Asili ya Waislamu wa Masama, Hai Kilimanjaro ni wapi?

Asili ya Waislamu wa Masama, Hai Kilimanjaro ni wapi?

Tembosa

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2013
Posts
4,487
Reaction score
3,978
Wakuu, Kwa wale wanaoifahamu Jiografia ya Mkoa wa Kilimanjaro,

Huu mkoa umekaliwa sana na Wapare (maeneo ya Same na Mwanga), Wamasai kidogo na Wachaga kwa wingi, takribani kwa wilaya nyingine zinazobakia. i mean Hai, Moshi Mji, Moshi (V), Siha na Rombo.

Kunasehemu moja inaitwa Masama iko wilaya ya Hai, hili eneo limekaliwa na Waislamu kadhaa tena wale wenye misimamo ya wastani. ni nini asili yao?

Sababu ya kutaka kujua, ni nzuri tu coz hawa wako sarrounded na Wachaga wakristo with no impact on their presence.

Hata kisiasa ni watu wapenda mabadiliko.

Ni chimbuko la kina Former I GP Said Mwema.

Na pamoja na hayo, Kwa pale mjini(Hai) ni sehemu yenye misikiti mingi tu, dhana ya udini Kazkazini kwa sasa haiko tena.

Nawasilisha
 
ni kweli mkuu, ila hawa jamaa kidogo wanatofautiana na Waislamu wa kanda nyingine.
in term of life aspects..

Waislam sehemu yeyote ile wanatofautiana, wapo wale wenye hawana time na dini yao (hawa safi sana hawa) wapo wenye msimamo wa wastani na pia wapo extremists (hawa ndio balaa).
 
kwani asili ya wakristo wa hayo maeneo unaijua.?

asili ya wakristo Tanzania ni wamisionari na asili ya waislamu Tanzania ni wafanyabiashara wa kiarabu that's it.

hili wala halihitaji degree kulijuwa. wamisionari walijenga makanisa shule na hospital wakati wasrabu walijenga misikiti peke yake afya na elimu haikuwa kipaumbele chao.

results zake ndio zinareflect mpaka leo.
 
Ni vita gani ilipiganwa kati ya waarabu na wenyeji watanganyka au wazanzibar? Mm najua ni vita kati ya wajerumani/waingereza na wananch tu. Iwapo hawa wajeruman au waingereza unawasifia et kwa kuleta hosp iweje walipata upinzani mkubwa kuliko waarabu?
 
asili ya wakristo Tanzania ni wamisionari na asili ya waislamu Tanzania ni wafanyabiashara wa kiarabu that's it.

hili wala halihitaji degree kulijuwa. wamisionari walijenga makanisa shule na hospital wakati wasrabu walijenga misikiti peke yake afya na elimu haikuwa kipaumbele chao.

results zake ndio zinareflect mpaka leo.
Matola,
uislamu uliutangulia ukiristo humu tz kwa miaka kama 700. Kwa maana hiyo suala la waislamu wa Masama halina tatizo kama vile baadhi ya waarabu walivyojiunga na Mkwawa kupigana na wajerumani, na hilo ndilo jibu kuwa iweje waarabu unaotanguliza kuwa walishika halaiki utumwa hawakuwa na vita na WENYEJI? Badala yake tunakuta kina Mirambo, Mkwawa, Sina nk wanapigana sio na waarabi bali na Wazungu waliojenga Shule na Hospitali? Ina maana Mkwawa hakutaka Mashule? Ina maana wajerumani walimnyonga Mangi Sina kwa kukataa mashule? Mbona wakati wazungu wanafika walikuta mwambao wote unatumia herufi za kiarabu kuwasiliana kiswahili (hadi machifu wa sambaani kina Kimweri)? Hawa wazee walikuwa wanajua kusoma!!!!! na kuandika

Amini kuwa hao "waliovumbua" Mlima Kilimanjaro walielekezwa mlima ulipo na waarabu wa zanzibar kwa vile maeneo haya yalikuwa na miji yao ya biashara kwa zaidi 500 years

Kisha nakuachia swali. Afrika magharibi kulifanyika biashara kubwa sana ya utumwa (kirasmi inaitwa West Africa Slave Trade). Huku Afrika Masharika pia pakawa na biashara kama hiyo (hii inaitwa East Africa ARAB slave trade). Do you have any idea kwa nini ile ya Africa magharibi hamna neno "European" ila hii ya huku kwetu ni muhimu kuwa na neno Arab?

TAFAKARI!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Ni vita gani ilipiganwa kati ya waarabu na wenyeji watanganyka au wazanzibar? Mm najua ni vita kati ya wajerumani/waingereza na wananch tu. Iwapo hawa wajeruman au waingereza unawasifia et kwa kuleta hosp iweje walipata upinzani mkubwa kuliko waarabu?

Wakati H.M Stanley anakuja Tanganyika alimkuta Mirambo anapigana na nani!?? ilikuaje akamwita Mirambo The Napoleon of central Africa.!??
 
uislam ulienezwa na waarabu ndo maana kuna shule kama kibohehe pia mudio zilijengwa maeneo hayo
 
Ni vita gani ilipiganwa kati ya waarabu na wenyeji watanganyka au wazanzibar? Mm najua ni vita kati ya wajerumani/waingereza na wananch tu. Iwapo hawa wajeruman au waingereza unawasifia et kwa kuleta hosp iweje walipata upinzani mkubwa kuliko waarabu?

You have made my day!
 
Ni vita gani ilipiganwa kati ya waarabu na wenyeji watanganyka au wazanzibar? Mm najua ni vita kati ya wajerumani/waingereza na wananch tu. Iwapo hawa wajeruman au waingereza unawasifia et kwa kuleta hosp iweje walipata upinzani mkubwa kuliko waarabu?

means za kiutawala ndiyo zilizoleta vita.
mwarabu alifikia Pwani, ambako wakazi wake wengi
walikuwa less developed, isitoshe hata lengo lake hapa halikuwa domination tofauti ma lengo la mjerumani. ndiyo maana hakupata resistance kali.

mwarabu alikuwa anafanya biashara ya utumwa, iliyowanufaisha hadi machifu, like wise kwa mwingereza, hakupata upinzani mkali ndani ya Tanganyika kwa sababu ya aina ya uongozi wake. (indirect rule system).
 
matola,
uislamu uliutangulia ukiristo humu tz kwa miaka kama 700. Kwa maana hiyo suala la waislamu wa masama halina tatizo kama vile baadhi ya waarabu walivyojiunga na mkwawa kupigana na wajerumani, na hilo ndilo jibu kuwa iweje waarabu unaotanguliza kuwa walishika halaiki utumwa hawakuwa na vita na wenyeji? Badala yake tunakuta kina mirambo, mkwawa, sina nk wanapigana sio na waarabi bali na wazungu waliojenga shule na hospitali? Ina maana mkwawa hakutaka mashule? Ina maana wajerumani walimnyonga mangi sina kwa kukataa mashule? Mbona wakati wazungu wanafika walikuta mwambao wote unatumia herufi za kiarabu kuwasiliana kiswahili (hadi machifu wa sambaani kina kimweri)? Hawa wazee walikuwa wanajua kusoma!!!!! Na kuandika

amini kuwa hao "waliovumbua" mlima kilimanjaro walielekezwa mlima ulipo na waarabu wa zanzibar kwa vile maeneo haya yalikuwa na miji yao ya biashara kwa zaidi 500 years

kisha nakuachia swali. Afrika magharibi kulifanyika biashara kubwa sana ya utumwa (kirasmi inaitwa west africa slave trade). Huku afrika masharika pia pakawa na biashara kama hiyo (hii inaitwa east africa arab slave trade). Do you have any idea kwa nini ile ya africa magharibi hamna neno "european" ila hii ya huku kwetu ni muhimu kuwa na neno arab?

Tafakari!!!!!

mkuu nimeipenda hii.ngoja na mimi ntafanya uchunguzi wangu
 
Last edited by a moderator:
Matola,
uislamu uliutangulia ukiristo humu tz kwa miaka kama 700. Kwa maana hiyo suala la waislamu wa Masama halina tatizo kama vile baadhi ya waarabu walivyojiunga na Mkwawa kupigana na wajerumani, na hilo ndilo jibu kuwa iweje waarabu unaotanguliza kuwa walishika halaiki utumwa hawakuwa na vita na WENYEJI? Badala yake tunakuta kina Mirambo, Mkwawa, Sina nk wanapigana sio na waarabi bali na Wazungu waliojenga Shule na Hospitali? Ina maana Mkwawa hakutaka Mashule? Ina maana wajerumani walimnyonga Mangi Sina kwa kukataa mashule? Mbona wakati wazungu wanafika walikuta mwambao wote unatumia herufi za kiarabu kuwasiliana kiswahili (hadi machifu wa sambaani kina Kimweri)? Hawa wazee walikuwa wanajua kusoma!!!!! na kuandika

Amini kuwa hao "waliovumbua" Mlima Kilimanjaro walielekezwa mlima ulipo na waarabu wa zanzibar kwa vile maeneo haya yalikuwa na miji yao ya biashara kwa zaidi 500 years

Kisha nakuachia swali. Afrika magharibi kulifanyika biashara kubwa sana ya utumwa (kirasmi inaitwa West Africa Slave Trade). Huku Afrika Masharika pia pakawa na biashara kama hiyo (hii inaitwa East Africa ARAB slave trade). Do you have any idea kwa nini ile ya Africa magharibi hamna neno "European" ila hii ya huku kwetu ni muhimu kuwa na neno Arab?

TAFAKARI!!!!!

kama Mungu akinijalia nitawaletea jbu mida flan. niliwah kumuuliza babu yangu swali hilo
 
Last edited by a moderator:
Waarabu hawakuwa wajinga kama watu wengine mnavyolazimisha watu tuamini. walikuja na taratibu mzuri tu za maisha ambazo zilikubalika na watanganyika au wazanzbar. mji wa kilwa ulikuwa na hela yake miaka hiyo kabla hata wamisionar hawajaja. hao wamisionari ndo walokuja kunyonya nchi hii kwa kusafirisha kila kitu kwenda ulaya. Watu msituaminishe et wamisionari walileta neema nchi hii, ni uwongo kabisa kwani hawa ndo waliowavuruga watanganyka. hata nyerere alipopewa package ya uhuru alipewa mashart ya kuulea umisionari na hata pale alipojifanya kutaifisha shule zao ilikuwa kiini macho tu kwa waislam na ndo maana leo tunashuhudia kurudishwa kwa shule za wamisionari. Acheni kuwasema vbaya waarab au uislamu.
 
Waarabu hawakuwa wajinga kama watu wengine mnavyolazimisha watu tuamini. walikuja na taratibu mzuri tu za maisha ambazo zilikubalika na watanganyika au wazanzbar. mji wa kilwa ulikuwa na hela yake miaka hiyo kabla hata wamisionar hawajaja. hao wamisionari ndo walokuja kunyonya nchi hii kwa kusafirisha kila kitu kwenda ulaya. Watu msituaminishe et wamisionari walileta neema nchi hii, ni uwongo kabisa kwani hawa ndo waliowavuruga watanganyka. hata nyerere alipopewa package ya uhuru alipewa mashart ya kuulea umisionari na hata pale alipojifanya kutaifisha shule zao ilikuwa kiini macho tu kwa waislam na ndo maana leo tunashuhudia kurudishwa kwa shule za wamisionari. Acheni kuwasema vbaya waarab au uislamu.
huyu baadaye mtoto wake atakuja kutuambia tusimseme vibaya osama bin laden.

acha kuishi kwa hisia na kuwa mtumwa wa dini na soma historia na kama wewe ni mvivu wa kusoma tembelea historical site na nenda Zanzibar upewe khabari za hawa waarabu halafu ndio urudi hapa kuwasifu waarabu.

unajuwa ni kwa nini Zanzibar hawataki kumsikia kabisa sultan jemshid? je wewe unavyopenda kuwa mwarabu si ungempa mkeo kabisa?
 
Back
Top Bottom