Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Asante sanaMasahihisho: KOLOMIJE
Kuna mzungu alikuwa anaitwa JONATHAN, siyo JAMES. Alikuwa na kisima Cha maji Sasa wasukuma walishindwa kumwomba maji sababu hawawezi kutamka Jonathan, hii nadhani Hadi leo hawawezi . Mzungu akawarahisishia kwamba call me J.
Ni kwa kumbukumbu ya Hussein Shekilango, aliyefariki kw ajali ya ndege mwishoni mwa miaka ya 70. Alikuwa ama waziri au msaidizi wa Nyerere miaka hiyo.Shekilango-- Sheikh Kilango
Check railCarrier corps
Check Train.
Tosamaganga, tupa maweVipi kuhusu
1.Bukoba
2.Biharamulo
3.Ludewa
4.Wanging'ombe
5.Nkasi
6.Tosamaganga
7.Ifunda
8.Makambako
9.Dar eS salaam
10.Mikumi
11.Morogoro
12.Butimba
13.Butiama
14.Katoro
15 Buseresere
16.Arusha
17.Mtwara
18.N.k...
Kwa kibantu maana yake zipo tofauti sana tu.1.Mlonganzila-Dar
2.Iloganzala- Mwanza.
Nini historia ya maeneo haya? Maana naona ni bantu words zinazoelekea kuwa na maana moja.
Michembe na matobholwa ni tofauti mzee.Godima kuna Baridi hatari aisee
Pia jina jingine la Matobolwa ni michembe wasukuma na wanyamwezi wananielewa vyema
[emoji16][emoji16]hapo wenyeji wanapaita Igodima sio godimaGodima kuna Baridi hatari aisee
Pia jina jingine la Matobolwa ni michembe wasukuma na wanyamwezi wananielewa vyema
1.Mlonganzila-Dar
2.Iloganzala- Mwanza.
Nini historia ya maeneo haya? Maana naona ni bantu words zinazoelekea kuwa na maana moja.