Asikudanganye mtu! Rafiki wa kweli katika dunia hii ni hela (pesa/money)!

Asikudanganye mtu! Rafiki wa kweli katika dunia hii ni hela (pesa/money)!

Mwanamke anaweza mvumilia baba mzazi asiye na pesa muda wote hawezi mvumilia mume wake akose pesa miezi mitatu
 
Ukipata hela umepata vyote! Ukikosa hela umekosa vyote! Kosa vyote lakini kamwe usikose njia za kupata hela na kuimudu hiyo hela ikae na wewe! Akili kubwa kuliko zote ni jinsi ya kuipata hiyo hela na kuifanya ikae na wewe. Ukishinda huu mtihani basi kila kitu utakachokitaka katika dunia hii kitakutafuta na kukufuata!

Sasa! Unataka nini? Wanawake/Wanaume/kuoa/kuolewa/nyumba/magari/vyeo/heshima/ maisha marefu, nk, vyote anavyo huyu bwana pesa! Sasa huyu bwana pesa alivyo na nguvu pia unahitaji nguvu kubwa kuliko yeye ili kummudu na kumdhibiti maana nguvu zake zinaua pia! Wengi wamekufa kwa kupata hela wakakosa maarifa ya kumudu hiyo hela! Leo nilienda sehemu hawanijui nikakaa nikiwa bize na simu! Hakuna aliyenisemesha zaidi ya "tukusaidie nini?", nikajibu "subiri kwanza". Nimekaa zangu nikaona wanainamisha viti kwenye meza ambavyo vilikuwa havina watu! Nilivyoona hivyo nikaondoka nikaenda kukaa jirani na pale nikaagiza chakula na kinywaji nikaanza kunyonya! Nimekaa pale muda saana mpaka jioni nafuatwa na yule mdada wa mahali pa kwanza "samahani kama tulikuudhi". Nikamjibu "haina shida".
Ndiyo unajua sasa? Wenzako walijua tangu wakiwa chekechea.
 
Mtu pekee anaeweza kukupenda hauna hela ni mama yako mzazi pekee.
Lakini ni upendo wa kinafiki na kimasikini. Mama ukiwa unajitafuta stakuonyesha upendo kama wooote! Lakini ikifika umri usomeki na yeye anakumwaga! Ogopa kukosa hela broh!
 
Ukipata hela umepata vyote! Ukikosa hela umekosa vyote! Kosa vyote lakini kamwe usikose njia za kupata hela na kuimudu hiyo hela ikae na wewe! Akili kubwa kuliko zote ni jinsi ya kuipata hiyo hela na kuifanya ikae na wewe. Ukishinda huu mtihani basi kila kitu utakachokitaka katika dunia hii kitakutafuta na kukufuata!

Sasa! Unataka nini? Wanawake/Wanaume/kuoa/kuolewa/nyumba/magari/vyeo/heshima/ maisha marefu, nk, vyote anavyo huyu bwana pesa! Sasa huyu bwana pesa alivyo na nguvu pia unahitaji nguvu kubwa kuliko yeye ili kummudu na kumdhibiti maana nguvu zake zinaua pia! Wengi wamekufa kwa kupata hela wakakosa maarifa ya kumudu hiyo hela! Leo nilienda sehemu hawanijui nikakaa nikiwa bize na simu! Hakuna aliyenisemesha zaidi ya "tukusaidie nini?", nikajibu "subiri kwanza". Nimekaa zangu nikaona wanainamisha viti kwenye meza ambavyo vilikuwa havina watu! Nilivyoona hivyo nikaondoka nikaenda kukaa jirani na pale nikaagiza chakula na kinywaji nikaanza kunyonya! Nimekaa pale muda saana mpaka jioni nafuatwa na yule mdada wa mahali pa kwanza "samahani kama tulikuudhi". Nikamjibu "haina shida".
Ukiwa huna Hela unaweza ona pesa ni kila kitu ninachoshukuru pesa ninazo na marafiki wa kweli ambao ni ndugu zangu ninao
 
Hapa nipo home mama kapita na kajukuu, jirani kamtania "naona huko na mme wako" kajibu "nampeleka huko kwa mama yake mme gani hana hela? 😀😄😄
 
Mkuu.. Yote usemayo ni sawa kabisa.. Ila kuna muda hayana maana.. Yan kuna muda pesa haina maana kabisaa kama hauna amani.. Haswaa ni amani ya moyo ambayo inaweza kukufanya uthubutu kufanya chochote..
Weeeeweee! Hiyo amani utaitoa wapi bila hela?
 
Ukipata hela umepata vyote! Ukikosa hela umekosa vyote! Kosa vyote lakini kamwe usikose njia za kupata hela na kuimudu hiyo hela ikae na wewe! Akili kubwa kuliko zote ni jinsi ya kuipata hiyo hela na kuifanya ikae na wewe. Ukishinda huu mtihani basi kila kitu utakachokitaka katika dunia hii kitakutafuta na kukufuata!

Sasa! Unataka nini? Wanawake/Wanaume/kuoa/kuolewa/nyumba/magari/vyeo/heshima/ maisha marefu, nk, vyote anavyo huyu bwana pesa! Sasa huyu bwana pesa alivyo na nguvu pia unahitaji nguvu kubwa kuliko yeye ili kummudu na kumdhibiti maana nguvu zake zinaua pia! Wengi wamekufa kwa kupata hela wakakosa maarifa ya kumudu hiyo hela! Leo nilienda sehemu hawanijui nikakaa nikiwa bize na simu! Hakuna aliyenisemesha zaidi ya "tukusaidie nini?", nikajibu "subiri kwanza". Nimekaa zangu nikaona wanainamisha viti kwenye meza ambavyo vilikuwa havina watu! Nilivyoona hivyo nikaondoka nikaenda kukaa jirani na pale nikaagiza chakula na kinywaji nikaanza kunyonya! Nimekaa pale muda saana mpaka jioni nafuatwa na yule mdada wa mahali pa kwanza "samahani kama tulikuudhi". Nikamjibu "haina shida".
"tukusaidie nini?" Hili ndilo swali la msingi, wewe ulitakaje? Mimi nikifika sehemu ya huduma natulia, muhumu akija nataka aniulize short and clear kama ulivyoulizwa, sihitaji mambo mengi. Nikiona wahudumu hawaji nawafuata huko huko bila hata salamu na kuwaeleza "nataka hiki"

Mwanzoni nilikuwa najifanya muungwana, nikienda dukani naanza na salamu lakino unakuta wauzaji wanajivuta hata salamu yako wanaiona haina maana kwa sababu wameishakushusha thamani.

Nikaona isiwe kesi. Sasa hivi nikute mhudumu awe mzee au kijana, nikifika hiyo sehemu sisalimii ni kusema tu "nataka hiki, kipo?" nikimuonea aibu kidogo kama ni mzee, ndio nasema "Samahani mzee nahitaji hiki" Lakini huyo mzee hapati salamu pia
 
Back
Top Bottom