Morning_star
JF-Expert Member
- Apr 21, 2018
- 6,042
- 17,320
- Thread starter
- #21
Ooh! Nimeona kumbe mwamba! Nimeondoa kauli yangu!Duh embu angali vzr mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ooh! Nimeona kumbe mwamba! Nimeondoa kauli yangu!Duh embu angali vzr mkuu
Ndiyo unajua sasa? Wenzako walijua tangu wakiwa chekechea.Ukipata hela umepata vyote! Ukikosa hela umekosa vyote! Kosa vyote lakini kamwe usikose njia za kupata hela na kuimudu hiyo hela ikae na wewe! Akili kubwa kuliko zote ni jinsi ya kuipata hiyo hela na kuifanya ikae na wewe. Ukishinda huu mtihani basi kila kitu utakachokitaka katika dunia hii kitakutafuta na kukufuata!
Sasa! Unataka nini? Wanawake/Wanaume/kuoa/kuolewa/nyumba/magari/vyeo/heshima/ maisha marefu, nk, vyote anavyo huyu bwana pesa! Sasa huyu bwana pesa alivyo na nguvu pia unahitaji nguvu kubwa kuliko yeye ili kummudu na kumdhibiti maana nguvu zake zinaua pia! Wengi wamekufa kwa kupata hela wakakosa maarifa ya kumudu hiyo hela! Leo nilienda sehemu hawanijui nikakaa nikiwa bize na simu! Hakuna aliyenisemesha zaidi ya "tukusaidie nini?", nikajibu "subiri kwanza". Nimekaa zangu nikaona wanainamisha viti kwenye meza ambavyo vilikuwa havina watu! Nilivyoona hivyo nikaondoka nikaenda kukaa jirani na pale nikaagiza chakula na kinywaji nikaanza kunyonya! Nimekaa pale muda saana mpaka jioni nafuatwa na yule mdada wa mahali pa kwanza "samahani kama tulikuudhi". Nikamjibu "haina shida".
Mkuu tunaomba tujifunze kutoka kwako...Kupata pesa sio kazi KAZI ni kuifanya pesa ikae nawe milele.
Nimepoteza jumla ya million 400 kwa miaka 18 ya utafutaji lkn nishagundua makosa yangu sasa hivi ikija haitoki
Lakini ni upendo wa kinafiki na kimasikini. Mama ukiwa unajitafuta stakuonyesha upendo kama wooote! Lakini ikifika umri usomeki na yeye anakumwaga! Ogopa kukosa hela broh!Mtu pekee anaeweza kukupenda hauna hela ni mama yako mzazi pekee.
Sijakataa mkuuWachache mama alikupenda tangu ungali uchi
🙏Ooh! Nimeona kumbe mwamba! Nimeondoa kauli yangu!
Vyovyote vile mwisho wa siku upate furahahela ni nyenzo ya kukupa furaha, na sio chanzo cha furaha.
Ukiwa huna Hela unaweza ona pesa ni kila kitu ninachoshukuru pesa ninazo na marafiki wa kweli ambao ni ndugu zangu ninaoUkipata hela umepata vyote! Ukikosa hela umekosa vyote! Kosa vyote lakini kamwe usikose njia za kupata hela na kuimudu hiyo hela ikae na wewe! Akili kubwa kuliko zote ni jinsi ya kuipata hiyo hela na kuifanya ikae na wewe. Ukishinda huu mtihani basi kila kitu utakachokitaka katika dunia hii kitakutafuta na kukufuata!
Sasa! Unataka nini? Wanawake/Wanaume/kuoa/kuolewa/nyumba/magari/vyeo/heshima/ maisha marefu, nk, vyote anavyo huyu bwana pesa! Sasa huyu bwana pesa alivyo na nguvu pia unahitaji nguvu kubwa kuliko yeye ili kummudu na kumdhibiti maana nguvu zake zinaua pia! Wengi wamekufa kwa kupata hela wakakosa maarifa ya kumudu hiyo hela! Leo nilienda sehemu hawanijui nikakaa nikiwa bize na simu! Hakuna aliyenisemesha zaidi ya "tukusaidie nini?", nikajibu "subiri kwanza". Nimekaa zangu nikaona wanainamisha viti kwenye meza ambavyo vilikuwa havina watu! Nilivyoona hivyo nikaondoka nikaenda kukaa jirani na pale nikaagiza chakula na kinywaji nikaanza kunyonya! Nimekaa pale muda saana mpaka jioni nafuatwa na yule mdada wa mahali pa kwanza "samahani kama tulikuudhi". Nikamjibu "haina shida".
Na je ukiwa mkubwa na huna hela atakufukuza nyumbani nakwambia!Wachache mama alikupenda tangu ungali uchi
Acha uongo Mbona na bi maza hazihivi na hii ni kutokana na kutokuwa na hela.Mtu pekee anaeweza kukupenda hauna hela ni mama yako mzazi pekee.
Weeeeweee! Hiyo amani utaitoa wapi bila hela?Mkuu.. Yote usemayo ni sawa kabisa.. Ila kuna muda hayana maana.. Yan kuna muda pesa haina maana kabisaa kama hauna amani.. Haswaa ni amani ya moyo ambayo inaweza kukufanya uthubutu kufanya chochote..
"tukusaidie nini?" Hili ndilo swali la msingi, wewe ulitakaje? Mimi nikifika sehemu ya huduma natulia, muhumu akija nataka aniulize short and clear kama ulivyoulizwa, sihitaji mambo mengi. Nikiona wahudumu hawaji nawafuata huko huko bila hata salamu na kuwaeleza "nataka hiki"Ukipata hela umepata vyote! Ukikosa hela umekosa vyote! Kosa vyote lakini kamwe usikose njia za kupata hela na kuimudu hiyo hela ikae na wewe! Akili kubwa kuliko zote ni jinsi ya kuipata hiyo hela na kuifanya ikae na wewe. Ukishinda huu mtihani basi kila kitu utakachokitaka katika dunia hii kitakutafuta na kukufuata!
Sasa! Unataka nini? Wanawake/Wanaume/kuoa/kuolewa/nyumba/magari/vyeo/heshima/ maisha marefu, nk, vyote anavyo huyu bwana pesa! Sasa huyu bwana pesa alivyo na nguvu pia unahitaji nguvu kubwa kuliko yeye ili kummudu na kumdhibiti maana nguvu zake zinaua pia! Wengi wamekufa kwa kupata hela wakakosa maarifa ya kumudu hiyo hela! Leo nilienda sehemu hawanijui nikakaa nikiwa bize na simu! Hakuna aliyenisemesha zaidi ya "tukusaidie nini?", nikajibu "subiri kwanza". Nimekaa zangu nikaona wanainamisha viti kwenye meza ambavyo vilikuwa havina watu! Nilivyoona hivyo nikaondoka nikaenda kukaa jirani na pale nikaagiza chakula na kinywaji nikaanza kunyonya! Nimekaa pale muda saana mpaka jioni nafuatwa na yule mdada wa mahali pa kwanza "samahani kama tulikuudhi". Nikamjibu "haina shida".