Asije akakudanganya MTU; Wanawake Hawapendani na hawatakuja kupendana

Asije akakudanganya MTU; Wanawake Hawapendani na hawatakuja kupendana

Yani kuna mdada alinihudumia Kama hataki kisa nimependeza, namuita Kama hanisikii🤣🤣🤣 afu kimkoba chenyewe nilichovaa ni cha elfu 30 tu kariakoo🤣🤣🤣
Umeonaaa wanawake sijuii tuna shida gani...Mimi nikijuaaa unaumizwaa na Mimi hasa eneo la kazii nitakufanyaa ujutieee😅😅😅yaan nakuwaaa sipoi Wala siboi utajua ujuiiii😅😅😅
 
Ni kweli,Niliwahi kufanya kazi taasisi fulani wakaajiriwa mabinti wawili ndio wamemaliza chuo wakaletwa pale,Wakapata nyumba mmoja wakawa wanaishi,haikupita miezi miwili vurugu zikaanza,kuna siku wamepigana mpaka kupelekana polisi,baada ya hapo wakatengana kila mtu akaishi kivyake nyumba tofauti.

Baada ya muda wakaletwa tena mabinti wawili wapya kwahio mle ofisini wakawa wanne,ilikuwa ni shida.

Ukikaa na na huyu labda mnakunywa chai akapita mwenzake utasiki 'huyu nae simpendi kama nini' ukiuliza vipi kwani hujibiwi anaishia kubinu mdomo tu.

Haya ukikaa kupiga stori mbili tatu na huyu,ikatokea mwingine akawa anashida na wewe halafu ukachelewa kuitika aisee utaitwa sauti ya juu kama mtu anakufokea hivi,yaani ni vurugu tupu

Yule Boss wetu alipata shida sana,kesi za kila mara.

Hatari Sana.
 
Ni kweli wanawake asilimia kubwa wanatatizo na mwanamke wa hivyo ni mjinga na nadra sana kuendelea.Ndio maana wanaume wanapiga hatua katika sekta nyingi za kimaisha mfn elimu,biashara mipango nk.Wanawake ukute wanashauriana mambo muhim hamna ni kukaa kwa kushindana.Wao wavae wapendeze,watoke out,waingie page za udaku bas mikakati ya kimaisha 0,mawazo ya kimaendeleo 0, kutafuta fursa/nafsi 0
 
Wanawake wengi wanafeli sana unakuta mtu ameajiriwa kilichompeleka ni kazi ila yeye lake ni nani anapendeza zaidi,nani ana simu ghali nk so what?na itakusaidia nini?Wakati huo wenzake wapo huko wanachukua masters, phd,wanatafuta fursa za biashara lenyew lipo tu ofisin kuangalia nani zaidi jinga!Na hapa ndio inabidi tukubali wanawake wengi hawaweki akili kwenye mambo ya muhimu bali ya kijinga
 
Ni Kweli kabisa yani sisi ni waajabu sana
Yani mwanamke anaona ufahari kumsema mwanamke mwenzie
Kumzodoa,kumtolea sirizakeNa aibu zake hata mbele ya wanaume

Ukipata ela kidogo majungu Yani anaona Bora apate mwanaume kuliko wewe
Ni mengi ila Mungu atusaidie
Poleni sana
 
Nina tabia hata nikienda mahala napenda kuhudumiwa na jinsia Me [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Back
Top Bottom