Asikuzuge mtu, jezi zote za timu zetu ni fulana na bukta za kawaida tu

Nilijua TU itakuwa ni vuluvulu ileile, kama itavaliwa na kufuliwa kila siku kwa miezi 3 hamna kitu hapo. Angalia na bei yake kama Yanga vile vile kasolo yake Yanga wamezindulia Ikulu ya Malawi.
Zikitenezwa jezi za quality kubwa ni washabiki wangapi watakuwa na uwezo wa kuzinunua?
 
Kakaaa!! Toa jezi original kwa wanaomudu original na hafifu kwa wanaomudu hafifu Hata pale uwanjani viingilio vinatofautiana. Toyota anatengeneza magari ya watu na bei tofauti. Haingii akilini timu inasajili mchezaji kwa mamilioni ya hela halafu unamvakisha jezi ya 20,000
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…