Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana tunasaidiana pia ila wengi sio waaminifu wachache mno marafiki wakweliSo mkuu hamuwezi kukaa pamoja nyie urafiki wenu ni kwa ajili ya umbea tu.
Tumetahadharishwa kuishi nao kwa akili kubwa.Ni mama zetu....
Ila ni viumbe WA AJABU MNO.
Na wewe unaamini hii logic KikoWell said Taikon.
Absolutely [emoji817]Aise kitu mwanamke anapenda kwenye hii dunia ni yeye na watoto wake aliowazaa. Unatakiwa ujue hilo
Sent using Jamii Forums mobile app
Je na Mula Mula kukutana, kusalimiana na kupiga picha na Biden?Tibaijuka na Migiro
Roho imewauma Sana Samia kuwapita Hadi kuingia Ikulu...
Na wewe unaamini hii logic Kiko
Mwamba mchoma mkaa wa minjingu siyo wanawake tu ikija hili swala la kusifia. Hata sisis midume demu wako amsifie dumw lingine patachimbika. Hadi leo namchukia Keanu Reeves wa movie ya Matrix. Demu wangu flani alikuwaga anamsifiaga sana. Hata movie yake mpya ya Jojn wick naichukia.Kuna baadhi ya mambo ni kweli ,kuna clip moja ya comedy niliiona leo ,mtu na mpenzi wake walikuwa wanaangalia movie sasa Demu akaanza kumsifia sterling kwamba ana body zuri mrefu na jamaa yake akawa anamsupport tu sasa ikaja sehemu akatokea Demu wa sterling naye Jamaa akaanza kumsifia Demu wa sterling ,Daaa kifuatacho ITV mwanamke akachukia kwanini bwana wake anamsifia Demu wa sterling....... 😀 😀 😀 😀
Mwamba mchoma mkaa wa minjingu siyo wanawake tu ikija hili swala la kusifia. Hata sisis midume demu wako amsifie dumw lingine patachimbika. Hadi leo namchukia Keanu Reeves wa movie ya Matrix. Demu wangu flani alikuwaga anamsifiaga sana. Hata movie yake mpya ya Jojn wick naichukia.
Anatetea dini yake.Huu ujinga na uchawa ndo unaaandika.
Mama wa mboga yeye alipata akafocus kwenye mboga akaacha mengine[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tibaijuka na Migiro
Roho imewauma Sana Samia kuwapita Hadi kuingia Ikulu...
Yani kuna mdada alinihudumia Kama hataki kisa nimependeza, namuita Kama hanisikii🤣🤣🤣 afu kimkoba chenyewe nilichovaa ni cha elfu 30 tu kariakoo🤣🤣🤣Na huo ndioo ukweli wenyeweee...Aisee ni vitaaa...muonekano+mavazi+unadhifuu utachukiwaaa tuu
Umenikumbusha mbali, first year first semester nilibalaswa na aliyenibeba🤣🤣Mfano chuoni hawawezi kukaa gheto moja wakatoboa semister zote. Sita miaka mitatu .
Wanawake hawana upendo ,utu na umoja
Mtoa Mada yupo sahihi.