Asili ya Waislamu wa Masama, Hai Kilimanjaro ni wapi?

Asili ya Waislamu wa Masama, Hai Kilimanjaro ni wapi?

Uislam na waislam utaukuta na utawakuta popote duniani hata ndani ya Vatican.
Kimsingi mtoto akizaliwa huzaliwa ktk maumbile ya asili ya uislam(fitra) ambayo yameelezwa vyema ndani ya Qur'an kuanzia
tendo la ndoa,mchupo wa manii,pande la nyama,kupuliziwa roho,miezi 9 tumboni.mpaka kuzaliwa.
Kwakua mtoto huzaliwa akiwa muislam kamili ndo maana wakristo hujaribu kuleta dhana ya UBATIZO eti kujaribu kumvua mtoto uislam wake.

uongo wa wazi huu.
 
[/quote ]

Sema hawa wako tofauti sana na waislamu wengine ndani ya Tanzania hii, they are well developed and educated compared to those of other areas in Tanzania.

yaleyale!! umeshajijibu mwenyewe, marangu kilema msikiti uko wapi?[/QUOTE]

sijasema juu ya Marangu Kilema.
 
Nimegundua kwa nini masikini wengi kwa dar wako manzese,dom wapo chang'ombe,arusha wapo unga,moshi wapo njoro,sgd wapo mitunduruni.
 
Nimegundua kwa nini masikini wengi kwa dar wako manzese,dom wapo chang'ombe,arusha wapo unga,moshi wapo njoro,sgd wapo mitunduruni.

hebu present huo ugunduzi wako mkuu.
unaweza usiwe sahihi pia.
 
Hii nchi itaendelea kuwa nzuri tukoendelea na mchanganyiko huu tulionao....hamna dini bora kuliko nyingine uislam ukristo wote ni utumwa wa fikra Mungu hajabinafsishwa
 
Uislam na waislam utaukuta na utawakuta popote duniani hata ndani ya Vatican.
Kimsingi mtoto akizaliwa huzaliwa ktk maumbile ya asili ya uislam(fitra) ambayo yameelezwa vyema ndani ya Qur'an kuanzia
tendo la ndoa,mchupo wa manii,pande la nyama,kupuliziwa roho,miezi 9 tumboni.mpaka kuzaliwa.
Kwakua mtoto huzaliwa akiwa muislam kamili ndo maana wakristo hujaribu kuleta dhana ya UBATIZO eti kujaribu kumvua mtoto uislam wake.

Du uongo haufai
 
Matola, unfortunately sifahamu vizuri uhusiano kati ya koo kwa koo (ukoo) hapo zamani za jamii ambazo leo hii collectively wanaitwa Wachaga! In short, Mangi Meli alikuwa dealer mzuri sana wa slave trade na tajiri yake alikuwa mwarabu mmoja aitwae Hassan! Target ya Mangi Meli likuwa Wapare ndio maana leo unakuta Uislamu kule Upareni! Hao Wachaga, ambao inakuwa very funny kusikia anaitwa "Abullatif Juma Massawe" inawezekana ni kutoka koo hasimu na ukoo wa Mangi Meli!
 
Last edited by a moderator:
Matola kama kuna sehemu Tanzania hii ninayoijua vizuri ni Marangu.
Wakati unaingia Marangu, ukifika Samanga kuna sehemu inaitwa Headquota Pana msikiti mkubwa tu pale.
Na kina Mongi wa maeneo yale ni Waislamu.
hata marehemu Amina Mongi, ni mzaliwa wa pale na alikuwa ni mwislamu.

Sema hawa wako tofauti sana na waislamu wengine ndani ya Tanzania hii, they are well developed and educated compared to those of other areas in Tanzania.
Mkuu Tembosa asante kwa hii, umenikumbusha Marehemu Amina Mongi, alikuwa mtu wa watu, nilihudhuria msiba ule!.
RIP Amina Mongi.
 
Hili Jukwaa lina watu wa hovyo sana! Yaani Mwislamu akiona Mwarabu anatajwa kwa mabaya anakuja juu utafikiri babake! Mkristo na yeye alivyo mtu wa hovyo, akitaka kuzungumzia biashara ya utumwa basi lazima amuhusishé Mwarabu na dini yake huku akisahau Trans-Antlantic Slave Trade ilifanywa na Wazungu Wakristo! Trust me, Christians and Moslems are the most insane communities ever happened in the world history! If I were God, I'd sink these two communities and start afresh!
 
Hili Jukwaa lina watu wa hovyo sana! Yaani Mwislamu akiona Mwarabu anatajwa kwa mabaya anakuja juu utafikiri babake! Mkristo na yeye alivyo mtu wa hovyo, akitaka kuzungumzia biashara ya utumwa basi lazima amuhusishé Mwarabu na dini yake huku akisahau Trans-Antlantic Slave Trade ilifanywa na Wazungu Wakristo! Trust me, Christians and Moslems are the most insane communities ever happened in the world history! If I were God, I'd sink these two communities and start afresh!

Kiranga followers..
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Tembosa asante kwa hii, umenikumbusha Marehemu Amina Mongi, alikuwa mtu wa watu, nilihudhuria msiba ule!.
RIP Amina Mongi.

Pasco kwani yule ndugu yake mwingine yuko wapi?
lastly alikuwa BBC. anaitwa Suzan Mongi.
 
Last edited by a moderator:
hili jukwaa lina watu wa hovyo sana! Yaani mwislamu akiona mwarabu anatajwa kwa mabaya anakuja juu utafikiri babake! Mkristo na yeye alivyo mtu wa hovyo, akitaka kuzungumzia biashara ya utumwa basi lazima amuhusishé mwarabu na dini yake huku akisahau trans-antlantic slave trade ilifanywa na wazungu wakristo! Trust me, christians and moslems are the most insane communities ever happened in the world history! If i were god, i'd sink these two communities and start afresh!

wewe mpagani..?
 
Waarabu hawakuwa wajinga kama watu wengine mnavyolazimisha watu tuamini. walikuja na taratibu mzuri tu za maisha WABAYA NI WABAYA UKWELI UTABAKI UKWELI.UNAMJUA ABUSHILI NA TIPUTIPU.KASOME.
 
Back
Top Bottom