Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zikitenezwa jezi za quality kubwa ni washabiki wangapi watakuwa na uwezo wa kuzinunua?Nilijua TU itakuwa ni vuluvulu ileile, kama itavaliwa na kufuliwa kila siku kwa miezi 3 hamna kitu hapo. Angalia na bei yake kama Yanga vile vile kasolo yake Yanga wamezindulia Ikulu ya Malawi.
Kakaaa!! Toa jezi original kwa wanaomudu original na hafifu kwa wanaomudu hafifu Hata pale uwanjani viingilio vinatofautiana. Toyota anatengeneza magari ya watu na bei tofauti. Haingii akilini timu inasajili mchezaji kwa mamilioni ya hela halafu unamvakisha jezi ya 20,000Sasa ndugu yangu jezi ikiuzwa 100,000 watanzania wanagapi watakua na uwezo kumudu hiyo gharama? Kumbuka Tu hata hiyo 40k wengi hawanunui wanasubiri zile za juakali za elfu 10..
Sasa ikiwa laki huoni vilabu zitapoteza kabisa mapato na kuwanufaisha wajanja...
Kwanza mi naona bei iko Sawa kulingana na Hali halisi ya Maisha wa Watanzania
Hakiyanani!!! 40,000 inakwishaje hapo? Tuache wizi kwa mashabiki wetu. Watu wa viwango okoeni jahazi.Achaneni na zile editing za kwenye page official za klabu yenu,huu ndiyo uhalisia wa jezi zenu 😀😀View attachment 2695691