Asikuzuge mtu, jezi zote za timu zetu ni fulana na bukta za kawaida tu

Asikuzuge mtu, jezi zote za timu zetu ni fulana na bukta za kawaida tu

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Kama jezi ya timu yako haina logo ya Nike, puma, umbro au adidas badala yake ina logo ya vunja bei, sandaland, sijui kindoki, gsm na akina aden rage, hiyo ni fulana na bukta tu, sio jezi ya kupandisha sijui mlima gani na kuunajisi.

Tufike mahali tuwaambie watu wetu ukweli kuhusu hizi jezi badala ya kuwaaminisha kuwa tunaleta jezi/uzi bomba na hadaa mbalimbali za kuwaibia wadau wa mpira.

Kuna jezi ya timu ukiifua tu mara moja inapauka au inaongezeka ukubwa lakini inasifiwa kupita maelezo ili watu waibiwe. Lete jezi bora hata kama bei yake ikiwa sh. 100,000 lakini ni jezz kweli. Kumsajili mchezaji ghali na kumvakisha tambara sio poa. TBS ingilieni kati utapeli huu ili ubora wa jezi ulingane na thamani ya pesa.

Ni heri zikaletwa jezi 150000, 100000, 40,000 na 30,000 ili anaemudu jezi avae na anaemudu jezi hafifu avae kama ilivyo kwenye viingilio vya mlangoni viwanjani.
 
Kama jezi ya timu yako haina logo ya Nike, puma au adidas badala yake ina logo ya vunja bei, sandaland, sijui kindoki, gsm na akina aden rage, hiyo ni fulana na bukata tu, sio jezi ya kupandisha sijui mlima gani na kuunajisi.

Tufike mahali tuwaambie watu wetu ukweli kuhusu hizi jezi badala ya kuwaaminisha kuwa tunaleta jezi/uzi bomba na hadaa mbalimbali za kuwaibia wadau wa mpira.

Kuna jezi ya timu ukiifua tu inapaika au inaongezeka ukubwa lakini inasifiwa kupita maelezo ili watu waibiwe. Lete jezi bora hata bei yake ikiwa sh. 100,000 lakini ni jezz kweli. TBS ingilieni kati utapeli huu ili ubora wa jezi ulingane na thamani ya pesa.
Unataka kama hizi
Screenshot_20230721-183403_Chrome.jpg
 
Kama jezi ya timu yako haina logo ya Nike, puma au adidas badala yake ina logo ya vunja bei, sandaland, sijui kindoki, gsm na akina aden rage, hiyo ni fulana na bukata tu, sio jezi ya kupandisha sijui mlima gani na kuunajisi.

Tufike mahali tuwaambie watu wetu ukweli kuhusu hizi jezi badala ya kuwaaminisha kuwa tunaleta jezi/uzi bomba na hadaa mbalimbali za kuwaibia wadau wa mpira.

Kuna jezi ya timu ukiifua tu inapaika au inaongezeka ukubwa lakini inasifiwa kupita maelezo ili watu waibiwe. Lete jezi bora hata bei yake ikiwa sh. 100,000 lakini ni jezz kweli. TBS ingilieni kati utapeli huu ili ubora wa jezi ulingane na thamani ya pesa.
Kwa uzi huu,mjadala wa jezi gani sijui nzuri ufungwe rasmi.
 
WATANZANIA WENGI ni Mburula HAWAJUI vitu kama.

Quality.
Material.
Texture.
Design.


NCHI inamazuzu wengi mno
 
Achaneni na zile editing za kwenye page official za klabu yenu,huu ndiyo uhalisia wa jezi zenu 😀😀
IMG-20230721-WA0007.jpg
 
WATANZANIA WENGI ni Mburula HAWAJUI vitu kama.

Quality.
Material.
Texture.
Design.


NCHI inamazuzu wengi mno
Jezi zinabumbwa TU na wajanja wanapiga pesa ndefu kwa matambala hahifu. Cost of production haizidi 15000.
 
Kama jezi ya timu yako haina logo ya Nike, puma au adidas badala yake ina logo ya vunja bei, sandaland, sijui kindoki, gsm na akina aden rage, hiyo ni fulana na bukata tu, sio jezi ya kupandisha sijui mlima gani na kuunajisi.

Tufike mahali tuwaambie watu wetu ukweli kuhusu hizi jezi badala ya kuwaaminisha kuwa tunaleta jezi/uzi bomba na hadaa mbalimbali za kuwaibia wadau wa mpira.

Kuna jezi ya timu ukiifua tu inapaika au inaongezeka ukubwa lakini inasifiwa kupita maelezo ili watu waibiwe. Lete jezi bora hata bei yake ikiwa sh. 100,000 lakini ni jezz kweli. TBS ingilieni kati utapeli huu ili ubora wa jezi ulingane na thamani ya pesa.
Kibegi kimewaumiza sana mnajiropokea tu.
 
Hayo majezi kama matambala ya kudekia, malonya lonya full clip
 
Kibegi kimewaumiza sana mnajiropokea tu.
Nilijua TU itakuwa ni vuluvulu ileile, kama itavaliwa na kufuliwa kila siku kwa miezi 3 hamna kitu hapo. Angalia na bei yake kama Yanga vile vile kasolo yake Yanga wamezindulia Ikulu ya Malawi.
 
Matambara haya hayana hadhi ya kupandishwa kwenye mlima wa Mungu, hii ni dharau kwa mwenye mlima. Mashibiki wengi huwa wanapenda kununua jezi nyeupe ili kukwepa kupauka ndani ya muda mfupi.

Mashariti ya kuvaa jezi hizi ni kwamba:
1. Usizivae kila siku kwa mtindo wa kauka nikuvae.
2. Usizifue na sabuni ya unga.
3. Usiweke Jiki wakati wa kufua na
4. Usianike juani
Mashariti haya huwa wanapewa kutoka kiwandani ili kuwapa wateja wao lakini wanayaficha.

Jezi imara ni zile za Nike, adidas, puma, umbro, nk. Nendeni mkachungulie jezi kama ya Kaiza chiefs, Al-ahly, Mamelod, wydad, zamalek, na vilabu vingine vinavyocheza mashindano ya CAF championship. Ukubwa wa timu unaendana na ubora wa vifaa na mavazi ya timu pia. Timu inacheza super league na jezi ya sandaland, shame on you.
 
Sasa ndugu yangu jezi ikiuzwa 100,000 watanzania wanagapi watakua na uwezo kumudu hiyo gharama? Kumbuka Tu hata hiyo 40k wengi hawanunui wanasubiri zile za juakali za elfu 10..

Sasa ikiwa laki huoni vilabu zitapoteza kabisa mapato na kuwanufaisha wajanja...

Kwanza mi naona bei iko Sawa kulingana na Hali halisi ya Maisha wa Watanzania
 
Back
Top Bottom