Asili ya jina Tanzania na mwasisi wake: Mohammed Iqbal Dar

Asili ya jina Tanzania na mwasisi wake: Mohammed Iqbal Dar

Wana Jamiiforums,,binafsi naamini jambo lolote kubwa lina sababu.Na kama lina sababu basi nyuma yake kuna mwazilishi wa wazo hilo.

Napenda kujua,,Baada ya Mwl Nyerere kutangaza nia ya kuunganisha visiwa vya Zanzibar na Tanganyika,,je nani alikuja na jina la "TANZANIA"? Je,ni Nyerere mwenyewe? Kama si yeye,ni nani? Aliishi mkoa gani? Kama ni wengi, Nani walikuwa kwenye kamati ya mchujo? JE, wako wapi hadi sasa?

Nikiwa mwananchi wa nchi hii nitafuraji kujua,mengi kuhusu Taifa langu kutoka kwa yeyote mwenye uelewa.
ASANTENI


#####
ASANTENI @MODERATORS kuniunganisha katika jibu ambalo nimelitafuta kwa miaka mingi..ASANTENI SANA tena sana.Leo nakiri wazi JAMIIFORUMS ni kisiwa cha maarifa.
Nitaendelea kushawishi wengine wajiunge na JF..japo nimeshafanya hivyo kwa 3,,ila kama shukrani zangu I promise so!
=
 
Ahsante kwa kutujuza. Na endelea kusoma vitabu upate maarifa zaidi.

Hongera


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Mohamed atakuwa hamfahamu huyu angempigania nae aingie kwenye vitabu vya historia ya Tanganyika.
 
watanzania kwa kupendwa kukumbukwa (kuwekwa katika vitabu vya historia) hatujambo! alifanya jambo kubwa na zuri but bado halijafikiwa kiwango cha kukumbukwa na kuwekwa kwenye vitabu vya historia, kama huyu akikumbubwa waliotunga "Mungu ibariki Afrika", "Tanzania Nakupenda kwa moyo wangu wote" "Nikitazama ramani" na wao watataka tuwakumbuke, aliyependekeza kiswahili kiwe lugha ya taifa naye atataka akumbukwe, aliyepependekeza makao makuu ya nchi iwe Dodoma naye atataka akumbukwe, aliyependekeza majina ya kanda naye pia na wengine wengi wengi wengi wengi tu!
nadhan utaratibu wa sasa ni mzuri sana na ndo unaotumika dunian kote, utaratibu wa kuwakumbuka watu wachache saaaana walioitendea nchi mambo ambayo si rahisi mtu kuyatenda lakini si haya ya kutunga jina au wimbo kitu ambacho hata mtoto wa darasa la tatu anaweza kufanya!
 
attachment.php
 

Attachments

  • ImageUploadedByJamiiForums1398760529.286034.jpg
    ImageUploadedByJamiiForums1398760529.286034.jpg
    27.5 KB · Views: 2,103
Mie nilimfahamu majuzi pale raisi jk alipokuwa anahutubia vijana .

Kinachonishangaza historia ya nchi hii kufichwa hadi wakuu wakiamua kuitoa.

Kuna umuhimu wa kuandikwa upya historia ya nchi hii, watu waliohusika na iwekwe kwenye mitaala ya masomo ili watoto wafundishwe mashuleni itasaidia sana uzalendo kuwepo pia watu kuipenda nchi yao.
 
Mie nilimfahamu majuzi pale raisi jk alipokuwa anahutubia vijana .

Kinachonishangaza historia ya nchi hii kufichwa hadi wakuu wakiamua kuitoa.

Kuna umuhimu wa kuandikwa upya historia ya nchi hii, watu waliohusika na iwekwe kwenye mitaala ya masomo ili watoto wafundishwe mashuleni itasaidia sana uzalendo kuwepo pia watu kuipenda nchi yao.

kweli kuna mengi ya kuongeza katika somo la historia kama vile ushiriki wa Tanzania katika ukombozi wa taifa letu! Mimi pia sik uwahi kujua kama tuliwahi kumpa hifadhi Mandela wakati akipambana na makaburu pamoja na kuwa train wapiganaji wao
 
Mie nilimfahamu majuzi pale raisi jk alipokuwa anahutubia vijana .

Kinachonishangaza historia ya nchi hii kufichwa hadi wakuu wakiamua kuitoa.

Kuna umuhimu wa kuandikwa upya historia ya nchi hii, watu waliohusika na iwekwe kwenye mitaala ya masomo ili watoto wafundishwe mashuleni itasaidia sana uzalendo kuwepo pia watu kuipenda nchi yao.

Tumebakia kusoma historia za wezi na mafisadi watu wa maana tunawasahau hii nchi ya ajabu sana ndio maana watu wanaikimbia
 
masultani haohao tuliowafurusha then watutungie jina la nchi!!??? majanga!
 
Na yeye ni Mtanzania? Does it matter, anyway?:A S confused:
 

Mtunzi na Mwasisi wa Jina la Tanzania, Bw Mohamedi Igba (kushoto) akizungumza na Mwandishi wa Mtandao huu ambae pia ni Mwenyekiti wa Klabu ya Waandishi wa Habari mkoa wa Lindi Abdulaziz Ahmeid mara baada ya uzinduzi wa msikiti wa madhehebu ya Ahmadiya mjini Lindi ambapo Igbar ndiye alikuwa mratibu mkuu na kufanikisha kukusanya Tsh 50Millioni. Mohamed Igbar aliasisi jina la Tanzania wakati akiwa mwanafunzi Tabora Secondary baada ya Serikali ya wakati huo baada ya muungano kutangaza kwenye magazeti kutaka wananchi wapendekeze jina na yeye kuibuka kidedea.

<tbody>
</tbody>
 
hata siku moja siku wahi kuona ktk maandishi ya Mohamed Said akimtaja au kumzungumzia.nahisi huyu sio muislamu wa madhehebu ya sunni na wezee wake hawakuwa wazawa wa mzizima/gerezani kkoo.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom