upo na Watoto ambao umewalea na kuwakuza kwa Miaka nenda rudi lakini mwisho wa Siku unagundua siô Watoto wako.

Inaumiza Sana.
Hii inamaanisha nini lakini? Umakini wa lazima NI muhimu katika kuunda Familia na kuyapa Maisha maana.

Kumjua Mungu wa kwèli ni Moja ya sababu ya kutegemewa katika mchakato WA kuunda Familia.

Mambo ya kuzingatia Wakati unaunda familia;
1. Usiunde familia na Mtu mbinafsi.
Anayetaka yeye zaidi. Sijui wewe umpe Pesa tuu Wakati yeye yake hata shingmia inamtoa Kamasi, inamuuma na hataki huyo usiunde naye familia.

MTU àmbaye anafikiri kuwa jinsia Yake inaupendeleo WA kufanya uhalifu na kutokukujali, mfano anataka yeye ndîo awe ana-cheat na anasingizia yeye ni Mwanaume.

Mtu àmbaye anatanguliza familia yake(alipotoka) huku ya kwèñu akiiona siô kitu. Huyo NI mbinafsi na Hakuna familia Hapo.

2. KAZI
Lazima Watu wôte wawe wazalishaji Mali
Familia inaundwa na Upendo lakini inaendeshwa na kipato.
Lazima ujue uwezo, ujuzi, maarifa n vipaji vya mwenza wako ili viweze kutumika kuendesha familia.

KAZI hizô ziwe n Sifa zifuatazo;
I) Zisiguse Kwa namna Basi hatma na MALENGO ya familia Yenu
b) Zisiathiri Afya ya mmoja wa wanafamilia
c) Mwanamke afanye Kazi ambazo hazitaondoa utukufu na thamani yake na Mwanaume Afanye Kazi zitakazolinda utukufu na heshima yake.
d) Muda wa Kazi usiathiri Malengo ya familia.

Mapato yanayotokana na Kazi yawe wazi Kwa kîla Mtu ndàni ya Familia. Yàani Mke na Mume mapato Yao sharti yawe wazi, yajulikane. Upangaji bajeti WA fedha uzingatie, matumizi ya muhimu ya familia, matumizi binafsi ya Mke na Mume Kulingana na majukumu, hadhi, Kazi husika, Wakati n.k., akiba na pesa ya maendeleo na uwekezaji.

3. Akili, Elimu, ujuzi, na maarifa.
Unapounda familia ni muhimu kujua mwenza unayemtaka awe na Àkili ya kiwango gàni, Elimu Ipi, ufahamu na maarifa ya namna gàni.

Hoja hii NI muhimu ya kuzingatia kama unandoto ya kuunda familia.

Migogoro mingi ya familia chanzo chake huwa ni ubinafsi lakini sababu ñyiñgine NI utofauti WA kifikra Baina ya wenza.

Wewe unawaza hivi mwenzako anawaza vile. Hii hupelekea kuanguka Kwa sababu Ndoto na maono ya Mtu hutegemeana zaidi na Àkili na kile akipendacho.

4. IMANI na DINI
Watu weñye Imani zinazofanana ni rahisi kuunda familia yeye muelekeo mmoja. Watu wanaweza kuwa wa Dini moja lakini wasiwe na Imani Moja. Mfano, Watu wanaweza kuwa wôte ni Waislam lakini mmoja Imani yake haimtumi kuwa kujistiri n kuvaa mavazi yenye stara ni muhimu Wakati mwingine akawa anaamini kujistiri NI muhimu.

Hapa tutasoma, mmoja Dini yake ni muislam lakini Hana Imani ya kiislam Wakati mwingine Dini yake ni Uislam na Imani yake ya kiislam.

Imani ni matendo yanayojirudia rudia.

Huwezi kujenga familia na Mtu mliyetofautiana Imani.

Watu wanaweza kuwa Dini tofauti lakini wakawa na Imani zinazofanana.

5. Maumbile na Umri
Kwèñye familia maumbile ni muhimu. Hii hupelekea kuwa familia haswa. Ninashauri na nivizuri unapotafuta mwenza utafute àmbaye mnafanana au mnakaribiana kimaumbile.

Watu ambao hawafanani kimaumbile mara nyingi hushindwa kuunda familia yenye furaha. Kiburi na kutokujivunia huweza kuibuka ndàni ya familia.

Maumbile ya vipimo vya Mwili, mwonekano WA Sura, Kimo, rangi n.k.

Ukizingatia maumbile ya Mwili hakuna msamiati Kibamia, Bwawa au shimo la Olduvai, sijui Andunje au Tolu n.k. na hapo ile hoja ya kusema kila kitu kilichoumbwa ni chema sana inaleta maana kwa maana kuwa kila kitu kipo sehemu yake.

Lakini mfupi akioa mrefu ndîo yale ya kuona aibu kutembea na Mtu mbele za Watu.
Au mwenye Kibamia kumuoa mwenye Bwawa huleta utata na machafuko.

Siô HAKI kuchukua mwenza àmbaye hufanani naye. Unamdhulumu na unajidhulumu. Utamfanya Afanye dhambi au akubali kuishi Maisha ya mateso kama atakuwa mwaminifu.

Uaminifu siô kuvumilia mateso ya dhulma. Uaminifu ni kutenda Haki na kukubali Haki.

Unaoa Binti mdogo umemzidi Miaka 15 au 20 alafu unategemea umefanya Haki, hiyo siô Haki Kwa sababu ninyi hamfanani, ninyi siô familia Moja. Ninyi mpo tofauti. Gap ni kûbwa Sana.

NI lazima mtofautiane mitazamo na vipaombele mkiwa na gap kûbwa kiumri. Hiyo itafanya Mmoja amdhulumu Mwingine Kwa kile kiitwacho uvumilivu Wakati NI dhulma.

Mfano, Mtu unamiaka 55 unaoa Binti wa Miaka 20. NI hakika unamdhulumu na kujidhulumu Haki zako.
Mwenzako anawaza kwenda Disco wewe utamzuia, haya tufanye umeenda naye utamfanya aone aibu kuwa na Mtu mzima ingawaje atajitoa kimasomaso Kwa kujifanya hajali.

Kwèñye 6*6 itakupasa ufanye jitihada na NI hakika hutoweza kumtosheleza.

NI aibu Kwa mtu asiye wa Umri wako na mwenye gap kûbwa la kiumri kuona Mwili na uchi wako. Binti wa Miaka 20 siô Haki kuona nywele zako za mvi. Ni mambo Mabaya na machafu kuyafikiria achilia mbali kuyafanya.

Siô Haki kijana mdogo uliyemzidi Miaka kuanzia Kumi Kulala naye. NI aibu kûbwa. Úkiwa kama Mwanamke mwenye staha na heshima lazima úwe na Mipaka.

Ni Vizuri tofauti ya kiumri Kwa wenza íwe Kati ya Miaka 0-5 ikizidi Sana Miaka 7, ukiwa mkaidi miaka 10 kwa pande zote Mbili yàani Mwanamke au Mwanaume.

Nawatakia Siku Njema

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
 
ASIJE AKAKUDANGANYA MTU AU UKAJIDANGANYA, FAMILIA NDÎO JAMBO NAMBA MOJA.

Na, Robert Heriel
Mtibeli

Najua kûna Watu husema na kuniambia "kîla Siku Unazungumzia mambo ya mahusiano na familia, mapenzi this, family that. Huna Jambo jingine?"

Kwa kweli ninayomengi ya kusema ila Moja ya Makubwa Kati ya hayo Familia ndîo Namba Moja. Maisha ni familia.

Ipo agenda potoshi mitañdaoni inayolenga kuumiza Maisha ya Watu wengi Duniani. Na wengi wamejikuta wahanga wa upotoshi huo.

Mtu asiye na familia ni Sawa na kaburi lililopo lenyewe jangwani. Úkiwa na upweke Mkubwa. Maisha hupoteza maana,

Tafuta Pesa uwezavyo lakini Kamwe usiitelekeze familia yako.

Mume, Mke na Watoto, na wajukuu na vitukuu Hakuna furaha kûbwa Kwa Mtu kama kuwa na kizazi chenye umoja, furaha na Upendo.

Lakini swali la muhimu kuliko yôte. Nitawezaje kuanzisha Familia yàngu mwenyewe ili katika hiyo nifurahie mapito yàngu Duniani?

Kwa kweli Kwa Zama hizi kuanzisha familia ni Moja ya mambo Magumu Kabisa.

Ugumu huo umewekwa kimakusudi Kabisa na Kwa hila ili kuyaangamiza Maisha ya waliowengi

Fikiria unaanzisha familia Kwa dhamiri Njema lakini mwisho wa Siku Mkeo anakuja kukugeukia dakika za lalasalama àmbapo unahitaji utulivu na kufurahia muda mdogo wa uzee uliobakiwa nao

Fikiria wewe NI Binti àmbaye dhamiri yako na Ndoto yako NI kuishi Maisha mazuri na changamoto na Mumeo lakini katikati Mumeo baàda ya mafanikio anakugeuka n kutaka Kuoa Wanawake Wengine Huku akitaka uondoke pasipo chochote

Fikiria upo na Watoto ambao umewalea na kuwakuza kwa Miaka nenda rudi lakini mwisho wa Siku unagundua siô Watoto wako.

Inaumiza Sana.
Hii inamaanisha nini lakini? Umakini wa lazima NI muhimu katika kuunda Familia na kuyapa Maisha maana.

Kumjua Mungu wa kwèli ni Moja ya sababu ya kutegemewa katika mchakato WA kuunda Familia.

Mambo ya kuzingatia Wakati unaunda familia;
1. Usiunde familia na Mtu mbinafsi.
Anayetaka yeye zaidi. Sijui wewe umpe Pesa tuu Wakati yeye yake hata shingmia inamtoa Kamasi, inamuuma na hataki huyo usiunde naye familia.
MTU àmbaye anafikiri kuwa jinsia Yake inaupendeleo WA kufanya uhalifu na kutokukujali, mfano anataka yeye ndîo awe ana-cheat na anasingizia yeye ni Mwanaume.

Mtu àmbaye anatanguliza familia yake(alipotoka) huku ya kwèñu akiiona siô kitu. Huyo NI mbinafsi na Hakuna familia Hapo.

2. KAZI
Lazima Watu wôte wawe wazalishaji Mali
Familia inaundwa na Upendo lakini inaendeshwa na kipato.
Lazima ujue uwezo, ujuzi, maarifa n vipaji vya mwenza wako ili viweze kutumika kuendesha familia.

KAZI hizô ziwe n Sifa zifuatazo;
I) Zisiguse Kwa namna Basi hatma na MALENGO ya familia Yenu
b) Zisiathiri Afya ya mmoja wa wanafamilia
c) Mwanamke afanye Kazi ambazo hazitaondoa utukufu na thamani yake na Mwanaume Afanye Kazi zitakazolinda utukufu na heshima yake.
d) Muda wa Kazi usiathiri Malengo ya familia.

Mapato yanayotokana na Kazi yawe wazi Kwa kîla Mtu ndàni ya Familia. Yàani Mke na Mume mapato Yao sharti yawe wazi, yajulikane. Upangaji bajeti WA fedha uzingatie, matumizi ya muhimu ya familia, matumizi binafsi ya Mke na Mume Kulingana na majukumu, hadhi, Kazi husika, Wakati n.k., akiba na pesa ya maendeleo na uwekezaji.

3. Akili, Elimu, ujuzi, na maarifa.
Unapounda familia ni muhimu kujua mwenza unayemtaka awe na Àkili ya kiwango gàni, Elimu Ipi, ufahamu na maarifa ya namna gàni.
Hoja hii NI muhimu ya kuzingatia kama unandoto ya kuunda familia.

Migogoro mingi ya familia chanzo chake huwa ni ubinafsi lakini sababu ñyiñgine NI utofauti WA kifikra Baina ya wenza.
Wewe unawaza hivi mwenzako anawaza vile. Hii hupelekea kuanguka Kwa sababu Ndoto na maono ya Mtu hutegemeana zaidi na Àkili na kile akipendacho.

4. IMANI na DINI
Watu weñye Imani zinazofanana ni rahisi kuunda familia yeye muelekeo mmoja.
Watu wanaweza kuwa wa Dini moja lakini wasiwe na Imani Moja. Mfano, Watu wanaweza kuwa wôte ni Waislam lakini mmoja Imani yake haimtumi kuwa kujistiri n kuvaa mavazi yenye stara ni muhimu Wakati mwingine akawa anaamini kujistiri NI muhimu.
Hapa tutasoma, mmoja Dini yake ni muislam lakini Hana Imani ya kiislam Wakati mwingine Dini yake ni Uislam na Imani yake ya kiislam.

Imani ni matendo yanayojirudia rudia.
Huwezi kujenga familia na Mtu mliyetofautiana Imani.
Watu wanaweza kuwa Dini tofauti lakini wakawa na Imani zinazofanana.

5. Maumbile na Umri
Kwèñye familia maumbile ni muhimu. Hii hupelekea kuwa familia haswa.
Ninashauri na nivizuri unapotafuta mwenza utafute àmbaye mnafanana au mnakaribiana kimaumbile.
Watu ambao hawafanani kimaumbile mara nyingi hushindwa kuunda familia yenye furaha. Kiburi na kutokujivunia huweza kuibuka ndàni ya familia.

Maumbile ya vipimo vya Mwili, mwonekano WA Sura, Kimo, rangi n.k.

Ukizingatia maumbile ya Mwili hakuna msamiati Kibamia, Bwawa au shimo la Olduvai, sijui Andunje au Tolu n.k. na hapo ile hoja ya kusema kila kitu kilichoumbwa ni chema sana inaleta maana kwa maana kuwa kila kitu kipo sehemu yake.

Lakini mfupi akioa mrefu ndîo yale ya kuona aibu kutembea na Mtu mbele za Watu.
Au mwenye Kibamia kumuoa mwenye Bwawa huleta utata na machafuko.

Siô HAKI kuchukua mwenza àmbaye hufanani naye. Unamdhulumu na unajidhulumu. Utamfanya Afanye dhambi au akubali kuishi Maisha ya mateso kama atakuwa mwaminifu.

Uaminifu siô kuvumilia mateso ya dhulma. Uaminifu ni kutenda Haki na kukubali Haki.

Unaoa Binti mdogo umemzidi Miaka 15 au 20 alafu unategemea umefanya Haki, hiyo siô Haki Kwa sababu ninyi hamfanani, ninyi siô familia Moja. Ninyi mpo tofauti. Gap ni kûbwa Sana.
NI lazima mtofautiane mitazamo na vipaombele mkiwa na gap kûbwa kiumri. Hiyo itafanya Mmoja amdhulumu Mwingine Kwa kile kiitwacho uvumilivu Wakati NI dhulma.

Mfano, Mtu unamiaka 55 unaoa Binti wa Miaka 20. NI hakika unamdhulumu na kujidhulumu Haki zako.
Mwenzako anawaza kwenda Disco wewe utamzuia, haya tufanye umeenda naye utamfanya aone aibu kuwa na Mtu mzima ingawaje atajitoa kimasomaso Kwa kujifanya hajali.
Kwèñye 6*6 itakupasa ufanye jitihada na NI hakika hutoweza kumtosheleza.

NI aibu Kwa mtu asiye wa Umri wako na mwenye gap kûbwa la kiumri kuona Mwili na uchi wako. Binti wa Miaka 20 siô Haki kuona nywele zako za mvi. Ni mambo Mabaya na machafu kuyafikiria achilia mbali kuyafanya.

Siô Haki kijana mdogo uliyemzidi Miaka kuanzia Kumi Kulala naye. NI aibu kûbwa. Úkiwa kama Mwanamke mwenye staha na heshima lazima úwe na Mipaka.

Ni Vizuri tofauti ya kiumri Kwa wenza íwe Kati ya Miaka 0-5 ikizidi Sana Miaka 7, ukiwa mkaidi miaka 10 kwa pande zote Mbili yàani Mwanamke au Mwanaume.

Nawatakia Siku Njema

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
Issue ya kuunda familia is too complex.
 
Katika vitu ambayo vinalicost hili taifa ni la watu kuanzisha familia kwa sababu tu wanataka waonekane wana familia..

Unakuta anazalisha mabinti pasipo kuwaoa tu ili awe na watoto ambao hawajali kwa chakula, mavazi au pa kujihifadhi. Mwisho wa siku future za watoto zinaharibika kwa makosa ya mtu mmoja ambaye alifanya maamuzi ili aonekane yupo sawa kijinsia na kusahau kuwa mzazi ni jukumu.

Kiukweli kama unajiona huna uwezo wa kuhimili malezi wala maturity ya kupngoza kiumbe kingine. Please usizae tu kuliko kuja kumtaabisha mtoto kwa kuzunguka kwenye miji ya watu kuishia mitaani

Kingine pia, binadamu sio kondoo kwamba utavyomuona leo ndivyo atakavyokuwa daima kwa hiyo ukiona mtu ana happy home. Sio kwamba ni fundi wa kuchagua Ila ni bahati amepata. Kwa hiyo weka vigezo vya familia au mtu unaemtaka lakini utakapopata usiache kumuomba Mungu akusaidie huyo mtu asibadilike na hata kama atabadilika. Bhasi upate uwezo wa kuvumilia na kustahimili ili mambo yaende
 
Katika vitu ambayo vinalicost hili taifa ni la watu kuanzisha familia kwa sababu tu wanataka waonekane wana familia..

Unakuta anazalisha mabinti pasipo kuwaoa tu ili awe na watoto ambao hawajali kwa chakula, mavazi au pa kujihifadhi. Mwisho wa siku future za watoto zinaharibika kwa makosa ya mtu mmoja ambaye alifanya maamuzi ili aonekane yupo sawa kijinsia na kusahau kuwa mzazi ni jukumu.

Kiukweli kama unajiona huna uwezo wa kuhimili malezi wala maturity ya kupngoza kiumbe kingine. Please usizae tu kuliko kuja kumtaabisha mtoto kwa kuzunguka kwenye miji ya watu kuishia mitaani

Kingine pia, binadamu sio kondoo kwamba utavyomuona leo ndivyo atakavyokuwa daima kwa hiyo ukiona mtu ana happy home. Sio kwamba ni fundi wa kuchagua Ila ni bahati amepata. Kwa hiyo weka vigezo vya familia au mtu unaemtaka lakini utakapopata usiache kumuomba Mungu akusaidie huyo mtu asibadilike na hata kama atabadilika. Bhasi upate uwezo wa kuvumilia na kustahimili ili mambo yaende
Mkuu ni kuambie kitu? Ndoa ni complicated instutution wenye uwezo wa pesa wanaongoza kwenye devorce case, wasomi wanalie, kuna jirani ya rafiki yangu ni hakimu alifungiwa chumbani na mkewe kwa siku nzima kama adhabu ili ampe devorce......ndoa has nothing to do with money or education.
 
Fikiria unaanzisha familia Kwa dhamiri Njema lakini mwisho wa Siku Mkeo anakuja kukugeukia dakika za lalasalama àmbapo unahitaji utulivu na kufurahia muda mdogo wa uzee uliobakiwa nao

Hongera mdogo angu hapa nimepata wazo, ngoja niite kataa ndoa watapata nguvu maradufu 🤣🤣🤣🤣 dronedrake Mbaga Jr Intelligent businessman n.k

😀😀

Yàani maelezo Buku umeona Haki tuu kuwapa Ñguvu Kataa ndoa
 
Mkuu ni kuambie kitu? Ndoa ni complicated instutution wenye uwezo wa pesa wanaongoza kwenye devorce case, wasomi wanalie, kuna jirani ya rafiki yangu ni hakimu alifungiwa chumbani na mkewe kwa siku nzima kama adhabu ili ampe devorce......ndoa has nothing to do with money or education.
Para ya mwisho imebeba ujumbe mzito, hata Billionare Mengi alikuwa msomi na ana pesa lakini ndoa ilimshinda akaishia kwa mdangaji Jackline.
 
ASIJE AKAKUDANGANYA MTU AU UKAJIDANGANYA, FAMILIA NDÎO JAMBO NAMBA MOJA.

Na, Robert Heriel
Mtibeli

Najua kûna Watu husema na kuniambia "kîla Siku Unazungumzia mambo ya mahusiano na familia, mapenzi this, family that. Huna Jambo jingine?"

Kwa kweli ninayomengi ya kusema ila Moja ya Makubwa Kati ya hayo Familia ndîo Namba Moja. Maisha ni familia.

Ipo agenda potoshi mitañdaoni inayolenga kuumiza Maisha ya Watu wengi Duniani. Na wengi wamejikuta wahanga wa upotoshi huo.

Mtu asiye na familia ni Sawa na kaburi lililopo lenyewe jangwani. Úkiwa na upweke Mkubwa. Maisha hupoteza maana,

Tafuta Pesa uwezavyo lakini Kamwe usiitelekeze familia yako.

Mume, Mke na Watoto, na wajukuu na vitukuu Hakuna furaha kûbwa Kwa Mtu kama kuwa na kizazi chenye umoja, furaha na Upendo.

Lakini swali la muhimu kuliko yôte. Nitawezaje kuanzisha Familia yàngu mwenyewe ili katika hiyo nifurahie mapito yàngu Duniani?

Kwa kweli Kwa Zama hizi kuanzisha familia ni Moja ya mambo Magumu Kabisa.

Ugumu huo umewekwa kimakusudi Kabisa na Kwa hila ili kuyaangamiza Maisha ya waliowengi

Fikiria unaanzisha familia Kwa dhamiri Njema lakini mwisho wa Siku Mkeo anakuja kukugeukia dakika za lalasalama àmbapo unahitaji utulivu na kufurahia muda mdogo wa uzee uliobakiwa nao

Fikiria wewe NI Binti àmbaye dhamiri yako na Ndoto yako NI kuishi Maisha mazuri na changamoto na Mumeo lakini katikati Mumeo baàda ya mafanikio anakugeuka n kutaka Kuoa Wanawake Wengine Huku akitaka uondoke pasipo chochote

Fikiria upo na Watoto ambao umewalea na kuwakuza kwa Miaka nenda rudi lakini mwisho wa Siku unagundua siô Watoto wako.

Inaumiza Sana.
Hii inamaanisha nini lakini? Umakini wa lazima NI muhimu katika kuunda Familia na kuyapa Maisha maana.

Kumjua Mungu wa kwèli ni Moja ya sababu ya kutegemewa katika mchakato WA kuunda Familia.

Mambo ya kuzingatia Wakati unaunda familia;
1. Usiunde familia na Mtu mbinafsi.
Anayetaka yeye zaidi. Sijui wewe umpe Pesa tuu Wakati yeye yake hata shingmia inamtoa Kamasi, inamuuma na hataki huyo usiunde naye familia.
MTU àmbaye anafikiri kuwa jinsia Yake inaupendeleo WA kufanya uhalifu na kutokukujali, mfano anataka yeye ndîo awe ana-cheat na anasingizia yeye ni Mwanaume.

Mtu àmbaye anatanguliza familia yake(alipotoka) huku ya kwèñu akiiona siô kitu. Huyo NI mbinafsi na Hakuna familia Hapo.

2. KAZI
Lazima Watu wôte wawe wazalishaji Mali
Familia inaundwa na Upendo lakini inaendeshwa na kipato.
Lazima ujue uwezo, ujuzi, maarifa n vipaji vya mwenza wako ili viweze kutumika kuendesha familia.

KAZI hizô ziwe n Sifa zifuatazo;
I) Zisiguse Kwa namna Basi hatma na MALENGO ya familia Yenu
b) Zisiathiri Afya ya mmoja wa wanafamilia
c) Mwanamke afanye Kazi ambazo hazitaondoa utukufu na thamani yake na Mwanaume Afanye Kazi zitakazolinda utukufu na heshima yake.
d) Muda wa Kazi usiathiri Malengo ya familia.

Mapato yanayotokana na Kazi yawe wazi Kwa kîla Mtu ndàni ya Familia. Yàani Mke na Mume mapato Yao sharti yawe wazi, yajulikane. Upangaji bajeti WA fedha uzingatie, matumizi ya muhimu ya familia, matumizi binafsi ya Mke na Mume Kulingana na majukumu, hadhi, Kazi husika, Wakati n.k., akiba na pesa ya maendeleo na uwekezaji.

3. Akili, Elimu, ujuzi, na maarifa.
Unapounda familia ni muhimu kujua mwenza unayemtaka awe na Àkili ya kiwango gàni, Elimu Ipi, ufahamu na maarifa ya namna gàni.
Hoja hii NI muhimu ya kuzingatia kama unandoto ya kuunda familia.

Migogoro mingi ya familia chanzo chake huwa ni ubinafsi lakini sababu ñyiñgine NI utofauti WA kifikra Baina ya wenza.
Wewe unawaza hivi mwenzako anawaza vile. Hii hupelekea kuanguka Kwa sababu Ndoto na maono ya Mtu hutegemeana zaidi na Àkili na kile akipendacho.

4. IMANI na DINI
Watu weñye Imani zinazofanana ni rahisi kuunda familia yeye muelekeo mmoja.
Watu wanaweza kuwa wa Dini moja lakini wasiwe na Imani Moja. Mfano, Watu wanaweza kuwa wôte ni Waislam lakini mmoja Imani yake haimtumi kuwa kujistiri n kuvaa mavazi yenye stara ni muhimu Wakati mwingine akawa anaamini kujistiri NI muhimu.
Hapa tutasoma, mmoja Dini yake ni muislam lakini Hana Imani ya kiislam Wakati mwingine Dini yake ni Uislam na Imani yake ya kiislam.

Imani ni matendo yanayojirudia rudia.
Huwezi kujenga familia na Mtu mliyetofautiana Imani.
Watu wanaweza kuwa Dini tofauti lakini wakawa na Imani zinazofanana.

5. Maumbile na Umri
Kwèñye familia maumbile ni muhimu. Hii hupelekea kuwa familia haswa.
Ninashauri na nivizuri unapotafuta mwenza utafute àmbaye mnafanana au mnakaribiana kimaumbile.
Watu ambao hawafanani kimaumbile mara nyingi hushindwa kuunda familia yenye furaha. Kiburi na kutokujivunia huweza kuibuka ndàni ya familia.

Maumbile ya vipimo vya Mwili, mwonekano WA Sura, Kimo, rangi n.k.

Ukizingatia maumbile ya Mwili hakuna msamiati Kibamia, Bwawa au shimo la Olduvai, sijui Andunje au Tolu n.k. na hapo ile hoja ya kusema kila kitu kilichoumbwa ni chema sana inaleta maana kwa maana kuwa kila kitu kipo sehemu yake.

Lakini mfupi akioa mrefu ndîo yale ya kuona aibu kutembea na Mtu mbele za Watu.
Au mwenye Kibamia kumuoa mwenye Bwawa huleta utata na machafuko.

Siô HAKI kuchukua mwenza àmbaye hufanani naye. Unamdhulumu na unajidhulumu. Utamfanya Afanye dhambi au akubali kuishi Maisha ya mateso kama atakuwa mwaminifu.

Uaminifu siô kuvumilia mateso ya dhulma. Uaminifu ni kutenda Haki na kukubali Haki.

Unaoa Binti mdogo umemzidi Miaka 15 au 20 alafu unategemea umefanya Haki, hiyo siô Haki Kwa sababu ninyi hamfanani, ninyi siô familia Moja. Ninyi mpo tofauti. Gap ni kûbwa Sana.
NI lazima mtofautiane mitazamo na vipaombele mkiwa na gap kûbwa kiumri. Hiyo itafanya Mmoja amdhulumu Mwingine Kwa kile kiitwacho uvumilivu Wakati NI dhulma.

Mfano, Mtu unamiaka 55 unaoa Binti wa Miaka 20. NI hakika unamdhulumu na kujidhulumu Haki zako.
Mwenzako anawaza kwenda Disco wewe utamzuia, haya tufanye umeenda naye utamfanya aone aibu kuwa na Mtu mzima ingawaje atajitoa kimasomaso Kwa kujifanya hajali.
Kwèñye 6*6 itakupasa ufanye jitihada na NI hakika hutoweza kumtosheleza.

NI aibu Kwa mtu asiye wa Umri wako na mwenye gap kûbwa la kiumri kuona Mwili na uchi wako. Binti wa Miaka 20 siô Haki kuona nywele zako za mvi. Ni mambo Mabaya na machafu kuyafikiria achilia mbali kuyafanya.

Siô Haki kijana mdogo uliyemzidi Miaka kuanzia Kumi Kulala naye. NI aibu kûbwa. Úkiwa kama Mwanamke mwenye staha na heshima lazima úwe na Mipaka.

Ni Vizuri tofauti ya kiumri Kwa wenza íwe Kati ya Miaka 0-5 ikizidi Sana Miaka 7, ukiwa mkaidi miaka 10 kwa pande zote Mbili yàani Mwanamke au Mwanaume.

Nawatakia Siku Njema

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
Sijapata muda wa kusoma hii ila nasema familia, familia, familia.
 
Nafikiri jamii watu wanatakiwa kupata maarifa ya namna kujitegemea wao binafsi kabla ya kuwaleta watu wengine katika maisha Yao ya Kila siku.hii itaepusha malalamiko ndani ya nyumba,Kwa maana watu wengi wanaoa na kuolewa siyo Kwa sababu Wana utulivu katika nafsi zao,Bali ni Kwa sababu Wana msongo wa mawazo ndani Yao hivyo wanafanya lile lililorahisi mbele yao.
 
Sijapata muda wa kusoma hii ila nasema familia, familia, familia.

Vijana wafanyeje kuunda Familia?..

Maana Vijana wengi wanataka kuunda familia lakini wanajikuta wakikata tamaa pale wanapoona matapeli NI wengi waliojiingiza kwèñye Ndoa na familia. Wanaona wengi wakiumia na wàpo Baadhi ya Vijana na mabinti wameshaumizwa.

Wafanyeje?
 
Vijana wafanyeje kuunda Familia?..

Maana Vijana wengi wanataka kuunda familia lakini wanajikuta wakikata tamaa pale wanapoona matapeli NI wengi waliojiingiza kwèñye Ndoa na familia. Wanaona wengi wakiumia na wàpo Baadhi ya Vijana na mabinti wameshaumizwa.

Wafanyeje?
Kijana ingia kwenye ndoa mapema kabisa kabla ya 30s.

Usiogope majukumu, vijana wana nguvu nyingi mno ukilinganisha na watu walio katika 40s and above.

Kuondokana na kuvunjika kwa ndoa, vijana kuweni waaminifu kwa wenza wenu, wajibikeni kikamilifu

Hakikisha unapata watoto mapema na wawe wengi angalau 4 na kuendelea. Wototo ndio kishikizo kikubwa cha uhai wa ndoa hasa pale upendo unapopungua.

Funga ndoa halali na jenga mahusiano mazuri na wakwe.

Tafuta kipato kizuri, nyumba nzuri, nk mkishirikiana mme na mke. Hili hufanya ndoa kuwa yenye usalwa na imara zaidi.
 
ASIJE AKAKUDANGANYA MTU AU UKAJIDANGANYA, FAMILIA NDÎO JAMBO NAMBA MOJA.

Na, Robert Heriel
Mtibeli

Najua kûna Watu husema na kuniambia "kîla Siku Unazungumzia mambo ya mahusiano na familia, mapenzi this, family that. Huna Jambo jingine?"

Kwa kweli ninayomengi ya kusema ila Moja ya Makubwa Kati ya hayo Familia ndîo Namba Moja. Maisha ni familia.

Ipo agenda potoshi mitañdaoni inayolenga kuumiza Maisha ya Watu wengi Duniani. Na wengi wamejikuta wahanga wa upotoshi huo.

Mtu asiye na familia ni Sawa na kaburi lililopo lenyewe jangwani. Úkiwa na upweke Mkubwa. Maisha hupoteza maana,

Tafuta Pesa uwezavyo lakini Kamwe usiitelekeze familia yako.

Mume, Mke na Watoto, na wajukuu na vitukuu Hakuna furaha kûbwa Kwa Mtu kama kuwa na kizazi chenye umoja, furaha na Upendo.

Lakini swali la muhimu kuliko yôte. Nitawezaje kuanzisha Familia yàngu mwenyewe ili katika hiyo nifurahie mapito yàngu Duniani?

Kwa kweli Kwa Zama hizi kuanzisha familia ni Moja ya mambo Magumu Kabisa.

Ugumu huo umewekwa kimakusudi Kabisa na Kwa hila ili kuyaangamiza Maisha ya waliowengi

Fikiria unaanzisha familia Kwa dhamiri Njema lakini mwisho wa Siku Mkeo anakuja kukugeukia dakika za lalasalama àmbapo unahitaji utulivu na kufurahia muda mdogo wa uzee uliobakiwa nao

Fikiria wewe NI Binti àmbaye dhamiri yako na Ndoto yako NI kuishi Maisha mazuri na changamoto na Mumeo lakini katikati Mumeo baàda ya mafanikio anakugeuka n kutaka Kuoa Wanawake Wengine Huku akitaka uondoke pasipo chochote

Fikiria upo na Watoto ambao umewalea na kuwakuza kwa Miaka nenda rudi lakini mwisho wa Siku unagundua siô Watoto wako.

Inaumiza Sana.
Hii inamaanisha nini lakini? Umakini wa lazima NI muhimu katika kuunda Familia na kuyapa Maisha maana.

Kumjua Mungu wa kwèli ni Moja ya sababu ya kutegemewa katika mchakato WA kuunda Familia.

Mambo ya kuzingatia Wakati unaunda familia;
1. Usiunde familia na Mtu mbinafsi.
Anayetaka yeye zaidi. Sijui wewe umpe Pesa tuu Wakati yeye yake hata shingmia inamtoa Kamasi, inamuuma na hataki huyo usiunde naye familia.
MTU àmbaye anafikiri kuwa jinsia Yake inaupendeleo WA kufanya uhalifu na kutokukujali, mfano anataka yeye ndîo awe ana-cheat na anasingizia yeye ni Mwanaume.

Mtu àmbaye anatanguliza familia yake(alipotoka) huku ya kwèñu akiiona siô kitu. Huyo NI mbinafsi na Hakuna familia Hapo.

2. KAZI
Lazima Watu wôte wawe wazalishaji Mali
Familia inaundwa na Upendo lakini inaendeshwa na kipato.
Lazima ujue uwezo, ujuzi, maarifa n vipaji vya mwenza wako ili viweze kutumika kuendesha familia.

KAZI hizô ziwe n Sifa zifuatazo;
I) Zisiguse Kwa namna Basi hatma na MALENGO ya familia Yenu
b) Zisiathiri Afya ya mmoja wa wanafamilia
c) Mwanamke afanye Kazi ambazo hazitaondoa utukufu na thamani yake na Mwanaume Afanye Kazi zitakazolinda utukufu na heshima yake.
d) Muda wa Kazi usiathiri Malengo ya familia.

Mapato yanayotokana na Kazi yawe wazi Kwa kîla Mtu ndàni ya Familia. Yàani Mke na Mume mapato Yao sharti yawe wazi, yajulikane. Upangaji bajeti WA fedha uzingatie, matumizi ya muhimu ya familia, matumizi binafsi ya Mke na Mume Kulingana na majukumu, hadhi, Kazi husika, Wakati n.k., akiba na pesa ya maendeleo na uwekezaji.

3. Akili, Elimu, ujuzi, na maarifa.
Unapounda familia ni muhimu kujua mwenza unayemtaka awe na Àkili ya kiwango gàni, Elimu Ipi, ufahamu na maarifa ya namna gàni.
Hoja hii NI muhimu ya kuzingatia kama unandoto ya kuunda familia.

Migogoro mingi ya familia chanzo chake huwa ni ubinafsi lakini sababu ñyiñgine NI utofauti WA kifikra Baina ya wenza.
Wewe unawaza hivi mwenzako anawaza vile. Hii hupelekea kuanguka Kwa sababu Ndoto na maono ya Mtu hutegemeana zaidi na Àkili na kile akipendacho.

4. IMANI na DINI
Watu weñye Imani zinazofanana ni rahisi kuunda familia yeye muelekeo mmoja.
Watu wanaweza kuwa wa Dini moja lakini wasiwe na Imani Moja. Mfano, Watu wanaweza kuwa wôte ni Waislam lakini mmoja Imani yake haimtumi kuwa kujistiri n kuvaa mavazi yenye stara ni muhimu Wakati mwingine akawa anaamini kujistiri NI muhimu.
Hapa tutasoma, mmoja Dini yake ni muislam lakini Hana Imani ya kiislam Wakati mwingine Dini yake ni Uislam na Imani yake ya kiislam.

Imani ni matendo yanayojirudia rudia.
Huwezi kujenga familia na Mtu mliyetofautiana Imani.
Watu wanaweza kuwa Dini tofauti lakini wakawa na Imani zinazofanana.

5. Maumbile na Umri
Kwèñye familia maumbile ni muhimu. Hii hupelekea kuwa familia haswa.
Ninashauri na nivizuri unapotafuta mwenza utafute àmbaye mnafanana au mnakaribiana kimaumbile.
Watu ambao hawafanani kimaumbile mara nyingi hushindwa kuunda familia yenye furaha. Kiburi na kutokujivunia huweza kuibuka ndàni ya familia.

Maumbile ya vipimo vya Mwili, mwonekano WA Sura, Kimo, rangi n.k.

Ukizingatia maumbile ya Mwili hakuna msamiati Kibamia, Bwawa au shimo la Olduvai, sijui Andunje au Tolu n.k. na hapo ile hoja ya kusema kila kitu kilichoumbwa ni chema sana inaleta maana kwa maana kuwa kila kitu kipo sehemu yake.

Lakini mfupi akioa mrefu ndîo yale ya kuona aibu kutembea na Mtu mbele za Watu.
Au mwenye Kibamia kumuoa mwenye Bwawa huleta utata na machafuko.

Siô HAKI kuchukua mwenza àmbaye hufanani naye. Unamdhulumu na unajidhulumu. Utamfanya Afanye dhambi au akubali kuishi Maisha ya mateso kama atakuwa mwaminifu.

Uaminifu siô kuvumilia mateso ya dhulma. Uaminifu ni kutenda Haki na kukubali Haki.

Unaoa Binti mdogo umemzidi Miaka 15 au 20 alafu unategemea umefanya Haki, hiyo siô Haki Kwa sababu ninyi hamfanani, ninyi siô familia Moja. Ninyi mpo tofauti. Gap ni kûbwa Sana.
NI lazima mtofautiane mitazamo na vipaombele mkiwa na gap kûbwa kiumri. Hiyo itafanya Mmoja amdhulumu Mwingine Kwa kile kiitwacho uvumilivu Wakati NI dhulma.

Mfano, Mtu unamiaka 55 unaoa Binti wa Miaka 20. NI hakika unamdhulumu na kujidhulumu Haki zako.
Mwenzako anawaza kwenda Disco wewe utamzuia, haya tufanye umeenda naye utamfanya aone aibu kuwa na Mtu mzima ingawaje atajitoa kimasomaso Kwa kujifanya hajali.
Kwèñye 6*6 itakupasa ufanye jitihada na NI hakika hutoweza kumtosheleza.

NI aibu Kwa mtu asiye wa Umri wako na mwenye gap kûbwa la kiumri kuona Mwili na uchi wako. Binti wa Miaka 20 siô Haki kuona nywele zako za mvi. Ni mambo Mabaya na machafu kuyafikiria achilia mbali kuyafanya.

Siô Haki kijana mdogo uliyemzidi Miaka kuanzia Kumi Kulala naye. NI aibu kûbwa. Úkiwa kama Mwanamke mwenye staha na heshima lazima úwe na Mipaka.

Ni Vizuri tofauti ya kiumri Kwa wenza íwe Kati ya Miaka 0-5 ikizidi Sana Miaka 7, ukiwa mkaidi miaka 10 kwa pande zote Mbili yàani Mwanamke au Mwanaume.

Nawatakia Siku Njema

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
We jamaa unapata wapi muda wa kuandika namna hiyo namana ww mpaka leo bado huwezi hata kujishughulisha na kitu chochote chenye kukuletea kipato
 
Katika vitu ambayo vinalicost hili taifa ni la watu kuanzisha familia kwa sababu tu wanataka waonekane wana familia..

Unakuta anazalisha mabinti pasipo kuwaoa tu ili awe na watoto ambao hawajali kwa chakula, mavazi au pa kujihifadhi. Mwisho wa siku future za watoto zinaharibika kwa makosa ya mtu mmoja ambaye alifanya maamuzi ili aonekane yupo sawa kijinsia na kusahau kuwa mzazi ni jukumu.

Kiukweli kama unajiona huna uwezo wa kuhimili malezi wala maturity ya kupngoza kiumbe kingine. Please usizae tu kuliko kuja kumtaabisha mtoto kwa kuzunguka kwenye miji ya watu kuishia mitaani

Kingine pia, binadamu sio kondoo kwamba utavyomuona leo ndivyo atakavyokuwa daima kwa hiyo ukiona mtu ana happy home. Sio kwamba ni fundi wa kuchagua Ila ni bahati amepata. Kwa hiyo weka vigezo vya familia au mtu unaemtaka lakini utakapopata usiache kumuomba Mungu akusaidie huyo mtu asibadilike na hata kama atabadilika. Bhasi upate uwezo wa kuvumilia na kustahimili ili mambo yaende

Nashukuru Sana Kwa mchango wako.
Kwa Dunia ilipofikia Huko tuendako Kilio Kitaongezeka
 
Mkuu ni kuambie kitu? Ndoa ni complicated instutution wenye uwezo wa pesa wanaongoza kwenye devorce case, wasomi wanalie, kuna jirani ya rafiki yangu ni hakimu alifungiwa chumbani na mkewe kwa siku nzima kama adhabu ili ampe devorce......ndoa has nothing to do with money or education.
Sikumaanisha hivyo mkuu..

Nilichomaanisha ni ile mtu anaoa au anazaa ili kufurahisha au kuepuka judgement au preshan kutoka kwa watu. Lakini mwisho wa siku anaipuuza na kuifedhehesha familia kwa sababu hakuwa na utayari Ila alifanya kwa sababu za nje ya utashi wake.

Mkuu mimi siamini kila mwanaume anastahili kuwa baba au kila mwanamke anastahili kuwa mama ndio maana wenzetu kwa kulichukulia hili kwa uzito. Wanachagua kutokuzaa hata kama ana pesa na kila kitu kwa sababu hayupo tayari kwa commitment ya mtoto kuliko huku tunazaa na kutelekeza huku ukijisifu una copy yako sehemu hata kama hiyo pride imegharimu maisha ya binti fulani. Hiyo sio fair
 
Back
Top Bottom