Huyo Yesu tunampata wapi?
Ikiwa Mapadre Ela za Sadaka, Wahisan/Wafadhili zinaliwa.
Fedha za kulea Mayatima zinaliwa, waumin wa makanisan nao wanakula Pombe, Zinaaa, wanapiga dilu za ela.
Na hivi sasa kumeibuka wanaojiita Manabii wa uwongk ambak wanapiga Ela halafu wanatembea.
Mmh! Mambo ya Iman Magum sana aisee...