Yohana Kilimba
JF-Expert Member
- Dec 25, 2012
- 8,105
- 5,629
MAANA ASILI YA JINA - “SINGIDA”
Mkoa wa Singida unapata jina
lake hilo kutoka katika jamii ya
Kabila la Wanyaturu –
“Masingida” ikimaanisha Urembo
asilia wa heleni unaotengenezwa
kutokana na zao la miti ya
mapori au misitu ambao
huvaliwa masikioni na vile vile
hutengenezwa na Wanyaturu
ambao ni moja ya jamii ya
Mkoa wa Singida unapata jina
lake hilo kutoka katika jamii ya
Kabila la Wanyaturu –
“Masingida” ikimaanisha Urembo
asilia wa heleni unaotengenezwa
kutokana na zao la miti ya
mapori au misitu ambao
huvaliwa masikioni na vile vile
hutengenezwa na Wanyaturu
ambao ni moja ya jamii ya