Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unakataa nini wakati jibu huna? ndio yale Allah Yupo ukiuliza wapi hajui
Kwetu Ehiopia Hatujawahi Tawalaiwa wala Kutumwa... na tumekuja kuendup Germany East Africa Utumwa ushaisha...Si unaona ulivyo punguani. Unashindwa kuelewa shikamoo utaelewa mengine?
Mimi nnakwambia maana ya shikamoo nnaijuwa na haihusiani na utumwa hata chembe.
Huo utumwa ulikuwa kwenu tu?
Kwetu Ehiopia Hatujawahi Tawalaiwa wala Kutumwa... na tumekuja kuendup Germany East Africa Utumwa ushaisha...
Acha Kujishebendua weka Maana uijuayo hapa na sio Porojo
Hili ni jukumu la wizara ya Utamaduni, bahati mbaya wapo wapo tu kupanga bajeti na kutayarisha majibu ya maswali bungeni.MwanaFalsafa1 said: ↑
Nakubaliana wewe kwa 100% kwa sababu maana ya shikamoo haijabadilika Ni ile ile ya "niko chini ya miguu yako", lazima tuukubali ukweli kuwa shikamoo haina maana yoyote ya kiheshima.
Habari za saizi, kwe kwe kwe tunajadili na mambo yasiopunguza wala kuongeza kituTukishaitoa hiyo shikamoo,
Je tutakua tunawasalimia vipi wakubwa waliotuzidi umri?
Mkuu, umenikuna mno kuona una ufaham wa historia lakini umenifedhehesha sana kutoelewa maana halisi ya neno 'shikamoo'. Ninavojua mie neno hili ni la Kireno na lilitumiwa na hao jamaa wakati wa mapito yao nchi mwetu kwa kutoa msamaha kwa wazee wetu kwa makosa waliyotendewa kama adhabu. Kwa mfano mtoto wako (samahani kama unae) akikukosea badala ya kumuadhibu mathalan kwa kiboko au kupiga magoti basi unamwambia 'shikamoo' yaani akuguse unyayo wako wa mguu ili umsamehe. Sasa ajabu ni pale baba au mama anapomlazimisha mtoto atamke neno hilo kwa maana ya mtoto kumwambia baba au mama yake amshike unyayo wa mguu ili amsamehe. Neno 'marhaba' ni la kiarabu.Hata ardhi hii ya leo unayoiita Tanganyika iliwahi kuwa himaya ya Habash aka Ethiopia.
Kumbuka hilo kijana.
Shikamoo ni heshima tu, hakuna zaidi.
Utumwa ni ule wa wanawake kuwapigia magoti wanaume wanaposalimiana. Mpaka leo hii upo hata hapa kwetu.
Mbona salaam zipo nyingi tu mkuu? Habari ya asubuhi, habari ya mchana, umeamkaje n.k. Kwa hili ni mdogo kutangulia kumsalimu mkubwa.Tukishaitoa hiyo shikamoo,
Je tutakua tunawasalimia vipi wakubwa waliotuzidi umri?
Aah huo mtihani,Mbona salaam zipo nyingi tu mkuu? Habari ya asubuhi, habari ya mchana, umeamkaje n.k. Kwa hili ni mdogo kutangulia kumsalimu mkubwa.
Mkuu, hapo 'bolded' sikubaliani nawe asilan. Tunapaswa tuwe makini kwa kila jambo.Aah huo mtihani,
Bora wengine tushawazoesha 'Asalaam aleykum' yatosha,
Ila mswahili umwambie habari ya asubuhi bila shikamoo atakuelewa kweli?
Bora tuendelee tu,
Hatudhuriki kitu.
Kwani hasa unachokereka kwenye 'shikamoo' ni nini?Mkuu, hapo 'bolded' sikubaliani nawe asilan. Tunapaswa tuwe makini kwa kila jambo.
Ni vizuri wataalamu watueleze kuhusu hii salamu hasa wale wa zamaniSalamu ya 'kimwinyi' hii,historia yake inakanganya kidogo.
na huo ndo ukweli mkuu ni salamu ya kimwinyi hiyoNakumbuka marehemu baba 'angu mkubwa aliwahi kunidokeza historia ya hii salamu lakini akili yangu iligoma kukubaliana nae.Aliniambia kwamba SHIKAMOO maana yake NIKO CHINI YA MIGUU YAKO.Ni salamu ya kumsalimia mfalme kipindi hicho.Mfalme atajibu MARAHABA akimaanisha ENDELEA KUWA HIVYO HIVYO;kwa maana aendelee kuwa dhalili mbele yake.Na akanieleza kuwa hii ni kwa sababu wafalme kipindi hicho walijiona kama Mungu kwa hiyo walijiona ni wa hadhi ya pekee.Hatimaye utamaduni huu 'wa hovyo' ukarithiwa na jamii zetu mpaka leo.
Maana siku izi ukitaka watu waseme huna nidhamu baasi pita bila kusalimia....na huo ndo ukweli mkuu ni salamu ya kimwinyi hiyo
Umenitoa tongotongo leo...sikujua iyo kituna huo ndo ukweli mkuu ni salamu ya kimwinyi hiyo