Asili ya Waislamu wa Masama, Hai Kilimanjaro ni wapi?

Asili ya Waislamu wa Masama, Hai Kilimanjaro ni wapi?

Matola,
uislamu uliutangulia ukiristo humu tz kwa miaka kama 700. Kwa maana hiyo suala la waislamu wa Masama halina tatizo kama vile baadhi ya waarabu walivyojiunga na Mkwawa kupigana na wajerumani, na hilo ndilo jibu kuwa iweje waarabu unaotanguliza kuwa walishika halaiki utumwa hawakuwa na vita na WENYEJI? Badala yake tunakuta kina Mirambo, Mkwawa, Sina nk wanapigana sio na waarabi bali na Wazungu waliojenga Shule na Hospitali? Ina maana Mkwawa hakutaka Mashule? Ina maana wajerumani walimnyonga Mangi Sina kwa kukataa mashule? Mbona wakati wazungu wanafika walikuta mwambao wote unatumia herufi za kiarabu kuwasiliana kiswahili (hadi machifu wa sambaani kina Kimweri)? Hawa wazee walikuwa wanajua kusoma!!!!! na kuandika

Amini kuwa hao "waliovumbua" Mlima Kilimanjaro walielekezwa mlima ulipo na waarabu wa zanzibar kwa vile maeneo haya yalikuwa na miji yao ya biashara kwa zaidi 500 years

Kisha nakuachia swali. Afrika magharibi kulifanyika biashara kubwa sana ya utumwa (kirasmi inaitwa West Africa Slave Trade). Huku Afrika Masharika pia pakawa na biashara kama hiyo (hii inaitwa East Africa ARAB slave trade). Do you have any idea kwa nini ile ya Africa magharibi hamna neno "European" ila hii ya huku kwetu ni muhimu kuwa na neno Arab?

TAFAKARI!!!!!

Wickama
naomba utuwekee chapisho la kisomi lilipitishwa na taasisi zinazoheshimika kwa kuaprove machapisho ya kisomi kuliko kuanza kuleta ngano zisizo na mashiko yoyote. maandishi yako yamejaa porojo kama za Mohammed said.

cc; Mzee Mwanakijiji Pasco
 
Last edited by a moderator:
uchaga na uislam wala haiji... Haiji kabisaa..

inakuja mkuu, hapo Masama kuna wachaga wiaslamu na hata Bomang'ombe jimboni kwa Mh. Mbowe wamejenga Misikiti yakutosha.
 
kama unajua Marangu mtoni kuna jengo moja la mawe kwa upande wa kulia pale,wazee walituambia kuna mwarabu alikuja akajenga urafiki wao wa kunafiki na wananchi wa pale wakampa kiwanja,nia na makusudi kueneza dini,wakamshtukia wakamtoa mbio akatembea mbele jengo lipo mpaka leo,kwi kwi kwiii,
 
Ni vita gani ilipiganwa kati ya waarabu na wenyeji watanganyka au wazanzibar? Mm najua ni vita kati ya wajerumani/waingereza na wananch tu. Iwapo hawa wajeruman au waingereza unawasifia et kwa kuleta hosp iweje walipata upinzani mkubwa kuliko waarabu?

Soma kitabu cha Tip tipp ndo utajua mambo waliyokuwa wakifanya waarabu na mapigano yao na wenyeji, hakuna aliyeleta dini kwa amani pekee
 
kama unajua Marangu mtoni kuna jengo moja la mawe kwa upande wa kulia pale,wazee walituambia kuna mwarabu alikuja akajenga urafiki wao wa kunafiki na wananchi wa pale wakampa kiwanja,nia na makusudi kueneza dini,wakamshtukia wakamtoa mbio akatembea mbele jengo lipo mpaka leo,kwi kwi kwiii,

upande wa kulia ukitokea wapi?
au ndiyo huyo akahamia Masama?
 
inakuja mkuu, hapo Masama kuna wachaga wiaslamu na hata Bomang'ombe jimboni kwa Mh. Mbowe wamejenga Misikiti yakutosha.

wahamiaji hao, na ukichunguza vizuri, ni wa pwani ya tanga au mombasa,..
 
inakuja mkuu, hapo Masama kuna wachaga wiaslamu na hata Bomang'ombe jimboni kwa Mh. Mbowe wamejenga Misikiti yakutosha.

saa nyingine hapa ndugu ndio huwa kidogo mnapitiwa, misikiti yakutosha maana yake ni nini?

pale moshi maeneo ya rau kuna msikiti mkubwa lakini wanaswali waislamu 6 tu miaka nenda rudi, ndio maana kule angola misikiti imebomolewa si kwa sababu za kidini bali haina kazi na watu wanahitaji maeneo wayafanyie kazi.

kuna mijitu humu mivivu ya kufikiri iliyotawaliwa na dini huwa haina hata akili chache za kufikiri.

pale kariakoo mtaa wa uhuru kabla ya round about ya uhuru near rupia house kuna kanisa limeuzwa pale na walionunuwa ni waumini wa kiislamu na limegeuzwa kuwa mafremu ya maduka.

kiuchumi hii ni win win solution, kwanza pale hapakufaa tena kuendelea kuwa sehemu ya ibada maana imezungukwa na kelele za maduka ya simu pili eneo walilopata ni bora na kubwa maradufu na pesa nzuri tu ya kumalizia ukenzi ni kuweka miradi yao mingine.

huku ndio kufuata dini kwa akili na siyo kufungia akili kabatini.
 
saa nyingine hapa ndugu ndio huwa kidogo mnapitiwa, misikiti yakutosha maana yake ni nini?

Pale moshi maeneo ya rau kuna msikiti mkubwa lakini wanaswali waislamu 6 tu miaka nenda rudi, ndio maana kule angola misikiti imebomolewa si kwa sababu za kidini bali haina kazi na watu wanahitaji maeneo wayafanyie kazi.

Kuna mijitu humu mivivu ya kufikiri iliyotawaliwa na dini huwa haina hata akili chache za kufikiri.

Pale kariakoo mtaa wa uhuru kabla ya round about ya uhuru near rupia house kuna kanisa limeuzwa pale na walionunuwa ni waumini wa kiislamu na limegeuzwa kuwa mafremu ya maduka.

Kiuchumi hii ni win win solution, kwanza pale hapakufaa tena kuendelea kuwa sehemu ya ibada maana imezungukwa na kelele za maduka ya simu pili eneo walilopata ni bora na kubwa maradufu na pesa nzuri tu ya kumalizia ukenzi ni kuweka miradi yao mingine.

Huku ndio kufuata dini kwa akili na siyo kufungia akili kabatini.

umeandika kwa jazba,, haya rudi tena utoe msimamo wako.,bado hujamjibu mtoa hoja.
 
Matola kama kuna sehemu Tanzania hii ninayoijua vizuri ni Marangu.
Wakati unaingia Marangu, ukifika Samanga kuna sehemu inaitwa Headquota Pana msikiti mkubwa tu pale.
Na kina Mongi wa maeneo yale ni Waislamu.
hata marehemu Amina Mongi, ni mzaliwa wa pale na alikuwa ni mwislamu.

Sema hawa wako tofauti sana na waislamu wengine ndani ya Tanzania hii, they are well developed and educated compared to those of other areas in Tanzania.
 
Last edited by a moderator:
Uislam na waislam utaukuta na utawakuta popote duniani hata ndani ya Vatican.
Kimsingi mtoto akizaliwa huzaliwa ktk maumbile ya asili ya uislam(fitra) ambayo yameelezwa vyema ndani ya Qur'an kuanzia
tendo la ndoa,mchupo wa manii,pande la nyama,kupuliziwa roho,miezi 9 tumboni.mpaka kuzaliwa.
Kwakua mtoto huzaliwa akiwa muislam kamili ndo maana wakristo hujaribu kuleta dhana ya UBATIZO eti kujaribu kumvua mtoto uislam wake.
 
Hili eneo linanipendeza kwa kweli jinsi wanavyoishi...ukipita kwa gari siku za sherehe zao inaburudisha kuona halaiki za watu na warembo wamejitanda vizuri mashallah...nilitamani kwenda kuoa pale lkn nilihofia vijitabia vya binamu zangu wapare ashkum si matusi...."vya kugegedana" kwa sana...
 
[/quote ]

Sema hawa wako tofauti sana na waislamu wengine ndani ya Tanzania hii, they are well developed and educated compared to those of other areas in Tanzania.[/QUOTE]

yaleyale!! umeshajijibu mwenyewe, marangu kilema msikiti uko wapi?
 
Back
Top Bottom