mtoto wa maskini
JF-Expert Member
- Jun 28, 2013
- 1,152
- 637
Mwanza=nyanza=ziwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Moshi = ni Kijerumani Moschee = Msikiti. Huenda wajerumani waliukuta msikiti hapo. Ndiyo maana
kuna Old Moshi au kwa kijerumani "Alt moschee"
Arusha = Kimaasai La rusa = ng'ombe kijivu
Karatu = Kiyunani (the name of settler) (kratoo maana yake kutamalaki, kutawala)
Mimi nafahamu hili la ROMBO ambaro limetokana na mnyumbuliko wa maneno yaani MBO+RO=?
una uhakika larusa ni ngombe wa kijivu???
Kimaandishi katika kiarabu inaandikwa El salaam,lakini kimatamshi,inakuwa Es,L haitamkwi,zinakuja Es na S tena.Huyu huenda ndio wale samaki wanaoitwa "eel" kwa Kiingereza, ana umeme mkali sana huyu.
Asante kwa historia hii mkuu.
Kwa historia niliyoisoma, Jina Dar Es Salaam limebadilishwa ile "EL" na kuwekwa "ES". Jina halisi laKiarabu lilikuwa Dar El Salaam, likiwa na maana ya Bandari salama.
Chekelei - Check the Railway
Chekereni - Check the Train
Kariakoo - Carrier Crops (?)
Kilimanjaro - Kilima Kyaro (?)
Lugalo - Alipopigwa Jerumani Emily Von Zelewisky na Jeshi la Mkwawa
Same - Mzungu kila akienda hapo alikuwa anaona kile kitu kiko vilevile (?)
Simba - Kuna mtu aliliwa na simba katika hiyo barabara pale Chuo Kikuu
Swadakta.Kimaandishi katika kiarabu inaandikwa El salaam,lakini kimatamshi,inakuwa Es,L haitamkwi,zinakuja Es na S tena.