Asije akakudanganya Mtu au ukajidanganya, familia ndîo Jambo namba moja

Asije akakudanganya Mtu au ukajidanganya, familia ndîo Jambo namba moja

Sikupingi, ila nataka niseme tu furaha ni fumbo kubwa sana lenye utata

Sio kila mtu anaamini atapata furaha kwenye familia, ni suala mtambuka sana

na wapo wenye familia lakini furaha hawapati


*hapo mwishoni unavyohubiri kuhusu tofauti ya umri wa me na ke mbona kama umejisahau umeanza kuhubiri kisabato😆
Hapo mwisho anaanza kupangia watu maisha.
 
Hapo mwisho anaanza kupangia watu
Laiti ummah wa uislamu wote wangemkubali na kufuata mafundisho adhim ya Imam wetu kipenzi chetu cha dhati haya yote yasingetokea.

Lakini licha ya yote leo kupitia yeye kwa kukana nafsi na kuuliwa kikatili kuutetea, kuulinda na kuupigania uislamu tumemiminiwa Tawfiq za kutosha. Na tuna uhakika wa jannah na firdaus.

Allah aendelee kumfanyia wepes na kumpa qauli thabeet kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein ibn Ali A.S.

il_794xN.2160374853_o00v.jpg
 
Sikupingi, ila nataka niseme tu furaha ni fumbo kubwa sana lenye utata

Sio kila mtu anaamini atapata furaha kwenye familia, ni suala mtambuka sana

na wapo wenye familia lakini furaha hawapati


*hapo mwishoni unavyohubiri kuhusu tofauti ya umri wa me na ke mbona kama umejisahau umeanza kuhubiri kisabato😆

Hapo mahubiri ya kisabato nikajikuta ninacheka
 
Laiti ummah wa uislamu wote wangemkubali na kufuata mafundisho adhim ya Imam wetu kipenzi chetu cha dhati haya yote yasingetokea.

Lakini licha ya yote leo kupitia yeye kwa kukana nafsi na kuuliwa kikatili kuutetea, kuulinda na kuupigania uislamu tumemiminiwa Tawfiq za kutosha. Na tuna uhakika wa jannah na firdaus.

Allah aendelee kumfanyia wepes na kumpa qauli thabeet kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein ibn Ali A.S.

View attachment 3062428
. 😀😀

Imam kama Imam
 
Back
Top Bottom