Asili ya jina Tanzania na mwasisi wake: Mohammed Iqbal Dar

Asili ya jina Tanzania na mwasisi wake: Mohammed Iqbal Dar

Mohamed Igbar aliasisi jina la Tanzania wakati akiwa mwanafunzi Tabora Secondary baada ya Serikali ya wakati huo baada ya muungano kutangaza kwenye magazeti kutaka wananchi wapendekeze jina na yeye kuibuka kidedea.




Taarifa mkanganganyiko..

Umesema alisoma tabora.

Raisi kikwete alisema alikuwa anasoma morogoro pale forest hill nadhan ilikuwa na jina lingine kipindi hicho cha muungano.



Yupi ni sahihi.??

Kuna haja ya kuandikwa upya historia nzima ya nchi hii kuanzia kipindi cha ukoloni , harakati za uhuru, muungano na baada ya hapo.
 
Huyu Iqbal mbona ajatajwa na Rais wa Gerezani Ustadhi Mohamed Said au kwasababu si mkaazi wa Kariakoo.
 
Last edited by a moderator:
Huyu Iqbal mbona ajatajwa na Rais wa Gerezani Ustadhi Mohamed Said au kwasababu si mkaazi wa Kariakoo.

Alitakiwa atajwe kwenye nini mkuu
Niweke sawa hapo
Na gerezani kunarais au ni rais kama wale wa bongo fleva na ngwasuma?
 
Last edited by a moderator:
Rais amesema amesoma Agakhan Morogoro na kiwa huko ndiko alipotunga jina hili....Tanzania, sasa AghaKhan ni Forest Sec ya Morogoro
 
Rais amesema amesoma Agakhan Morogoro na kiwa huko ndiko alipotunga jina hili....Tanzania, sasa AghaKhan ni Forest Sec ya Morogoro

Hivi ezi hizo Patel alikuwa pale forest kweli mkuu?
Hahaha..au alikuwa mwanafunzi na yeye
 
Mkuu sijui kwa nini mtu mweupe akitoka hapa na stori zake basi huwa tunamkejeli lakini sisi kwa sisi waswahili na njaa zikitubana tuna kwenda kwao kuwomba msaada iwe wa msikiti iwe wa madarasa na majamvi au ndo msemo baniani mbaya kiatu chake dawa
 
Hilo jina nimefanya nimkumbe my nephew jina lake kama hilo.....

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Mie nilimfahamu majuzi pale raisi jk alipokuwa anahutubia vijana .

Kinachonishangaza historia ya nchi hii kufichwa hadi wakuu wakiamua kuitoa.

Kuna umuhimu wa kuandikwa upya historia ya nchi hii, watu waliohusika na iwekwe kwenye mitaala ya masomo ili watoto wafundishwe mashuleni itasaidia sana uzalendo kuwepo pia watu kuipenda nchi yao.

Ilishaletwa humu JF watu wakabisha sana kama kawaida yao.
 
Halikwepeki hilo, kama ndivyo fikra zako zinavyokutuma:

Jina Dar Es Salaam, limetoka ndani ya Qur'an.

Hapo sasa!

Watabisha tu wee subiria mie nawatafsiria neno dar in arabic ni nyumba sawa na na neno bayt

Dar es salaam meaning adobe of peace

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Racial bigots mpo? "Sultani" amebatiza nchi.

Nashangaa tz wanavosema hakuna ubaguzi wa rangi uongo mtupu.....afadhal wahindi tunawajua kuwa wabuguzi wazi wazi kuliko sie tuno pretend

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Halikwepeki hilo, kama ndivyo fikra zako zinavyokutuma:

Jina Dar Es Salaam, limetoka ndani ya Qur'an 10:25

Hapo sasa!

Surat yunus 10:25

"Wallahu yad'u ilaa dar salaam wayahdi man yashau ila siratwi mustaqeemi"

Tafsiri

And Allah invites to the home of peace and guides whom he wills to a straight path

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
hata siku moja siku wahi kuona ktk maandishi ya Mohamed Said akimtaja au kumzungumzia.nahisi huyu sio muislamu wa madhehebu ya sunni na wezee wake hawakuwa wazawa wa mzizima/gerezani kkoo.

Kwani sunni wanakuaje kadoda?

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
hata siku moja siku wahi kuona ktk maandishi ya Mohamed Said akimtaja au kumzungumzia.nahisi huyu sio muislamu wa madhehebu ya sunni na wezee wake hawakuwa wazawa wa mzizima/gerezani kkoo.

angekuwa wa gerzani huyu!?
 
Last edited by a moderator:
Alitakiwa kutajwa katika kitabu cha kichochezi "Histohisia" kilichobuniwa na kuandikwa na Ustadhi Mohamed Said Rais wa Kariako anayemini uhuru wa Tanganyika ulifanikishwa na wazee wake wa Kariako tu watanganyika wa sehemu nyingine hawakuwa na mchango wa maana.Ustadhi Mohamed anaamini Mwl Nyerere alifundishwa siasa na wazee wake wakimbizi toka South Afrika waliokuwa wakiishi Kariakoo.

Alitakiwa atajwe kwenye nini mkuu
Niweke sawa hapo
Na gerezani kunarais au ni rais kama wale wa bongo fleva na ngwasuma?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom