Umeonaaa wanawake sijuii tuna shida gani...Mimi nikijuaaa unaumizwaa na Mimi hasa eneo la kazii nitakufanyaa ujutieee😅😅😅yaan nakuwaaa sipoi Wala siboi utajua ujuiiii😅😅😅Yani kuna mdada alinihudumia Kama hataki kisa nimependeza, namuita Kama hanisikii🤣🤣🤣 afu kimkoba chenyewe nilichovaa ni cha elfu 30 tu kariakoo🤣🤣🤣
Umeonaaa wanawake sijuii tuna shida gani...Mimi nikijuaaa unaumizwaa na Mimi hasa eneo la kazii nitakufanyaa ujutieee😅😅😅yaan nakuwaaa sipoi Wala siboi utajua ujuiiii😅😅😅
Ni kweli,Niliwahi kufanya kazi taasisi fulani wakaajiriwa mabinti wawili ndio wamemaliza chuo wakaletwa pale,Wakapata nyumba mmoja wakawa wanaishi,haikupita miezi miwili vurugu zikaanza,kuna siku wamepigana mpaka kupelekana polisi,baada ya hapo wakatengana kila mtu akaishi kivyake nyumba tofauti.
Baada ya muda wakaletwa tena mabinti wawili wapya kwahio mle ofisini wakawa wanne,ilikuwa ni shida.
Ukikaa na na huyu labda mnakunywa chai akapita mwenzake utasiki 'huyu nae simpendi kama nini' ukiuliza vipi kwani hujibiwi anaishia kubinu mdomo tu.
Haya ukikaa kupiga stori mbili tatu na huyu,ikatokea mwingine akawa anashida na wewe halafu ukachelewa kuitika aisee utaitwa sauti ya juu kama mtu anakufokea hivi,yaani ni vurugu tupu
Yule Boss wetu alipata shida sana,kesi za kila mara.
Hata wanaume hawapendani kabisa. Si unaona wanavouanaga vitani.
Huu ni ukweli kabisa
Na huo ndioo ukweli wenyeweee...Aisee ni vitaaa...muonekano+mavazi+unadhifuu utachukiwaaa tuu
😅😅😅 pumzika sasa mwanetu Mtibeli inatosha maana jana na leo umewaamulia wanawakeAcha nipumzike sasa!
Poleni sanaNi Kweli kabisa yani sisi ni waajabu sana
Yani mwanamke anaona ufahari kumsema mwanamke mwenzie
Kumzodoa,kumtolea sirizakeNa aibu zake hata mbele ya wanaume
Ukipata ela kidogo majungu Yani anaona Bora apate mwanaume kuliko wewe
Ni mengi ila Mungu atusaidie
Ndivyo mlivyo na hamwezi kubadilikaHuu ni ukweli kabisa
😅😅😅 pumzika sasa mwanetu Mtibeli inatosha maana jana na leo umewaamulia wanawake
[emoji41]Ndivyo mlivyo na hamwezi kubadilika
Hivi wale wanawake wanaosagana inakuwaje?[emoji41]
Wale sijui yaan em tuwasubir waje watujibu mana na humu najua wapo.Hivi wale wanawake wanaosagana inakuwaje?
Sawa ngoja waje maana wanakuwa wanapeana mahaba kweli kweli.Wale sijui yaan em tuwasubir waje watujibu mana na humu najua wapo.