Asikudanganye mtu! Rafiki wa kweli katika dunia hii ni hela (pesa/money)!

Asikudanganye mtu! Rafiki wa kweli katika dunia hii ni hela (pesa/money)!

Morning_star

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2018
Posts
6,042
Reaction score
17,320
Ukipata hela umepata vyote! Ukikosa hela umekosa vyote! Kosa vyote lakini kamwe usikose njia za kupata hela na kuimudu hiyo hela ikae na wewe! Akili kubwa kuliko zote ni jinsi ya kuipata hiyo hela na kuifanya ikae na wewe. Ukishinda huu mtihani basi kila kitu utakachokitaka katika dunia hii kitakutafuta na kukufuata!

Sasa! Unataka nini? Wanawake/Wanaume/kuoa/kuolewa/nyumba/magari/vyeo/heshima/ maisha marefu, nk, vyote anavyo huyu bwana pesa! Sasa huyu bwana pesa alivyo na nguvu pia unahitaji nguvu kubwa kuliko yeye ili kummudu na kumdhibiti maana nguvu zake zinaua pia! Wengi wamekufa kwa kupata hela wakakosa maarifa ya kumudu hiyo hela! Leo nilienda sehemu hawanijui nikakaa nikiwa bize na simu! Hakuna aliyenisemesha zaidi ya "tukusaidie nini?", nikajibu "subiri kwanza". Nimekaa zangu nikaona wanainamisha viti kwenye meza ambavyo vilikuwa havina watu! Nilivyoona hivyo nikaondoka nikaenda kukaa jirani na pale nikaagiza chakula na kinywaji nikaanza kunyonya! Nimekaa pale muda saana mpaka jioni nafuatwa na yule mdada wa mahali pa kwanza "samahani kama tulikuudhi". Nikamjibu "haina shida".
 
Ukipata hela umepata vyote! Ukikosa hela umekosa vyote! Kosa vyote lakini kamwe usikose njia za kupata hela na kuimudu hiyo hela ikae na wewe! Akili kubwa kuliko zote ni jinsi ya kuipata hiyo hela na kuifanya ikae na wewe. Ukishinda huu mtihani basi kila kitu utakachokitaka katika dunia hii kitakutafuta na kukufuata!

Sasa! Unataka nini? Wanawake/Wanaume/kuoa/kuolewa/nyumba/magari/vyeo/heshima/ maisha marefu, nk, vyote anavyo huyu bwana pesa! Sasa huyu bwana pesa alivyo na nguvu pia unahitaji nguvu kubwa kuliko yeye ili kummudu na kumdhibiti maana nguvu zake zinaua pia! Wengi wamekufa kwa kupata hela wakakosa maarifa ya kumudu hiyo hela! Leo nilienda sehemu hawanijui nikakaa nikiwa bize na simu! Hakuna aliyenisemesha zaidi ya "tukusaidie nini?", nikajibu "subiri kwanza". Nimekaa zangu nikaona wanainamisha viti kwenye meza ambavyo vilikuwa havina watu! Nilivyoona hivyo nikaondoka nikaenda kukaa jirani na pale nikaagiza chakula na kinywaji nikaanza kunyonya! Nimekaa pale muda saana mpaka jioni nafuatwa na yule mdada wa mahali pa kwanza "samahani kama tulikuudhi". Nikamjibu "haina shida".
Hakika
 
Ukipata hela umepata vyote! Ukikosa hela umekosa vyote! Kosa vyote lakini kamwe usikose njia za kupata hela na kuimudu hiyo hela ikae na wewe! Akili kubwa kuliko zote ni jinsi ya kuipata hiyo hela na kuifanya ikae na wewe. Ukishinda huu mtihani basi kila kitu utakachokitaka katika dunia hii kitakutafuta na kukufuata!

Sasa! Unataka nini? Wanawake/Wanaume/kuoa/kuolewa/nyumba/magari/vyeo/heshima/ maisha marefu, nk, vyote anavyo huyu bwana pesa! Sasa huyu bwana pesa alivyo na nguvu pia unahitaji nguvu kubwa kuliko yeye ili kummudu na kumdhibiti maana nguvu zake zinaua pia! Wengi wamekufa kwa kupata hela wakakosa maarifa ya kumudu hiyo hela! Leo nilienda sehemu hawanijui nikakaa nikiwa bize na simu! Hakuna aliyenisemesha zaidi ya "tukusaidie nini?", nikajibu "subiri kwanza". Nimekaa zangu nikaona wanainamisha viti kwenye meza ambavyo vilikuwa havina watu! Nilivyoona hivyo nikaondoka nikaenda kukaa jirani na pale nikaagiza chakula na kinywaji nikaanza kunyonya! Nimekaa pale muda saana mpaka jioni nafuatwa na yule mdada wa mahali pa kwanza "samahani kama tulikuudhi". Nikamjibu "haina shida".
Nakubali, pesa inatatua matatizo mengi sana
 
Mwalimu Nyerere hapo kwenye hela alituingiza chaka! Eti maendeleo yanahitaji vitu vinne! Ardhi, watu, siasa safi, uongozi bora!!😏😣! Bila hela hivyo vitu vyoote huvipati. Wazungu wanasema: Hili upate maendeleo cha kwanza "pesa" "capital". Hiyo pesa utaipataje utajua mwenyewe maana bila hela hutoboi
 
Mwalimu Nyerere hapo kwenye hela alituingiza chaka! Eti maendeleo yanahitaji vitu vinne! Ardhi, watu, siasa safi, uongozi bora!!😏😣! Bila hela hivyo vitu vyoote huvipati. Wazungu wanasema: Hili upate maendeleo cha kwanza "pesa" "capital". Hiyo pesa utaipataje utajua mwenyewe maana bila hela hutoboi
Huna akili.
 
Back
Top Bottom