Asili na Maana ya Jina/majina ya sehemu mbalimbali Tanzania

Asili na Maana ya Jina/majina ya sehemu mbalimbali Tanzania

Kwa asilimia kubwa ni makosa ya matamshi kutokana na lugha pia uwepo wa miti ama vitu kadhaa!Msasani - Musa Hassan , Kariako - Carrier corps, Tabata - Utapata (mhindi) ,Ubungo - Mibungo mingi,Mabibo - Miti ya mibibo
Tabata ni kiswahili cha kiarabu(hawana matamshi ya U na P kwa kusema UTAPATA.
 
vipi lukelo, umeshapata majibu ya tafiti zako za wanyama? maana naona umekuja ghafla kwenye tafiti za sehemu za hapa DSM.
 
Jiji la Dar ni kubwa sana na lina maeneo mengi sana yenye majina tofauti tofauti, Je! Nini kilipelekea mpaka haya maeneo yakapewa majina kama MABIBO, MBAGALA, TEMEKE, UBUNGO, ILALA, KARIAKOO, SINZA, MASAKI, KIGAMBONI, MSASANI, TAZARA, TABATA, TEGETA, BUNJU, MOROCO NK. Ni kwa nini haya maeneo yalipewa hayo majina, mwenye historia nzuri ya jiji hili atujuze.
Manzese,magogoni,masaki,mbezi,chanika,chamazi,kijito nyama,Kariakoo,bunju,Tegeta n.k:what::what::what::what:
 
Jiji la Dar ni kubwa sana na lina maeneo mengi sana yenye majina tofauti tofauti, Je! Nini kilipelekea mpaka haya maeneo yakapewa majina kama MABIBO, MBAGALA, TEMEKE, UBUNGO, ILALA, KARIAKOO, SINZA, MASAKI, KIGAMBONI, MSASANI, TAZARA, TABATA, TEGETA, BUNJU, MOROCO NK. Ni kwa nini haya maeneo yalipewa hayo majina, mwenye historia nzuri ya jiji hili atujuze.

Mwenye kampuni toyota anendesha gari gani?
 
mabibo kulikua na miti mingi ya matunda hayo
 
Msasani Kulikuwa Na Mzee Mmoja maarufu akiitwa Musa Hasani, Hivyo Pakaitwa Mtaa Wa Musahasani Wabongo Wakasimplify ' Msasani'
 
kariakoo kuna mbuzi alipokua akichinjwa alilia KOO KOOOH KOOH badala ya meeh,enzi hizo ushirikina ndo ulikua talk of the town pande zile so watu wakawa wanasambaziana habari huku wakiulizana eti yule mbuzi kaliaje? mchaga alipo skia akajibu

Kariakoo baba angu!

................
 
pia kwa bi nyau (kituo cha kama unaelekea tandale uzuri) yule bibi alikua anafuga pussy wengi na akawa amewapa majina kabisa wale pussy pale kwake so wa2 wakaona isiweshida wakapaita kwa bi nyau
 
Jiji la Dar ni kubwa sana na lina maeneo mengi sana yenye majina tofauti tofauti, Je! Nini kilipelekea mpaka haya maeneo yakapewa majina kama MABIBO, MBAGALA, TEMEKE, UBUNGO, ILALA, KARIAKOO, SINZA, MASAKI, KIGAMBONI, MSASANI, TAZARA, TABATA, TEGETA, BUNJU, MOROCO NK. Ni kwa nini haya maeneo yalipewa hayo majina, mwenye historia nzuri ya jiji hili atujuze.

Acha nikujibu bwana kwa yale ninayojua msasani alikuwepo mzee maarufusana anaitwa musa hassani kadirisiku zlivokwenda wakaita kwa musa hasani wakaja msa hasani hadi leo msasani.... kwa upande wa tabata pale kulikua na duka kubwa na pekee la mhindi kwa mujibu wa wenyej wa zamani ulkua ukienda kuulizia kitu hochote mhindi huyo anakujibu tapata akimaanisha kwamva utapata cku zlivyokwenda matamshi yakatoka tapata hadi tabata.....ahsante
 
Jiji la Dar ni kubwa sana na lina maeneo mengi sana yenye majina tofauti tofauti, Je! Nini kilipelekea mpaka haya maeneo yakapewa majina kama MABIBO, MBAGALA, TEMEKE, UBUNGO, ILALA, KARIAKOO, SINZA, MASAKI, KIGAMBONI, MSASANI, TAZARA, TABATA, TEGETA, BUNJU, MOROCO NK. Ni kwa nini haya maeneo yalipewa hayo majina, mwenye historia nzuri ya jiji hili atujuze.

Tuanze na wewe kwanza... nini kilipelekea ukajiita lukelo sakafu?
 
Kulikuwa na mzee maarufu akiitwa Musa Hassan, sasa wamakonde walikuwa wanashindwa kumuita ipasavyo wakawa wanamuita NCHA CHANI, kwa hiyo ndo ikatokea hilo jina la MSASANI.
 
Najua mnaleta fujo kwa kuwa wengi wenu hamna majibu ya suali lake !ambacho hamkijui ni kuwa kupitia suali lake mtapata kujua historia ya maeneo kadha ya jiji la Dar ul salaam!
 
Kariako kilikua ni kituo cha kupakilia watumwa ambapo askari wa kikoloni walifanyia pia biashara ya watumwa na kukiita kituo hicho Carrier Corps...sisi tuka simplfy Kariakoo
 
Buguruni,tandale,kijitonyama,masaki,magogoni,kigamboni,vingunguti,jet,kipawa
 
Back
Top Bottom