Asili na Maana ya Jina/majina ya sehemu mbalimbali Tanzania

Asili na Maana ya Jina/majina ya sehemu mbalimbali Tanzania

Nchi haina maendeleo kwa sababu ya haya majina mabaya mabaya. Majina ya sehemu uchangia Sana maendeleo ya sehemu husika. Kwa nini tusiite maeneo yetu kama Eton, Yorkshire, plywood, montenegro, Barker street, midlands, oxfordshire greenvalley etc. Tulipojitahidi ni Oyster Bay na si unaona ulivyopangika na kupendeza na ni heavily affluent gated neighborhood.
Osterbay wazungu wenyewe waliipa jina

Victoria nayo jina lilitokana sababu qeen Victoria wa uingereza alikaa pale

Morocco,kuna mkutano wa wanawake ulifanyika huko waliporudi tanzania walipewa eneo wakaliita moroco

Magomeni mapipa,nyumba zamani pale ziliizekwa kwa mapipa na magome

Sinza lions zamani huko kulikuwaga na simba mnyama

Mikocheni,.maaeneo hayo kulikuwa na miti ya mikochikochi

Ova
 
Nchi haina maendeleo kwa sababu ya haya majina mabaya mabaya. Majina ya sehemu uchangia Sana maendeleo ya sehemu husika. Kwa nini tusiite maeneo yetu kama Eton, Yorkshire, plywood, montenegro, Barker street, midlands, oxfordshire greenvalley etc. Tulipojitahidi ni Oyster Bay na si unaona ulivyopangika na kupendeza na ni heavily affluent gated neighborhood.
Uzungu ndio uzuri?
 
MIKINDANI
Soko la watumwa wanunuzi walikuwa wakichagua na akimuona anafaa anaseme MUWEKE NDANI

LUKULEDI
Wanawake walikuwa wakioga mtoni na Mara nyingi wazungu wakipita walikuwa wakisema LOOK LADIES
Mkindani asil ya neno ni miti ya Mikinda iliykuwa kwa wingi eneo lile,au ilitokana na wabara walikua wakija kwa wakaa ndan wapwan
 
Nchi haina maendeleo kwa sababu ya haya majina mabaya mabaya. Majina ya sehemu uchangia Sana maendeleo ya sehemu husika. Kwa nini tusiite maeneo yetu kama Eton, Yorkshire, plywood, montenegro, Barker street, midlands, oxfordshire greenvalley etc. Tulipojitahidi ni Oyster Bay na si unaona ulivyopangika na kupendeza na ni heavily affluent gated neighborhood.
sio sahih.kule oyster bay kihisotlria ni European quarter upanga na kishuka chin indian quarter kumalizia magomen swahili quarter.
 
MIKINDANI
Soko la watumwa wanunuzi walikuwa wakichagua na akimuona anafaa anaseme MUWEKE NDANI

LUKULEDI
Wanawake walikuwa wakioga mtoni na Mara nyingi wazungu wakipita walikuwa wakisema LOOK LADIES
Wanunuzi walikuwa wanaongea KISWAHILI?
 
BUGURUNI MALAPA
MALAPA alikuwa MZEE ALWATAN wa eneo hilo na alikuwa Maarufu kwa kufuga Majoka
 
Mpwapwa kuna sehemu inaitwa VING'AWE yakiwa ni Matamshi ya Wenyeji kutaja Makazi ya Wazungu ya Kilima kimojawapo VIEW HIGH
 
VIWANJA SITINI - Ifakara
Eneo hili palifanyika Mradi wa kupima Viwanja vya Makazi
 
Kwenye MAPINDUZI CUP ile Timu ya kuitwa MELI 4 CITY asili yake ni Matamshi ya Maneno MAILI NNE ambako ndo inakotoka ile Timu kn vile useme MAILI MOJA - KIBAHA
 
Wanunuzi walikuwa wanaongea KISWAHILI?
Waarabu walikuwa wanatumia Maneno machache ya kiswahili ambayo kwao wangeweza kuelewana na wenyeji na Neno Hilo badala ya mweke ndani walatamka Miki ndani
 
Manzese Argentina
Kinondoni Moscow
Sinza Palestina

Hapo kinondoni Moscow nilikaa co poa ugomvi ishu za madawa vibaka
Hzo sehem nyingine sijajua
 
Mabaharia zamani waliasisi majina mengi ya maeneo

Ova
 
Manzese Argentina
Kinondoni Moscow
Sinza Palestina

Hapo kinondoni Moscow nilikaa co poa ugomvi ishu za madawa vibaka
Hzo sehem nyingine sijajua
sinza hapo kuna hadi hospitali ya palestina ngoja walokula chumvi nyingi kama mimi waje
 
Back
Top Bottom