Asili ya Waislamu wa Masama, Hai Kilimanjaro ni wapi?

Asili ya Waislamu wa Masama, Hai Kilimanjaro ni wapi?

jamani nami naomba kuuliza swali. kati ya maarabu na wazungu ni kina nani wana roho mbaya na wanatakiwa kulaumiwa kwa vitendo vyao viovu?
je, ulishawahi kujiuliza ni kwa nini nchi za kiarabu hakuna watu wenye asili ya Afrika ambao walibebwa kipindi cha utumwa?
Je, kuna uwezekano kuwa watumwa walioenda nchi za kiarabu walihasiwa ili kutozaliana?
Kama hawakuhasiwa, mbona watumwa walioenda Amerika hadi sasa hivi tunaona vizazi vyao vikiendelea iweje vikosekane kwa walioenda nchi za kiarabu?
nimeuliza kutaka kujua na kuongeza ujuzi. sina ushabiki wa dini wala itikadi.
 
means za kiutawala ndiyo zilizoleta vita.
mwarabu alifikia Pwani, ambako wakazi wake wengi
walikuwa less developed, isitoshe hata lengo lake hapa halikuwa domination tofauti ma lengo la mjerumani. ndiyo maana hakupata resistance kali.

mwarabu alikuwa anafanya biashara ya utumwa, iliyowanufaisha hadi machifu, like wise kwa mwingereza, hakupata upinzani mkali ndani ya Tanganyika kwa sababu ya aina ya uongozi wake. (indirect rule system).
Biashara ya utumwa afrika mashariki imeanza 1861-1895 wakati Mwarabu kafika maeneo hayo mwaka 1330 kuna mtawala mwarabu.
 
Waarabu hawakuwa wajinga kama watu wengine mnavyolazimisha watu tuamini. walikuja na taratibu mzuri tu za maisha WABAYA NI WABAYA UKWELI UTABAKI UKWELI.UNAMJUA ABUSHILI NA TIPUTIPU.KASOME.

Abushiri na Tiputipu hawa si walikuwa waarabu?
swali! kwani waarabu wote walikuwa waislamu??
 
most of the muhamadan extremists in tz come from the coast of indian ocean.those of the mainland are educated, nonreligious and moderate in their views.huwa nawakubari sana waislamu wa tz bara.
 
Biashara ya utumwa afrika mashariki imeanza 1861-1895 wakati Mwarabu kafika maeneo hayo mwaka 1330 kuna mtawala mwarabu.

we historia imekupita pembeni.
ita kina Mohamed Said wakusaidie.
 
Last edited by a moderator:
most of the muhamadan extremists in tz come from the coast of indian ocean.those of the mainland are educated, nonreligious and moderate in their views.huwa nawakubari sana waislamu wa tz bara.

sio wote wako kama unavyowafikiria. Waislamu wa kule Tabora, Singida na Shinyanga hawana elimu yoyote, ni wachahe sana wenye kupenda elimu ya darasani katika hayo maeneo.
 
QURAN ni kitabu kinachosema uongo mtupu ndio maana waumini wake wana toho ya kishetani kabisaaaa

Ndio mnavyolishwa matango pori kanisani kakisome vizuri hicho kitabu kitukufu (QURAN) hakijaacha kitu hata wanasayansi wanalitambua hili acha ushabiki.
 
Hayo ni mawazo yako mgando kwataarifa yako nenda pale Mudio/Masama ndio utajua uislamu una kua kwa kasi ya ajabu...

ndiyo kichwa cha habari hii..
siyo Mudio tu hata Uswaa, kwenye mizizi ya ulutheri kuna waislamu.

pale uswaa kuna msikiti.
 
Wickama
naomba utuwekee chapisho la kisomi lilipitishwa na taasisi zinazoheshimika kwa kuaprove machapisho ya kisomi kuliko kuanza kuleta ngano zisizo na mashiko yoyote. maandishi yako yamejaa porojo kama za Mohammed said.

cc; Mzee Mwanakijiji Pasco

→→→→hahahahaha.
 
Last edited by a moderator:
Wengi wametoka singida, kondoa, tabora, tanga, kigoma na burundi. Angalia Manamba wa mashamba ya kahawa na ngatani ya kibohehe, kikavu, lambo, boloti, kware, rundugai, west, mbosho, na nkwansira. Hao ndio asili ya Uislamu masama na machame. Hata ukiangalia wengi wako karibu na hayo mashamba.
 
hizo ni theory tu mkuu.

Huo mdomo wako utafanywa hivi siku ya mwisho

ﺍﻟْﻴَﻮْﻡَ ﻧَﺨْﺘِﻢُ ﻋَﻠَﻰٰ ﺃَﻓْﻮَﺍﻫِﻬِﻢْ ﻭَﺗُﻜَﻠِّﻤُﻨَﺎ ﺃَﻳْﺪِﻳﻬِﻢْ ﻭَﺗَﺸْﻬَﺪُ ﺃَﺭْﺟُﻠُﻬُﻢْ ﺑِﻤَﺎ ﻛَﺎﻧُﻮﺍ ﻳَﻜْﺴِﺒُﻮﻥَ

Leo tunaviziba vinywa vyao, na iseme nasi mikono yao, na itoe ushahidi miguu yao kwa waliyo kuwa wakiyachuma.
 
Waislam sehemu yeyote ile wanatofautiana,wapo wale wenye hawana time na dini yao (hawa safi sana hawa) wapo wenye msimamo wa wastani na pia wapo extremists (hawa ndio balaa).

kwako wew ni safi coz wanakaribiana na ukafiri, haiwezekani mtu awe muislam alafu awe hana muda na uislam wake, bila shakawatakua safi kwako wew tu, ila kwa uislam sio waislam safi, they should adhere to islam even if watakua wachafu mbele ya mtu kama wew
 
jamani nami naomba kuuliza swali. kati ya maarabu na wazungu ni kina nani wana roho mbaya na wanatakiwa kulaumiwa kwa vitendo vyao viovu?
je, ulishawahi kujiuliza ni kwa nini nchi za kiarabu hakuna watu wenye asili ya Afrika ambao walibebwa kipindi cha utumwa?
Je, kuna uwezekano kuwa watumwa walioenda nchi za kiarabu walihasiwa ili kutozaliana?
Kama hawakuhasiwa, mbona watumwa walioenda Amerika hadi sasa hivi tunaona vizazi vyao vikiendelea iweje vikosekane kwa walioenda nchi za kiarabu?
nimeuliza kutaka kujua na kuongeza ujuzi. sina ushabiki wa dini wala itikadi.

wale wanarushia wenzao ndizi ndo wanaroho mbaya, utamwitaje mwenzio nyani bana?
 
jamani nami naomba kuuliza swali. kati ya maarabu na wazungu ni kina nani wana roho mbaya na wanatakiwa kulaumiwa kwa vitendo vyao viovu?
je, ulishawahi kujiuliza ni kwa nini nchi za kiarabu hakuna watu wenye asili ya Afrika ambao walibebwa kipindi cha utumwa?
Je, kuna uwezekano kuwa watumwa walioenda nchi za kiarabu walihasiwa ili kutozaliana?
Kama hawakuhasiwa, mbona watumwa walioenda Amerika hadi sasa hivi tunaona vizazi vyao vikiendelea iweje vikosekane kwa walioenda nchi za kiarabu?
nimeuliza kutaka kujua na kuongeza ujuzi. sina ushabiki wa dini wala itikadi.

Nenda oman mkuu, utakutana na waarab weusi tena wana kipilipili kama wewe, halafu vp kuhusu hawa machotara wa kiarabu na kiswahili waliopo uku? Tafakari usikurupuke
 
sio wote wako kama unavyowafikiria. Waislamu wa kule Tabora, Singida na Shinyanga hawana elimu yoyote, ni wachahe sana wenye kupenda elimu ya darasani katika hayo maeneo.

elimu ya darasani? kwani darasa maanayake nn? mtoa mada tumeshajua kilicho moyoni mwako
 
elimu ya darasani? kwani darasa maanayake nn? mtoa mada tumeshajua kilicho moyoni mwako

kilichopo moyoni mwangu mbona hakijajificha?
nataka kujua asili ya waislamu waliopo Masama. ni kwanini wawe tofauti na waislamu wengine? kimaendeleo..
 
Waliletwa na wale Wazungu wakulima Settlers kama manamba toka bara na tanga. hivyo manamba wengi wakoa uchagani na kuzaa. Wakashindwa kurudi kwao wakajipa majina ya wachaga.
 
Mkoa wa Kilimanjaro kuna waIslam wengi kuliko watu wanavyofikiri.Ukianzia wilaya za Same,Mwanga,Hai na Moshi vijijini na mjini.Kuna Wapare wengi waislam,kuna wamachame wengi waislam,kuna wakibosho wengi tu waislam pia kuna wamarangu wachahe sana waislam ambao wanapatikana maeneo ya Himo na Head quater.Uko wa Mongi una idadi kubwa ya waislam kwa maana ya kujaza msikiti mmoja.Pia ujenzi wa shule za kata na maingiliano ya kibiashara na kijamii kumeongeza idadi ya waumini wa kiislam maeneo ya Marangu.
 
Back
Top Bottom