Jimmy Romio
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 367
- 278
Wewe ndio unachanganya mambo, hukuelewa nilichoandika.Haibadili chochote.
Hakuna 1zz-fe ya D4.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndio unachanganya mambo, hukuelewa nilichoandika.Haibadili chochote.
Hakuna 1zz-fe ya D4.
sawaWewe ndio unachanganya mambo, hukuelewa nilichoandika.
Imewekwa kwenye wish sura ya panya 😁Ndo haijawekwa😁
MabaoShepu ya I.S.T uwa siipendi kinoma asa kule nyuma. lakin wengi wanaipenda wanasemaga haili mafuta. sasa sijui inakula nin
Wewe unamiliki ipi kati ya hizo mkuu?Haya magari ya saloon body ukiacha Lamboghini, Bugatti na Ferrari mnayapendea nini?
Nyie tunashauri muendelee kuangalia reviews za hio Q8 huko huko YouTube.Sisi wa Audi Q8 tuna comment wapi? ha ha ha
😁😁😁Imewekwa kwenye wish sura ya panya 😁
Hio Lexus haijafa mzee, kuna system ya engine kuji self protect ndio imekata umeme kuingia kwenye injini sababu engine haina oil. Ila akiweka oil gari inawaka tu vyema.
Ila BMW haitawaka milele daima tena.
Sensor za BMW zimehamia kwenye kwenye lexus.
Hapo kila engine ishajifia.
Aisee mkuu out of topic,Kuna jamaa anatumia jina la sele _mapikipiki Kule Instagram anasema Yuko zenji,anauza mapikipiki.Nimeona Bei za kawasaki,Ducati etc ni ndogo mpk nimeshtuka.Maana Zanzibar kwa wapigaji unailewa vzr.Premio ni Crown iliosinzia.
Ukiweka gesi gari lazima liwe zito, boot storage lazima ipungue..kwaio gesi ikiisha unabadilisha mtungi?Na angefunga system ya gesi,angetumia kama 17,000 kwenda Moro na kurudi na bado angebakiwa na kilomita kadhaa za kuzunguka mjini
Acha kujitoa ufahamu. Usiweke ushabiki kwenye kila kitu.Hio Lexus haijafa mzee, kuna system ya engine kuji self protect ndio imekata umeme kuingia kwenye injini sababu engine haina oil. Ila akiweka oil gari inawaka tu vyema.
Ila BMW haitawaka milele daima tena.
Unaenda kujaza, bahati mbaya sehemu ni moja au mbili, najua pale MabiboUkiweka gesi gari lazima liwe zito, boot storage lazima ipungue..kwaio gesi ikiisha unabadilisha mtungi?
Dah yule jamaa mimi pia namfatilia vyemaa sana, bei zake hata mimi zinanistaajabisha. Honda PCX anaiuza 3.2 - 3.8M mixer usajil na bima na imetembea km kiduchu sana.Aisee mkuu out of topic,Kuna jamaa anatumia jina la sele _mapikipiki Kule Instagram anasema Yuko zenji,anauza mapikipiki.Nimeona Bei za kawasaki,Ducati etc ni ndogo mpk nimeshtuka.Maana Zanzibar kwa wapigaji unailewa vzr.
Ukipata Muda pita Kule Instagram nawe umcheki uniambie unaonaje mkuu.